Sasa mbona manawajaza kwenye vikosi vyenu?Chadema mnamatatizo sanaa..toka lini marekani akawa mlinzi wa haki na democrasia?? Ebu acheni bas uzwazwaa..yaan kisa gaidi namba moja yuko ndank baas mnapayuka payuka kuomba marekani awasaidie kwa mambo ya ndani ya nch zingine
Mbona na chanjo mmekopa kwao?