Mkuu wa chuo kikuu Cha Victoria nchini Akamatwa akidaiwa kuwa ni shushu maalumu wa Rais Kagame

Burundu ni Mimi-Tanzania.

Burundi kila kitu ni Tanzania(kiuchumi,kijamii,kisiasa,kiusalama).

Ardhi ya Congo DRC ni ardhi ya majaribio ya shughuli zote za kisayansi,kivita nk.Kukaa stable haijikutokea karibuni.

Mapandikizi ya wachota taarifa katika nchi zetu hizi ni wengi sana haishangazi.
Mfano kiusalama Burundi wanatutegemea vipi?
 
Hii kitu mpk Leo inamuuma Sana M7 anatamanigi kulipiza kisasi Ila ndo hivo tena uwezo huo hana,alikulaga kichapo heavy hadi ikabd akimbilie Uingereza kuomba yule Bibi awasuluhishe.
Watutsi mnavyoipamba rwanda sasa,kale kanchi kenu kwa sasa inabidi muwaunganishe raia wenu kuondoa ukabila,la sivyo kwa sasa mkianza vita na taifa lolote lile mtapigana nje lakini na ndani wahutu watapata mwanya hapo hapo,msiombee vita nyie,sie rusumo iko open at any time tutawapokea mje kujihifahidhi
 
Watutsi mnavyoipamba rwanda sasa,kale kanchi kenu kwa sasa inabidi muwaunganishe raia wenu kuondoa ukabila,la sivyo kwa sasa mkianza vita na taifa lolote lile mtapigana nje lakini na ndani wahutu watapata mwanya hapo hapo,msiombee vita nyie,sie rusumo iko open at any time tutawapokea mje kujihifahidhi
Nitakusaidia kukurudisha huo utumbo wako mkubwa uliotoka kwa nje kwa kutumia mti wangu wa nyama mama watoto wangu. Anytime ukihitaji nishtue.
 
Nitakusaidia kukurudisha huo utumbo wako mkubwa uliotoka kwa nje kwa kutumia mti wangu wa nyama mama watoto wangu. Anytime ukihitaji nishtue.
Upeo wenu bahima hapo ndipo ulipoishia,matusi na ujuaji,siku mu7 akiwa anawakong'ota kwa juu na sukhoi halafu ardhini interahamwe wakiwachinja sie tutakua rusumo kuwapokea
 
Upeo wenu bahima hapo ndipo ulipoishia,matusi na ujuaji,siku mu7 akiwa anawakong'ota kwa juu na sukhoi halafu ardhini interahamwe wakiwachinja sie tutakua rusumo kuwapokea
Wewe sikutandiki hata RPG,nakupiga mbooh tu inakutosha mke wangu mzuri.
 
😁😁 ndio wanyonge wenzetu au?
Hapana ni washkaji tu.Unajua hata ww kwenye circle ya washkaji zako kuna yule ambaye hana impact sana kwako positivelly yan huna chochote cha kujifunza kwake ila unajikuta tu una feel aman kuwa around nae na mnapiga stori fresh bila unafk.Hutumii akil nying sana ukiwa around..mnakua real yan af kila mtu na maisha yake
 
Hapana ni washkaji tu.Unajua hata ww kwenye circle ya washkaji zako kuna yule ambaye hana impact sana kwako positivelly yan huna chochote cha kujifunza kwake ila unajikuta tu una feel aman kuwa around nae na mnapiga stori fresh bila unafk.Hutumii akil nying sana ukiwa around..mnakua real yan af kila mtu na maisha yake
Nimekusoma mkuu.
 
Upeo wenu bahima hapo ndipo ulipoishia,matusi na ujuaji,siku mu7 akiwa anawakong'ota kwa juu na sukhoi halafu ardhini interahamwe wakiwachinja sie tutakua rusumo kuwapokea
Mkuu pia wanaenjoy mtu anavyo wauwa raia wa rwanda , wanafurahi damu kumwagika ya mrwanda mwenzao. Kama Patrick wa south Africa, Tena Ni watutsi wenzao,
Watu wamekukimbia wamekuachia nchi , ila unawawinda , na raia wengine wanaenjoy .
 
Mkuu pia wanaenjoy mtu anavyo wauwa raia wa rwanda , wanafurahi damu kumwagika ya mrwanda mwenzao. Kama Patrick wa south Africa, Tena Ni watutsi wenzao,
Watu wamekukimbia wamekuachia nchi , ila unawawinda , na raia wengine wanaenjoy .

Hahahah cry me a river.
 
Mkuu pia wanaenjoy mtu anavyo wauwa raia wa rwanda , wanafurahi damu kumwagika ya mrwanda mwenzao. Kama Patrick wa south Africa, Tena Ni watutsi wenzao,
Watu wamekukimbia wamekuachia nchi , ila unawawinda , na raia wengine wanaenjoy .
Kwahiyo sisi Lisu alikua sio Mtanzania? Alipigwa risasi ngapi? Masikin ata yeye hakua na ubaya wowote kuhusu nchi.
 
