Mkuu wa Majeshi (CDF) anampigia salute Mbunge?

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,551
Wakuu,

Mkuu wa Majeshi (CDF) anampigia salute Mbunge ?


Halafu , kwanini maiti huwa zinapigiwa salute na maaskari au wanajeshi ?
20210416_095352.jpg
 
CDF hapigi saluti kwa Mbunge.....
CDF anapiga saluti kwa viongozi wa serikali...akiwemo DC,RC,Mawaziri na wateuliwa wengine wa rais kwenye utumishi wa umma sababu wale wanamwakilisha Rais au madaraka ya Rais kwenye wilaya na mikoa yao.....
Na sababu CDF na jeshi ni watiifu kwa serikali ndo mana waanguka saluti kwa wakuu wa mikoa na wilaya..

Wateule wa serikali haijumuishi wakuu wa mashirika,ma ded,Das,Ras, etc.......hawa hawapigiwi saluti since hawana collective leadership kama mkoa au wilaya.

Kuhusu maiti kupigiwa saluti ni salamu ya kijeshi kwa watu waliokua kwenye adhi ya u-amiri jeshi au makamanda etc.

Mbunge anaweza pigiwa tu saluti kama ni waziri wa wizara flani ya serikali.

Dr Hussein mwinyi alipigiwa sana alipokua ulinzi, kigwangwala utalii akifunga mafunzo ya tanapa na mawaziri wengine wa serikali maana nao wanamuwakilisha Rais so wanapigiwa saluti kwa heshima ya Rais.
 
Salute ni salam tu ya kijeshi bila shaka kama CDF amempigia salute mbunge basi itakuwa sio ile ya serious ya kukakamaa au yakunyayua mabega na miguuu itakuwa ni ile simple tu ya kutembea huku unanyanyua mkono kma unajifuta jasho
 
Kabla sijasoma zaidi, wanaopigiwa salute nijuavyo ni
1. Askari mwenye cheo cha ofsa (nyota moja kuendelea) hata kama amestaafu au ameingia taaluma /kazi nyingine
2.bendera ya taifa wimbo wa taifa na mambo kama hayo ya kinchinchi
3. Raisi na WATEULE WA RAISI

Pia salute hupigwa na askari aliyevaa sare tu

Kwahiyo kwa swali lako mimi natoa jibu la HAPANA
 
Hata mgambo wa jiji hampigii salute mbunge.....

Kwa maiti/marehemu ni heshima tu kama salamu ya mwisho.

Salute ya kunyanyua mkono na kuweka karibu na uso inapigwa pale unapovaa gwanda. Usipovaa unabana mikono na kunyanyuka kidogo.....

Sio kama Bashite alivyompigia Magu
 
Maiti haipigiwi saluti inayo pigiwa salut Ni ile bendera juu ya jeneza na anae wekewa bendera juu ya jeneza lake nafikir ni askri wa cheo chochote wa majeshi ya ulinzi pamoja na viongozi wakubwa wa kisiasa
 
Usinikumbushe Kingwalangwala alipokua anapigiwa salute halafu alivyo mshamba na mshirikina aliwarusha kichura watu na familia zao.
Madaraka Yana mwisho wake.
Hivi Kingwalangwala Ni muislamu au anaabudu vibudu?
 
CDF hapigi saluti kwa Mbunge.....
CDF anapiga saluti kwa viongozi wa serikali...akiwemo DC,RC,Mawaziri na wateuliwa wengine wa rais kwenye utumishi wa umma sababu wale wanamwakilisha Rais au madaraka ya Rais kwenye wilaya na mikoa yao.....
Na sababu CDF na jeshi ni watiifu kwa serikali ndo mana waanguka saluti kwa wakuu wa mikoa na wilaya..

Wateule wa serikali haijumuishi wakuu wa mashirika,ma ded,Das,Ras, etc.......hawa hawapigiwi saluti since hawana collective leadership kama mkoa au wilaya.

Kuhusu maiti kupigiwa saluti ni salamu ya kijeshi kwa watu waliokua kwenye adhi ya u-amiri jeshi au makamanda etc.

Mbunge anaweza pigiwa tu saluti kama ni waziri wa wizara flani ya serikali.

Dr Hussein mwinyi alipigiwa sana alipokua ulinzi, kigwangwala utalii akifunga mafunzo ya tanapa na mawaziri wengine wa serikali maana nao wanamuwakilisha Rais so wanapigiwa saluti kwa heshima ya Rais.
Umemaliza kila kitu chief.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CDF hapigi saluti kwa Mbunge.....
CDF anapiga saluti kwa viongozi wa serikali...akiwemo DC,RC,Mawaziri na wateuliwa wengine wa rais kwenye utumishi wa umma sababu wale wanamwakilisha Rais au madaraka ya Rais kwenye wilaya na mikoa yao.....
Na sababu CDF na jeshi ni watiifu kwa serikali ndo mana waanguka saluti kwa wakuu wa mikoa na wilaya..

Wateule wa serikali haijumuishi wakuu wa mashirika,ma ded,Das,Ras, etc.......hawa hawapigiwi saluti since hawana collective leadership kama mkoa au wilaya.

Kuhusu maiti kupigiwa saluti ni salamu ya kijeshi kwa watu waliokua kwenye adhi ya u-amiri jeshi au makamanda etc.

Mbunge anaweza pigiwa tu saluti kama ni waziri wa wizara flani ya serikali.

Dr Hussein mwinyi alipigiwa sana alipokua ulinzi, kigwangwala utalii akifunga mafunzo ya tanapa na mawaziri wengine wa serikali maana nao wanamuwakilisha Rais so wanapigiwa saluti kwa heshima ya Rais.

Sahihi
 
Mimi siku hizi huwa hata sijali hata wakipigia saluti makaburi sawa tu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom