Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,228
Mkuu wa kaya alienda kutembelea shule moja ya msingi,akaanza kujadili mada tofauti na wanafunzi kuhusu elimu,na mambo yanayozunguka jamii huku television zikimwonyesha na redio zikisikika hewani,alipomaliza kuongea
akaruhusu maswali,mara mwanafunzi mmoja akanyosha mkono na kusema anaitwa John,akaamza kuuliza maswali manne.
1)kwanini hukutimiza ahadi zako ulizotuambia wakati wa kampeni?
2)Nini maana ya ufisaidi?
3)kwanini unasafari za mara kwa mara?
4)Je una mpango gani wa kutupatia vifaa vya masomo shuleni kwetu?
*Mara kengele ya mapunziko ikagongwa bila kujibu maswali yao,akawaambia mapunziko ikiisha tu tutaendelea*
Mapunziko ilipoisha akawaambia..hivi tuliishia wapi?wakamjibu kwenye maswali.akauliza.kuna mwenye maswali?
Mwanafunzi mmoja anayeitwa Stanley akanyosha mkono na kuuliza?Mkuu wa kaya akamwuliza,una maswali ngapi?stanley akajibu sita,akaanza kuuliza maswali yake.
1)Kwanini hukutimiza ahadi zako ulizotuambia wakati wa kampeni?
2)nini maana ya ufisadi?
3)Kwanini una safari za mara kwa mara?
4)Je una mpango gani kutupatia vifaa vya masomo shuleni kwetu?
5)Kwanini kengele ya mapunziko iligongwa kabla ya mda wake wakati ulitakiwa kujibu maswali ya John?
6)Kwanini John baada ya kengele ya mapunziko kwisha hakurudi darasani?
*Mara tanesco wakakata umeme*
akaruhusu maswali,mara mwanafunzi mmoja akanyosha mkono na kusema anaitwa John,akaamza kuuliza maswali manne.
1)kwanini hukutimiza ahadi zako ulizotuambia wakati wa kampeni?
2)Nini maana ya ufisaidi?
3)kwanini unasafari za mara kwa mara?
4)Je una mpango gani wa kutupatia vifaa vya masomo shuleni kwetu?
*Mara kengele ya mapunziko ikagongwa bila kujibu maswali yao,akawaambia mapunziko ikiisha tu tutaendelea*
Mapunziko ilipoisha akawaambia..hivi tuliishia wapi?wakamjibu kwenye maswali.akauliza.kuna mwenye maswali?
Mwanafunzi mmoja anayeitwa Stanley akanyosha mkono na kuuliza?Mkuu wa kaya akamwuliza,una maswali ngapi?stanley akajibu sita,akaanza kuuliza maswali yake.
1)Kwanini hukutimiza ahadi zako ulizotuambia wakati wa kampeni?
2)nini maana ya ufisadi?
3)Kwanini una safari za mara kwa mara?
4)Je una mpango gani kutupatia vifaa vya masomo shuleni kwetu?
5)Kwanini kengele ya mapunziko iligongwa kabla ya mda wake wakati ulitakiwa kujibu maswali ya John?
6)Kwanini John baada ya kengele ya mapunziko kwisha hakurudi darasani?
*Mara tanesco wakakata umeme*