Askari Muoga
JF-Expert Member
- Oct 22, 2015
- 6,113
- 4,645
sio uzuru aina tija
Hahaa, haya mamboMaoni yangu
Ziara ya cdf haikufata protocal kuna watu wengi chini yake wasemaji wa jeshi wakuu wa utawala wa jeshi bado wapo na wangeweza kwenda kuonhea na raia
Kimantik kama cdf andeenda na wale jamaa wangeua tena raia ama polisi ingeonesha kua wauwaji wamelizidi jeshi kila nyanja io ingekua aibu kwa cdf
Ishu ya kibiti inahusu jeshi la poris na sio jeshi kwa maana kwamba polisi na usalama wa taifa wanatakiwa kufanya upepelezi yakinifu kujua chanzo cha mgogoro na wauaji
Pia serikali iwaombe viongozi wa vyama vya upinzani mim naona maalim seif angefaa sana kusaidia kutuliza mgogoro io no psychology trick kwa wahusika ambao wameonekana kuwa na chiki wa viongozi wa ccm
Cdf abako na maamuz ya mwisho kwanza operation za kibiti ni ndogo sana hadi kufikia ngazi ga cdf
Na kwa mujibu wa kanun rais ndiye amri jeshi mkuu kwaio ki protocal mkuu wa majeshi awez kwenda nyuma ya mkuu wa nchi itaonesha yy ndo mkuu kuliko rais
Nafikir cdf hakua makin na amevunja protocal
Mhh ya kweli haya mkuu.!Mkuu kuna habari leo umezisikia? Mtu kashikwa na kombati 5000 za jeshi! Sasa hatujui keshauza ngapi au tenda alipewa na nani? Hili ni zito kuliko la kibiti na linahatarisha usalama wa taifa na hata CDF hawezi kujua ule msafara wanajeshi wangapi magaidi. Ebu acha washughulikie hili kwanza.
kwani alisema anaenda kuongea na raia?Protocol haimruhusu kuongea na raia
Kuna picha zinafundisha masuala ya usalama. Tafuta picha inaitwa "the olympus has fallen apart" uone jinsi mkuu wa usalama wa Japan alichokifanya. Ni filamu tu.Mhh ya kweli haya mkuu.!
Kuheshimika ni pamoja na kuhakikisha ulinzi na amani ya nchi vinadumishwa.Siungi mkono cdf kwenda, ajabu ni kwamba mambo yakienda mrama au tofauti tutasema jeshi letu limishindwa. Cdf usifanye siasa...... Jw inaheshimika sana.
hutokea mtu 'kupigwa' kwenye biashara ya nguo,wengi tu walifungua balo na kukuta kombati,mwishowe huzichoma tuMkuu kuna habari leo umezisikia? Mtu kashikwa na kombati 5000 za jeshi! Sasa hatujui keshauza ngapi au tenda alipewa na nani? Hili ni zito kuliko la kibiti na linahatarisha usalama wa taifa na hata CDF hawezi kujua ule msafara wanajeshi wangapi magaidi. Ebu acha washughulikie hili kwanza.
acha utani mkuuMimi napendekeza Bashite, Sendeka na polepole wahamishiwe huko.
Unamaanisha tatizo ni vyama vyetu vya siasa hivi uchwara ndiyo chanzo !?
Hayo yalitakiwa yafanywe mapema, tatizo sasa hv ukionekana tu mgeni wanajua umeenda kuwapeleleza. Ikishafika hali kama hy ni kutumia mapandikizi yani ktk wao(wenyeji) wapatikate watu wa kushirikiana na vyombo vya dola kisiri siri, japokuwa wakigundulika wataonekana wasaritiCDF tuma vijana wako wafanye intelejinsia ya chini chini waje na majibu ya uhakika na tatizo litatuliwe na sio blah blah za wanasiasa, hatupendi watanzania wenzetu wafe, lakini pia tunahitaji kujua chanzo ili tutatua tatizo...
Kwa mawazo finyu ya kisisiemu unaweza kutoa majibu ya kuwahadaa wananchi kuwa chanzo cha mauaji ya Kibiti ni siasa. Kama unataka kuondoa tatizo, you have to dig deeper.
Hapana , Chama cha makinikia pekee ndio chanzo cha matatizo ya nchi hii.Unamaanisha tatizo ni vyama vyetu vya siasa hivi uchwara ndiyo chanzo !?