Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Hivi katika nchi yoyote Nani anamzudi mwenzake kwa kila kitu kulingana na nafasi zao Mkuu wa Majeshi na Gavana wa bank kuu.
Vipi kuhusu maslahi unyeti na ulinzi wa hawa watu?
Au la ukiambiwa uchague kimoja wapo utachagua kipi?
Binafsi naona gavana ndio kila kitu.
Vipi kuhusu maslahi unyeti na ulinzi wa hawa watu?
Au la ukiambiwa uchague kimoja wapo utachagua kipi?
Binafsi naona gavana ndio kila kitu.