Evans-Arsenal
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 868
- 1,385
Mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama, General Venance Mabeyo leo atawasili katika wilaya ya Kibiti, Pwani na kuzungumza na watu wa maeneo hayo.
General Venance Mabeyo atapata nafasi ya kuzungumza na wananchi wa Kibiti, katika shule ya secondary Kibiti
UPDATES;
Mkuu wa Majeshi na Ulinzi (JWTZ) kaahirisha ziara ya Kibiti mkoani pwani. Zaidi soma=> Mkuu wa Majeshi na Ulinzi (JWTZ) Venance Mabeyo, aahirisha ziara ya Kibiti
General Venance Mabeyo atapata nafasi ya kuzungumza na wananchi wa Kibiti, katika shule ya secondary Kibiti
UPDATES;
Mkuu wa Majeshi na Ulinzi (JWTZ) kaahirisha ziara ya Kibiti mkoani pwani. Zaidi soma=> Mkuu wa Majeshi na Ulinzi (JWTZ) Venance Mabeyo, aahirisha ziara ya Kibiti