Mkuu wa mkoa Arusha aagiza wachaga waondolewe

Status
Not open for further replies.
Boliva said:
Niliwahi kuwa na mjadala mkali na rafiki yangu mmoja mchaga, alikuwa akidai Nyerere aliwabagu wachaga na wahaya na hakufurahishwa na utetezi wangu kuwa alichofanya Nyerere kilikuwa sahihi. Bado nasimama pale pale Nyerere hakuwabagua wachaga na wahaya labda na wanyakyusa. Alikuwa na lengo zuri kutengeneza mazingara yenye usawa kwa makabila yote.
Mkuu Boliva, nakubaliana kuhusu nia njema ya mwalimu, lakini implementations na implications za hiyo policy turned out to be undesirable!

Huwezi ukafix one problem at the expense of creating even a bigger one.

Unaposema alikuwa na lengo la kutengeneza mazingira yenye usawa, basi ni sawa tu na kusema alichosema mkuu huyu wa mkoa ni sahihi.

Je usawa unaletwa kwa kuwawezesha wananchi walio nyuma kimaendeleo ama ni kuwapachika tu kwasababu unataka usawa?

Kwanini mbinu zilizowapatia kabila moja maendeleo zistumike kuwasaidia wengine badala ya kusema eti wako wengi na wana maendeleo ama wamesoma hivyo hawafai? Hiyo ndo namna nzuri na nia njema ya kuleta maendeleo na usawa?

Je kitendo alichofanya mwalimu hakiwezi kutafsiriwa kuwa na yeye aliamini makabila hayo makubwa ni wabaguzi?

Mkuu kwa taarifa yako hata wizara ya elimu imetumika sana ku hold different standards based on the same assumptions.

Na pia anapofanya hivyo, ie kujaribu ku "spread" maendeleo kwa kuwanyima hawa nafasi na kuwapatia hawa zaidi, ana uhakika kuwa makabila madogo si wabaguzi? Je watu wata ajiriwa based on their merits and qualifications? Ama tu viongozi watahakikisha kuwa si kabila flani? Is that the way to fix this problem for real?

Mimi ninaamini kabisa kuwa nia ya mwalimu yawezekana ilikuwa nzuri, lakini huu utekelezaji siyo kabisa, yani implications/outcomes zake si nzuri hata kidogo, ndo uko utakuta unqualified people nk

Katiba ndo inatakiwa itulinde na si vibaraka wa central government ambao wanapelekwa mikoani na wilayani kulinda maslahi ya mtop alie magogoni, ni kama vile masharti ya rungu la urais yalitakiwa yabadilishwe mara baada ya mwalimu kuondoka kwasababu si kweli kwamba kila mtu atalitumia rungu hilo kwa nia njema.

Huyu aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Bagamoyo ametokea kufundwa namna ya kubagua na mara nyingi hawa viongozi wanaoteuliwa na rais huwa wanapelekwa kwa malengo maalum.

Hata kama wakijificha, vitendo na kauli zao vitawaumbua.
 
Boliva said:
Yes Nyerere was right ku contain haya makabila then, lakini hili analolifanya huyu RC Nyerere angefufuka leo nadhani angechezea viboko!
Again mkuu, dhana hii inatumika vibaya sana, hivi utawa contain vipi watu wasipate maendeleo halafu issue hiyo isilete matatizo kwa taifa kuanzia ya kiuchumi, kijamii nk?

Unaweza kunieleza inawezekana vipi?

Pia msimamo wangu ni ule ule, hili rungu wamechiwa vichaa, na hawajui matumizi yake.
 
I believe that we should let people live their lives to their fullest potential bila kubaguana kwa misingi kama hii.

Hata wenzetu hawapambani na ubaguzi kwa namna tunayofanya kama ni kweli ubaguzi huo upo, mimi napinga ubaguzi wa aina yoyote kwa nguvu zangu zote, ni msimamo wangu ambao haujawahi kuyumba na kamwe hautayumba.

