Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,405
- 30,908
- Thread starter
- #41
Dah mkuu umeongea Mambo ambayo nilikuwa siyajui asanteSijajua nini maana ya kuwa na mkwanja lakini kisheria msahahara na marupurupu ya Gavana yanapangwa na Rais. Hii naona haijatajwa na Sheria kwa CDF ikimaanisha Utumishi ndio hupanga mshahara wake.
Kuhusu kulindwa zaidi sijajua unamaanisha nini maana hata kama unawaongoza mgambo hakuna mtu atakuuliza ukiwafanya wote wawe walinzi wako.. maana yake CDF atatumia wapiganaji haohao kuwa walinzi wake.
Gavana kulindwa itategemea utashi wake tu lakini atalindwa kama maafisa wengine Waandamizi wa Serikali km. kuwa na mlinzi, dereva ambaye anaweza kuwa mlinzi pia.n.k.
Kuhusu unyeti kufuatana na sheria zenyewe Rais lazima ateuwe Gavana wa Benki Kuu lakini siyo lazima ateuwe Mkuu wa Majeshi.. anaweza kuongoza Majeshi yeye kama Amiri Jeshi Mkuu (C-In-C) au akakasimu kwa Kamati ya Jeshi la Ulinzi ( DFC).. Niko tayari kwa ukosoaji wa kujenga..