Tetesi: Mkuu wa Idara ya Tehama (IT) wa TRA Makao Makuu Atoweka

Mtanke

JF-Expert Member
Nov 19, 2011
708
1,756
Kuna Habari kuwa mkuu wa IT pale TRA ambaye Boss wake ni miongoni mwa waliokwisha kutumbuliwa ametoweka tangu juzi tarehe 8/07/2016 na hajulikani alipo.

Inasemekana aliondoka asubuhi kwenda kazini na hakurudi Nyumbani. Habari zinasema simu yake ilikuwa hewani mpaka majira ya saa 10 jioni.

My take! Labda Wazee wa EFD na 7% wameamua kuanza kupoteza ushahidi mapema.

Rais pamoja na kutumbua majipu awe na mkakati wa kuwalinda mashahidi na watoa taarifa.
 
Kuna Habari kuwa mkuu wa IT pale TRA ambaye Boss wake ni miongoni mwa waliokwisha kutumbuliwa ametoweka tangu juzi tarehe 8/07/2016 na hajulikani alipo.

Inasemekana aliondoka asubuhi kwenda kazini na hakurudi Nyumbani. Habari zinasema simu yake ilikuwa hewani mpaka majira ya saa 10 jioni.

My take! Labda Wazee wa EFD na 7% wameamua kuanza kupoteza ushahidi mapema.

Rais pamoja na kutumbua majipu awe na mkakati wa kuwalinda mashahidi na watoa taarifa.




Yawezekana atakuwa amerudi kwao Rwanda kama yule mwenzake aliyekuwa anasimamia kitengo kama hicho kule jeshini.
 
Tanzania hakuna kinachoshika hatamu zaidi ya siasa tena bora hata ingekuwa siasa Bali ni siasa za kiharamia we can't step ahead any how. Siasa za Kikomunisti zimepitwa na wakati tazaneni hata China na Urusi wenyewe waliotufundisha siasa za kiharamia wameachana Nazo. Pathetic
Hopeless and a failure stt
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom