Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,630
Dayosisi ya Kanda ya kasikazini ya Kkt , imeeleza kupokea kwa Masikitiko makubwa kifo cha Reginald Mengi kuwa ni janga, lakini wanamshukuru Mungu kwa uhai aliomkirimia Reginald,
askofu mkuu mstaafu Erasto kweka na Shayo wamemwelezea Mengi kwa namna ya kipekee.
Mkuu wa kanisa Martin Shoo ataongoza Ibada mjini moshi tofauti na hapo mwanzo kwamba ibada ingefanyikia Ushirika wa Kiseren Machame.
askofu mkuu mstaafu Erasto kweka na Shayo wamemwelezea Mengi kwa namna ya kipekee.
Mkuu wa kanisa Martin Shoo ataongoza Ibada mjini moshi tofauti na hapo mwanzo kwamba ibada ingefanyikia Ushirika wa Kiseren Machame.