kingfish
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 571
- 159
Mkuu wa mkoa wa iringa ameagiza wajumbe wa tume ya uchaguzi chuo kikuu cha ruaha(ruco) kujiuzulu.tume hiyo iliundwa ili kusimamia uchaguzi wa serikali ya wanachuo ya ruco utakaofanyika baadaye mwezi huu.wanachuo wameshangazwa na hatua ya mkuu wa mkoa kuingilia mambo ya ndani ya chuo.wanachuo wanadai kuwa tume hiyo iliundwa kwa mujibu wa katiba ya serikali ya wanachuo wa ruaha university college(rusco) na ilipitia michakato muhimu kama vile wajumbe kula kiapo.
Source:radio-ebony,asubuhi hii.
je,mnakubaliana na hatua ya huyu mkuu wa mkoa?
Source:radio-ebony,asubuhi hii.
je,mnakubaliana na hatua ya huyu mkuu wa mkoa?