Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,436
- 21,262
Jamani hiv huyu makamu yeye ndio wa arusha moshi manzese kariakoo ??mbona mzee wa kaya amwaachii akaoshe jamani na yeye atoe nuksi afe ameenjoy nchi duh..haya nasikia mkulu anaelekea sudan si mchezo majuzi tu katoka south
i love per diem nakupenda sana nakulavuuuuuuuuu muno muno kila la kheri mkulu unakula kwa urefu wa kamba yako
i love per diem nakupenda sana nakulavuuuuuuuuu muno muno kila la kheri mkulu unakula kwa urefu wa kamba yako