Haha umetokea kunifurahisha, anyway... Wajerumani hawapati shida kutamka maneno/majina ya Ki-Swahili.- Bob=Bobu
- Larsson=Larsoni
- Kahl=Kahil
- Wolfsburg=Wofsibugi
- Mainz=Mainzi
- Leipzig=Lepzigi
- Stuttgart=Stutigati
- Karlsruher=Hili jina ni gumu kwa hiyo watakavyotamka nasi tutanakili ila kinyume inakuwa tutaandika tofauti na wao wanavyoandika, sisi tutaandika kama ambavyo watatamka
Rejea;Schule=Inatamkwa shule nasi tunaandika shule na kutamka shule
- Stavanger=Stavangeri
- Waterford=Waterifod
Director Cosmopolitan
Hata Ujerumani na Namibia huita Tanzania (Tansania) hata kuandika.Denimaki huita Tanzania, Tansania
Ufaransa huita Tanzania, Tanzanii na huandika Tanzanie
Hahahahahaha 😂😂😂😂John Pombe Joseph Magufuli = Yohana Pombe Yusufu Magufuli?
Ama sijaelewa hoja yako?
Hapana mkuu mimi ni kapuku tu
umenikumbushaKabisa mkuu tena wanakosea sana inabidi watamke TeBeChe moja maana alfabeti za kiswahili zina namna ya utamkaji wake
Nafikiri ukijua kutamka vizuri jina la mtu fulani ni Bora zaidi.
Na nivizuri tu pia ukilitamka kama linavyo tankwa kwa lugha yake asilia.
Tumejifunza lugha za watu mbalimbali za kigeni, lakini katika lugha hizo tumejifunza pia maneno na namna maneno hayo yanavyotamkwa.
Mfano.
School, tunatamka Skul, Sio School kwasababu halitamkwi hivo kwa lugha asili.
Ni mtazam
Tatizo watu hudhani ni ushambaUpo sahihi mkuu. Andiko lako ni zuri na nakuunga mkono. Think global act local ndio hii. Tuipe nafasi na heshima lugha yetu tukufu na bora ya kiswahili.
- Bob=Bobu
- Larsson=Larsoni
- Kahl=Kahil
- Wolfsburg=Wofsibugi
- Mainz=Mainzi
- Leipzig=Lepzigi
- Stuttgart=Stutigati
- Karlsruher=Hili jina ni gumu kwa hiyo watakavyotamka nasi tutanakili ila kinyume inakuwa tutaandika tofauti na wao wanavyoandika, sisi tutaandika kama ambavyo watatamka
Rejea;Schule=Inatamkwa shule nasi tunaandika shule na kutamka shule
- Stavanger=Stavangeri
- Waterford=Waterifod
Director Cosmopolitan
Ok sawa,Tatizo hudhani ni ushamba
John Pombe Joseph Magufuli = Yohana Pombe Yusufu Magufuli?
Ama sijaelewa hoja yako?
Kweli mkuu hadhi ya kuwa lugha ya pili kwa kuongewa na watu wengi Afrika ni kubwa sana tusipoanza kurekebisha mambo madogo madogo na kukubali changamoto ambazi hutuboresha tutaonekana ni watu wa hovyoMkuu uko njema sana
Tukidumishe Kiswahili chetu