johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,607
- 141,429
Spika Ndugai mchana huu ametambulisha uwepo wa viongozi wakuu wa JWTZ na JKT waliopo bungeni wakiongozwa na General Mabeyo.
Wengine ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi na mkuu wa JKT
Haya ni mambo ya jeshi, naomba niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!
Wengine ni Mnadhimu mkuu wa Jeshi na mkuu wa JKT
Haya ni mambo ya jeshi, naomba niishie hapo.
Maendeleo hayana vyama!