Mkuu wa Majeshi na Gavana wa Benki Kuu nani ana mkwanja analindwa na Ni nyeti kuliko mwingine

Superbug

JF-Expert Member
Jan 31, 2018
12,417
30,927
Hivi katika nchi yoyote Nani anamzudi mwenzake kwa kila kitu kulingana na nafasi zao Mkuu wa Majeshi na Gavana wa bank kuu.

Vipi kuhusu maslahi unyeti na ulinzi wa hawa watu?

Au la ukiambiwa uchague kimoja wapo utachagua kipi?

Binafsi naona gavana ndio kila kitu.
 
Mkuu wa Majeshi ana ulinzi mkubwa na escort ambayo Gavana hana kuhusu mkwanja sijui
 
Back
Top Bottom