Kama kuna maeneo ya kazi ambapo upenedeleo upo, sheria itumike kuwabana wanaofanya hivyo na si kuwa na policies zenye ku discourage well being ya wananchi wengine, Mungu ndo anapanga maisha ya wanadamu na sioni sababu ya kulimit potential ya mwanadamu aliyopewa na Mungu.

Jamii yetu iko nyuma kimaendeleo kwasababu ya mambo kama haya, wenzetu huwa wanaamini mafanikio ya wananchi ni mafanikio kwa Taifa na si vinginevyo, ndo maana unaona Republicans na Democrats wan sera za tofauti lakini kila anachofanya mmoja wao kinasaidia Taifa depending on what they're facing economically etc.

Sisis tumebakia kwenye chuki tu, na migawanyiko hiyo ambayo inakolezewa kwa kuweka watu sehemu ambao badala ya kuchochea shughuli za kimaendeleo, wao wameletwa eti kuweka usawa, ndo ujinga wetu huu, na sasa nasikia eti mara sijui ni zamu ya mwanamama kuwa rais, mara kaskazini, tabu tupu!

Yote hii imesababishwa na sera zilizopitwa na wakati kama hii!
 
Jamani mtu anayejua CV yake aiweke hapa tuione tunaweza gundua kitu. Arusha itamshinda hatujui wakazi wa huu mji
 
Namhurumia sana coz pengine hajatambua kuwa hawa ni Wayahudi wa Tanzania....ukiwafukuza huku wanaibukia kule wakiwa na nguvu kubwa zaidi kuliko mwanzo!!!

hahahaaa wala msiogope.....ila mwambieni hao watu huwa hawafukuziki
 
Akiwa kwenye kikao na ma technical assistants mkuu wa mkoa wa Arusha amemuagiza RAS awatawanye wachaga toka ofisi ya mkuu wa mkoa arusha. Anadai mkuu wa mkoa aliyeondoka ndugu Isdore Shirima alijizungushia wachaga!

Ukweli ni kwamba wengi wa hao anaodai Shirima alijizungushia Shirima aliwakuta na si sahihi kufanya maamuzi kwa kuangalia kabila la mtu.

Mkuu wa mkoa una mengi ya kujifunza na asipokuwa makini Arusha itamshinda

Huo ndo ukabila tunaoupiga vita kabla haujakomaa ila viongozi wetu ndo kwanza bado wanaanza kuuchochea
 
Huyu mkuu wa mkoa kama wiki 3 zimepita aliitisha kikao na technical officers kuwa wanamchafua na kutoa habari hapa jf na kikao hicho kilifanyika baada ya thread moja iliyotolewa hapa jf kuwa mkuu huyo wa mkoa anakacha vikao vya kimataifa kisa ung'eng'e (lugha ya malkia)unamsumbua. Na akaahidi kupiga search mpaka atamkamata anayefanya hivyo. Its terrible.
 
safi sana mkuu wa mkoa fukuza wachaga wote kuanzia mbunge lema,meya limo,hapo utawaweza wachaga
 
