Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,052
- 24,442
Mkuu wa majeshi ya ulinzi Jenerali Venance Mabeyo, amekabidhiwa barua ya shukrani kutoka kwa Baba Mtakatifu wa Kanisa Katoliki duniani kutokana na mchango wake uliotukuka kwa ofisi ya Mashirika ya Kipapa nchini (Pms).
Hafla hiyo ya kumkabidhi barua hiyo imefanyika katika makao makuu ya Baraza la Maaskofu Tanzania, kurasini Jimbo Kuu Katoliki Dar es salaam.
Hafla hiyo ya kumkabidhi barua hiyo imefanyika katika makao makuu ya Baraza la Maaskofu Tanzania, kurasini Jimbo Kuu Katoliki Dar es salaam.