Mkuu MziziMkavu Akiwajibika....!!!!

donlucchese

JF-Expert Member
Mar 23, 2011
17,040
21,513
mkavu.jpg
Mkuu MziziMkavu akitoa kitu cha kande moja matata sana!
 
Last edited by a moderator:
Ndo chakula nilikuwa napenda wakati nipo shule yani nachanganya na blue band,butter,sukari,parachichi na ndizi ndo nakula
 
Ukiweka vipodozi:-sukari,blueb band,cocoa harufu yote inaisha....ng'ande my favorite food...
 
Ndo chakula nilikuwa napenda wakati nipo shule yani nachanganya na blue band,butter,sukari,parachichi na ndizi ndo nakula

Nilikua naweka urafiki na watu kama nyie ili nami nijihakikishie mambo mazuri. Umesahau nido hapo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom