USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,884
- 22,601
Askofu mkuu wa jimbo katoliki Dodoma Edwin Ngonyani anawalika watu wote hasa vijana katika misa takatifu ambayo pia mkuu wa majeshi ya Tanzania Gen Venans Mabeyo atakuwa mtoa neno na aakofu mwalikwa Beatus Kinyaiya watatoa somo .
Gen mabeyo ambaye hutambulika kama mtu wa dini na imani sana atatoa neno la kuwaasa vijana juu ya umuhumu wa doa katika misa itakayoanza mapema saa 9 mpaka saa mbili usiku.
Ibada hii itafanyika katika kanisa ukumbi wa kanisa la Mt. Paulo wa msalaba msalato jijini Dodoma amabapo pia askofu Edwin Ngonyani askofu mwenyeji atakuwepo
Kama ndoa yako inamatatizo na inamapungufu njoo na mkeo mpate somo kutoka kwa kamanda huyu mweledi
USSR
Gen mabeyo ambaye hutambulika kama mtu wa dini na imani sana atatoa neno la kuwaasa vijana juu ya umuhumu wa doa katika misa itakayoanza mapema saa 9 mpaka saa mbili usiku.
Ibada hii itafanyika katika kanisa ukumbi wa kanisa la Mt. Paulo wa msalaba msalato jijini Dodoma amabapo pia askofu Edwin Ngonyani askofu mwenyeji atakuwepo
Kama ndoa yako inamatatizo na inamapungufu njoo na mkeo mpate somo kutoka kwa kamanda huyu mweledi
USSR