Mkuu MziziMkavu Akiwajibika....!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,031
21,499
mkavu.jpg
Mkuu MziziMkavu akitoa kitu cha kande moja matata sana!
 
Last edited by a moderator:
Ndo chakula nilikuwa napenda wakati nipo shule yani nachanganya na blue band,butter,sukari,parachichi na ndizi ndo nakula
 
Ukiweka vipodozi:-sukari,blueb band,cocoa harufu yote inaisha....ng'ande my favorite food...
 
Ndo chakula nilikuwa napenda wakati nipo shule yani nachanganya na blue band,butter,sukari,parachichi na ndizi ndo nakula

Nilikua naweka urafiki na watu kama nyie ili nami nijihakikishie mambo mazuri. Umesahau nido hapo!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom