misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 13,642
- 9,338
Kwaiyo tunaruka sarakasi na msuli? 😂Wanakuja kujua udhaifu wa jwtz watachunguza kila kitu na kupandikiza wapelelezi wao humo baadae wakija kuanza chokochoko wanajua pa kupenyea
Kwaiyo tunaruka sarakasi na msuli? 😂Wanakuja kujua udhaifu wa jwtz watachunguza kila kitu na kupandikiza wapelelezi wao humo baadae wakija kuanza chokochoko wanajua pa kupenyea
..tutajuaje kinachoendelea wakishaingia ndani ya mahema?
..ila mkae mkijua jeshi la marekani linaruhusu ushoga.
Ni chaguo langu.Akili za kulishwa, kula na wewe kwa mkono wako, mwisho utalishwa hata visivyo liwa.
Ni Huzuni..jeshi la marekani linaruhusu ushoga halafu sisi tuko kimbelembele kushirikiana nao kimafunzo.
Kwa hiyo, kama huwezi shindana. Ungana nao. Hawa mafedhuli wako after kitu. Hata demokrasia ni sehemu tu ya kuhakikisha maslahi yao yanalindwa na fimbo kwa wale wanaowazingua.Kwani tuliwahi kisimama lini? Au unaamini Tanzania kuna wakati wowote iliwahi kumpinga Marekani na nchi za magharibi na ikafanikiwa?
Tumtangulize Mungu. Japo kuna watu hawataki.Ukiunganisha dots za ndege pale airport, chanjo ikaja baadae leo mafunzo ya kijeshi nadhani kuna shida baadae kama taifa tutakuja kujuta
Haya dhalimu kaungana na Marekani. This time mtajuta zaidi ya kipindi cha Magufuli.Jamaa yenu aliwadanganya sana aisee hahahahah.
NdioooooooUnataka katiba mpya?
Kilichomponza ni ujamaa, ila suala la mafunzo ni la kawaida tu kwa sasa.Nyerere hakutaka jwtz iwe na umoja na USA alijua marekani wana Tabia za kuchunguza udhaifu kisha kuleta shida baadae akawakataa kwenye idara za kijeshi lakini alishirikiana nao katika nyanja zingine kabsa
Ahsante sana Rais wetu Mama Samia kwa kuimarisha uhusiano wetu na ndugu na rafiki zetu Wamarekani.Kamanda wa Kamandi ya Afrika ya Jeshi la Marekani (AFRICOM) Jenerali Stephen Townsend, alikuwa na ziara ya siku mbili nchini Tanzania, tarehe 27 na 28 Julai, ambapo alikutana na maafisa waandamizi wa jeshi na kufungua mazoezi ya kwanza ya pamoja ya kijeshi ya nchi hizi mbili toka mwaka 2017...
mkuu we tayari ni vampire...wala hauhitaji kuisubiri hiyo dunia.....😀😀😀😀Ilianza kuonekana ndege imekaa tuu pale uwanja wa ndege taarifa ikatoka inaleta vifaa vya ubalozi wiki chache baadae tunaskia Tanzania imepokea msaada wa chanjo kutoka marekani chanjo imefika tuu ghafla marekani anafanya mazoezi ya pamoja na. Majeshi yetu naweza nikawa na akili fupi kwa mitazamo ya wengi lakini kwa akili ndogo tuu naiona shida kubwa sana mbeleni ninahofu na dunia ya wakati ujao zile movie za ma vampire nadhani ni wakati wa mabadiriko ya mwanadamu
wanataka kuleta military base kama kule somalia na UgandaKamanda wa Kamandi ya Afrika ya Jeshi la Marekani (AFRICOM) Jenerali Stephen Townsend, alikuwa na ziara ya siku mbili nchini Tanzania, tarehe 27 na 28 Julai, ambapo alikutana na maafisa waandamizi wa jeshi na kufungua mazoezi ya kwanza ya pamoja ya kijeshi ya nchi hizi mbili toka mwaka 2017...
mmesema kuna magaidi?? tayati wametia maguu.Ahsante sana Rais wetu Mama Samia kwa kuimarisha uhusiano wetu na ndugu na rafiki zetu wamarekani.
God bless relationship between USA and TANZANIA.
Siku ile tulipo hoji juu ya hiyo ndege kukaa pale uwanjani jioni yake ikaongezeka ingine 1 nawa lipakua mzigo na kupata escort ya polisi wetu bila ya kujua wamebeba nini.Ilianza kuonekana ndege imekaa tuu pale uwanja wa ndege taarifa ikatoka inaleta vifaa vya ubalozi wiki chache baadae tunaskia Tanzania imepokea msaada wa chanjo kutoka marekani chanjo imefika tuu ghafla marekani anafanya mazoezi ya pamoja na. Majeshi yetu naweza nikawa na akili fupi kwa mitazamo ya wengi lakini kwa akili ndogo tuu naiona shida kubwa sana mbeleni ninahofu na dunia ya wakati ujao zile movie za ma vampire nadhani ni wakati wa mabadiriko ya mwanadamu
Jalala halichaguagi uchafu..jeshi la marekani linaruhusu ushoga halafu sisi tuko kimbelembele kushirikiana nao kimafunzo.
lakini ndio kusema wameachana na harakati za kulinda haki, uhuru na demokrasia duniani?Marekani wako more “strategically”. Sasahivi, maadui wake wakubwa ambao ameamuwa kupambana nao ni mchina na mrusi. Vita vya ugaidi wameachana navyo. Maana ndivyo viliwa keep busy mchina na mrusi wakawa wanaendelea kujitakia na kujinafasi ulimwenguni kote.
Kuondoka Afghanistan na Iraqi ni uthibitisho tosha kuwa sasa wamehamisha na kubadili mwelekeo kukabiliana na warusi na wachina. Haifuatilii mikwaruzo kwenye China seas na Black Sea respectively?