Mkuu pia wanaenjoy mtu anavyo wauwa raia wa rwanda , wanafurahi damu kumwagika ya mrwanda mwenzao. Kama Patrick wa south Africa, Tena Ni watutsi wenzao,
Watu wamekukimbia wamekuachia nchi , ila unawawinda , na raia wengine wanaenjoy .
Pale kikinuka ni hatari,watutsi wana ugomvi na wahutu wa kiasili,population ya wahutu ni 85% na tutsi ni 15%,imagine hawa 15% kuna ambao wanamuwinda pk,kuna hutu hawa ndio wote wanamtaka leo kesho then bado pk anajitutumua kutaka kupigana na uganda,pale kuna genocide nyingine mbaya sana inakuja,kama ushafika rwanda wahutu ambao ndio wanaishi kama wakiwa na hawa watutsi huu huu ujivuni wao si hapa tu jf hata huko kwao wanawanyanyapaa wahutu,wahutu wanawatamani hawa hatari
 
Kwahiyo sisi Lisu alikua sio Mtanzania? Alipigwa risasi ngapi? Masikin ata yeye hakua na ubaya wowote kuhusu nchi.
HAKUNA aliyefurahi kupigwa risasi kwa tindulisu ndugu,
Ni TOFAUTI na nyie ambao hata bungeni mnapiga makofi .
👇
Kizito mihigo Ni rwandan genocide servivor. Baada ya kujinyonga maabusu,


Na pongezi juu, ndio kawaida yenu.
 
Pale kikinuka ni hatari,watutsi wana ugomvi na wahutu wa kiasili,population ya wahutu ni 85% na tutsi ni 15%,imagine hawa 15% kuna ambao wanamuwinda pk,kuna hutu hawa ndio wote wanamtaka leo kesho then bado pk anajitutumua kutaka kupigana na uganda,pale kuna genocide nyingine mbaya sana inakuja,kama ushafika rwanda wahutu ambao ndio wanaishi kama wakiwa na hawa watutsi huu huu ujivuni wao si hapa tu jf hata huko kwao wanawanyanyapaa wahutu,wahutu wanawatamani hawa hatari
Cheki video ya juu , Jamaa anashikwa mpaka na kigugumizi,
Si mchezo.
 
Hivi majuzi vikosi vya jeshi la Uganda UPDF vimeivamia chuo kikuu Cha Victoria na kumuchukua Mkuu wa chuo hicho maarufu.

Dr Lawrence Muganga anadaiwa anaipeleleza serikali ya Museven na kumpelekea Rais Kagame wa Rwanda taarifa nyeti.

Bado haijulikani Dr Muganga kawekwa wapi. Dr Muganga ni mwanataaluma kijana anayeheshimika Sana chini Uganda na ana asili ya Rwanda. Ni wale wanyarwanda waliozaliwa nchini Uganda ktk kambi za Wakimbizi enzi hizo. Amekuwa akijaribu kuhalalisha uraia wake wa Uganda bila mafanikio.
Mseveni Bwana,juzi tu kapokea watalibani afu baada ya miaka Kumi ang'ake tena
 
HAKUNA aliyefurahi kupigwa risasi kwa tindulisu ndugu,
Ni TOFAUTI na nyie ambao hata bungeni mnapiga makofi .
👇
Kizito mihigo Ni rwandan genocide servivor. Baada ya kujinyonga maabusu,


Na pongezi juu, ndio kawaida yenu.

Unamuongelea kizito tu,huyo msanii tu hata kushika bunduki hajui.

Karegeya alivyokufa,Kagame alisema waziwazi 'those who betray the country will face "consequences".Those who were made who they were by Rwanda and then turn their backs on the country can be dealt with.

James Kabarebe khs kufa kwa Karegeya akasema When you choose to be a dog, you die like a dog, and the cleaners will wipe away the trash so that it does not stink for them.
 
Unamuongelea kizito tu,huyo msanii tu hata kushika bunduki hajui.

Karegeya alivyokufa,Kagame alisema waziwazi 'those who betray the country will face "consequences".Those who were made who they were by Rwanda and then turn their backs on the country can be dealt with.

James Kabarebe khs kufa kwa Karegeya akasema When you choose to be a dog, you die like a dog, and the cleaners will wipe away the trash so that it does not stink for them.
Sasa kifo za kizito kujinyonga maabusu, ndio wapigie makofi kufurahia kifo chake.
Mkuu nyamwasa Mimi naamini 💯 Hana uwezo wa kuizuri Rwanda KIVITA , huo uwezo Hana kabisa.
Hao wanawindwa kwa ajili tu ya manufaa ya PK yeye mwenyewe.
Hivi mtu Kama Noble marara na Peter mutabaruka wanna madhara gani KIVITA na Rwanda au hata David himbara na theogene rudasingwa?
 
Back
Top Bottom