Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,377
Unajua kwanini Tazara haifanyi kazi kwa ufanisi? Kwa hiyo SGr si imepita pembeni ya reli ya kati
Huko kuna TAZARA mkuu. Kigoma imekaa kimkakati zaidi, ingawaje serikali imeamua kuanza kipande cha Dar to Mwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Imepita pembeni ya central railway yes na kwa kuwa reli ya kati inafanya vizuri kwenye abiria wakaona bora wajenge SGR ili kuongeza huduma. Pia inajengwa kimkakati ili iunganishe Rwanda na Burundi. Huko TAZARA tayari reli imeenda hadi Zambia so hakuna haja ya kujenga reli nyingine.Unajua kwanini Tazara haifanyi kazi kwa ufanisi? Kwa hiyo SGr si imepita pembeni ya reli ya kati
Mdogo mdogo anakuja huko mambo mazuri hayahitaji harakaMkuu alikosea sana hiyo SGR ingepitia Dar to Moshi hapo iguse na Tanga ipite Arusha ikaguse Manyara, Singida ikatoboe mpaka mwanza then Kigoma.
Hii reli ingelipa balaa hebu tuchukulie mfano wa December na tunavyojua treni ya umeme ni masaa kadhaa tu mtu ushafika hakika kwa mfano Dar to Moshi to Arusha msimu huu wa November na December wangetengeneza bilions of money bado hujaweka mizigo ya Mwanza, Kigali, Burundi, na Kongo hakika tungekuwa mbali sana na ingeleta manufaa mazuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivo unaposema kanda ya kaskazini kuna wasafiri wengi ni siku za sikukuu tu, lakini tuangalie taabu wanayoipata watu wa kanda ya ziwa kusafiri kwenda Dar kwa masaa mengi, vile vile bidhaa kanda ya ziwa ni ghali kwa sababu ya umbali kwa hyo ukipitisha huko unapotaka wewe utazidi kuwapa shidaSikumaanisha kwa ajili ya dec no0 ndo maana nikaweka kigoma,burundi rwanda na kongo kwamba itaenda mpaka huko mipakani izifikie hizo nchi ila ipitie kanda ya Arusha moshi maana wasafiri huwa wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wastani wa siku kanda ya kaskazini basi 30-50 huondoka na kuelekea huko,tuachane na kipindi hiki kifupi cha mwisho wa mwaka by nature watu wa kanda hii ni watu wa pulikapulika.Ndo hivo unaposema kanda ya kaskazini kuna wasafiri wengi ni siku za sikukuu tu, lakini tuangalie taabu wanayoipata watu wa kanda ya ziwa kusafiri kwenda Dar kwa masaa mengi, vile vile bidhaa kanda ya ziwa ni ghali kwa sababu ya umbali kwa hyo ukipitisha huko unapotaka wewe utazidi kuwapa shida
Hapa hakuna kitu mkuu unachemkaMkuu alikosea sana hiyo SGR ingepitia Dar to Moshi hapo iguse na Tanga ipite Arusha ikaguse Manyara, Singida ikatoboe mpaka mwanza then Kigoma.
Hii reli ingelipa balaa hebu tuchukulie mfano wa December na tunavyojua treni ya umeme ni masaa kadhaa tu mtu ushafika hakika kwa mfano Dar to Moshi to Arusha msimu huu wa November na December wangetengeneza bilions of money bado hujaweka mizigo ya Mwanza, Kigali, Burundi, na Kongo hakika tungekuwa mbali sana na ingeleta manufaa mazuri sana.
Sent using Jamii Forums mobile app