Ndugu zangu naona hapa jamaa zangu wa kisusio wamekuwa wakali ile mbaya!
Sifurahii mambo ya ukabila nchini kwetu wala pia sifurahii kinachotuhumiwa kufanywa na RC kama ni kweli ila wote tunafahamu ukweli hauongopi, maji hujitenga na mafuta jamani.
Nachokiona hapa ukisoma wachangiaji wengi wanajisifia uchaga na mambo ya watoto kusoma na blah blah kibao, kama sio kweli, ndugu zangu wachaga kwa nini muanze kutoka povu, eti wengine wanapenda kuzaa nyie mnapenda hela! Hiyo sio jibu ndugu zangu, ukweli unajulikana kwamba shule zilijengwa nyingi wakati wa ukoloni na wamisionari ujanda huo wa kilimanjaro, mbeya, iringa na shinyanga kidogo ili watoto wa machief wapate elimu hapo ndipo palipoanzia, pia hali ya hewa favourable kwa wazungu, na kama mnavyojua ukikaa karibu na mzungu what happens! Ilikuwa ngumu mzazi wa mtwara kumpeleka shule kijana wake moshi au kagera! After all unakuta yeye ni mvuvi, na uvuvi by that time haukuwa wa kibiashara while mbeya, moshi, bukoba, kulikuwa na zao analotaka mkoloni, chai, kahawa na hatawale wa shinyanga pamba imewasomesha.
Kwa hiyo sioni sababu ya kujiona nyie ndio waisrael wa Tanzania, kama vipi nyie endeleeni kujifanya mnapenda hela kwa sana sie tutaendelea kuwaparamia dada zenu, mashangazi, mama zenu wanapagawa sana na mitindo yetu nyie hamuwezi, na uzuri wake huwa hamkatai watoto eti damu yenu so mtatulelea sana tu! Otherwise acheni dharau na majigambo yasiyo na maana. We unakaa mwaka mzima mkeo hujamuona halafu unajisifia eti watoto wa kichaga hawagongwi, wao sio binadamu? Endeleeni tu si unajua? Mwewe anakula nyoka, nyoka anakula chura, chura anakula nzi! Ha ha life goes on na kila mmoja anajiona mtemi.
Pole kama nimekukwaza but thats it.
 
Ndugu zangu naona hapa jamaa zangu wa kisusio wamekuwa wakali ile mbaya!
Sifurahii mambo ya ukabila nchini kwetu wala pia sifurahii kinachotuhumiwa kufanywa na RC kama ni kweli ila wote tunafahamu ukweli hauongopi, maji hujitenga na mafuta jamani.
Nachokiona hapa ukisoma wachangiaji wengi wanajisifia uchaga na mambo ya watoto kusoma na blah blah kibao, kama sio kweli, ndugu zangu wachaga kwa nini muanze kutoka povu, eti wengine wanapenda kuzaa nyie mnapenda hela! Hiyo sio jibu ndugu zangu, ukweli unajulikana kwamba shule zilijengwa nyingi wakati wa ukoloni na wamisionari ujanda huo wa kilimanjaro, mbeya, iringa na shinyanga kidogo ili watoto wa machief wapate elimu hapo ndipo palipoanzia, pia hali ya hewa favourable kwa wazungu, na kama mnavyojua ukikaa karibu na mzungu what happens! Ilikuwa ngumu mzazi wa mtwara kumpeleka shule kijana wake moshi au kagera! After all unakuta yeye ni mvuvi, na uvuvi by that time haukuwa wa kibiashara while mbeya, moshi, bukoba, kulikuwa na zao analotaka mkoloni, chai, kahawa na hatawale wa shinyanga pamba imewasomesha.
Kwa hiyo sioni sababu ya kujiona nyie ndio waisrael wa Tanzania, kama vipi nyie endeleeni kujifanya mnapenda hela kwa sana sie tutaendelea kuwaparamia dada zenu, mashangazi, mama zenu wanapagawa sana na mitindo yetu nyie hamuwezi, na uzuri wake huwa hamkatai watoto eti damu yenu so mtatulelea sana tu! Otherwise acheni dharau na majigambo yasiyo na maana. We unakaa mwaka mzima mkeo hujamuona halafu unajisifia eti watoto wa kichaga hawagongwi, wao sio binadamu? Endeleeni tu si unajua? Mwewe anakula nyoka, nyoka anakula chura, chura anakula nzi! Ha ha life goes on na kila mmoja anajiona mtemi.
Pole kama nimekukwaza but thats it.

Hapo umenena mkuu, ni mazingira na wakoloni tu ndio walowatoa na hakuna ujanja wanao zaidi ya wengine. Eneo la mkoa ni dogo so they have to migrate to other regions kusaka maisha. Kama ilivo wazungu ni mazingira tu ndo yanakupa akili na si kingine. Ila kwa suala la ubaguzi hata mimi siliungi mkono kwa asilimia mia!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom