figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,483
- 54,853
Mkuu wa Majeshi na Ulinzi (JWTZ) kaahirisha ziara ya Kibiti. Alikuwa akaongee na Wakazi wa Kibiti Pwani. Mkuu wa Majeshi Venance Mabeyo, ameahirisha Ziara hiyo saa chache kabla ya kuanza. Mkuu wa Wilaya ya Kibiti Bwana Gullamuhusein Kifu amesema, Mkuu wa Majeshi hataweza kuja tena kwani kapata uzuru.
Ziara hii ilikuwa inakuja siku moja baada ya Askari wawili kupigwa risasi. Pwani: Askari Wawili wa Usalama Barabarani wauawa kwa kupigwa risasi Kibiti.
Kwa taarifa iliyotolewa leo Asubuhi, ilisema kuwa leo Mkuu wa Majeshi angeenda kibiti na kuongea na Wakazi wa huko. Mkuu wa Majeshi na Ulinzi (JWTZ) kuwasili wilaya ya Kibiti Leo
Hata Mkuu wa Polisi Simon Sirro alishawahi kufanya ziara kama hii na kuongea na Wazee wa huko.
My TAKE;
Nalaani mauaji yanayoendelea Kibiti. Tanzania ni kisiwa cha amani. Hawa jamaa wa Kibiti wanataka kututilia Mchanga kitumbua chetu cha Amani. Bado naamini Amani inaletwa na Sisi wananchi sio vyama vyetu. Tushirikiane kufichua wahalifu hawa. Mauaji yanayoendelea Pwani; Toa Maoni, Ushauri na Mapendekezo ya nini kifanyike ili kuyatokomeza
Ziara hii ilikuwa inakuja siku moja baada ya Askari wawili kupigwa risasi. Pwani: Askari Wawili wa Usalama Barabarani wauawa kwa kupigwa risasi Kibiti.
Kwa taarifa iliyotolewa leo Asubuhi, ilisema kuwa leo Mkuu wa Majeshi angeenda kibiti na kuongea na Wakazi wa huko. Mkuu wa Majeshi na Ulinzi (JWTZ) kuwasili wilaya ya Kibiti Leo
Hata Mkuu wa Polisi Simon Sirro alishawahi kufanya ziara kama hii na kuongea na Wazee wa huko.
My TAKE;
Nalaani mauaji yanayoendelea Kibiti. Tanzania ni kisiwa cha amani. Hawa jamaa wa Kibiti wanataka kututilia Mchanga kitumbua chetu cha Amani. Bado naamini Amani inaletwa na Sisi wananchi sio vyama vyetu. Tushirikiane kufichua wahalifu hawa. Mauaji yanayoendelea Pwani; Toa Maoni, Ushauri na Mapendekezo ya nini kifanyike ili kuyatokomeza