Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi Yanga ilivyofanya hayo ni serikali au wapo jui ya sheria?Wala usifikiri kuwa Rivers ni serikali au wapo juu yasheria,kikubwa utaratibu ufuatwe tu. Ameumizwa aende police ubalozini kwao akashitaki.
Kwani wameripoti wapi mkuu, acheni uzushi kama hajalipoti popote hizo ni properganda.Vipi Yanga ilivyofanya hayo ni serikali au wapo jui ya sheria?
Kwani nyie mliwalipia kwa kufikia?.Kwani ndo wanalipia pakufikia
Sasa watatukomesha vipi mkuu wakati tunaenda kwa airbusKwani nyie mliwalipia kwa kufikia?.
Mimi shida yangu wafungwe tenaSasa watatukomesha vipi mkuu wakati tunaenda kwa airbus
Kwa yanga hii wala haihitaji maombi ya kufungwa hiyo nikawaida kabisa kufungwa.Mimi shida yangu wafungwe tena
Acha shobo dogoUtasikia wakiilaumu Simba
Polisi hawahawa walioshughulikiwa na Hamza?Wala usifikiri kuwa Rivers ni serikali au wapo juu yasheria,kikubwa utaratibu ufuatwe tu. Ameumizwa aende police ubalozini kwao akashitaki.
🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭Polisi hawahawa walioshughulikiwa na Hamza?
We asprin utauaPolisi hawahawa walioshughulikiwa na Hamza?
Sio shobo naongelea uhalisia ndugu ManaraAcha shobo dogo