Ni ktk hifadhi ya serengeti, walikuwa ktk machimbo ya zamani na zana za kuchimbia na mawe yaloshachimbwa ktk viroba! Na gari la polisi! Source. Tbc taifa.
Majizi haya Comrade si unakumbuka wafanya biashara ya madini wa mahenge yale majizi ya mahindi ya moshi na matukio kibao hovyo sana lakini wakiambiwa maandamano ya kudai haki ya CDM utasikia sababu za kiintelijensia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.