Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,180
Wanabodi,
Kesho ndio kesho, ni ile siku mwenzetu Maxence Melo, Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, anakabidhiwa tuzo ya CPJ International Press Freedom Awards katika dinner that will be held on Thursday, November 21, 2019, at the Grand Hyatt New York (42nd Street and Lexington Avenue) in New York.
Kama kawaida yetu sisi Watanzania kushirikiana, kusupportiana na kujumuika pamoja, katika shida na raha, hivyo natoa ombi kwa Watanzania walioko viunga vya New York na vitongoji vyake, especially wana JF, wenye nafasi, onyesheni solidarity ya mshikamano na ushirikiano kwa kujiunga na Max japo kumpongeza tuu, huku kwa sisi wa nyumbani, mapokezi makubwa yanamsubiri siku atakaporejea nyumbani na tuzo yake.
Hongera Max, Hongera JF Team na hongera kwa sisi Watanzania, Max, Katubeba.
Paskali.
====
Ya Wadau
Kesho ndio kesho, ni ile siku mwenzetu Maxence Melo, Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, anakabidhiwa tuzo ya CPJ International Press Freedom Awards katika dinner that will be held on Thursday, November 21, 2019, at the Grand Hyatt New York (42nd Street and Lexington Avenue) in New York.
Kama kawaida yetu sisi Watanzania kushirikiana, kusupportiana na kujumuika pamoja, katika shida na raha, hivyo natoa ombi kwa Watanzania walioko viunga vya New York na vitongoji vyake, especially wana JF, wenye nafasi, onyesheni solidarity ya mshikamano na ushirikiano kwa kujiunga na Max japo kumpongeza tuu, huku kwa sisi wa nyumbani, mapokezi makubwa yanamsubiri siku atakaporejea nyumbani na tuzo yake.
Hongera Max, Hongera JF Team na hongera kwa sisi Watanzania, Max, Katubeba.
Paskali.
====
Ya Wadau
Maxence Melo Mubyazi, TanzaniaCPJ's 2019 International Press Freedom Awards - Committee to Protect Journalists
CPJ's annual International Press Freedom Awards and benefit dinner will honor courageous journalists from around the world on Thursday, November 21, 2019, in New York City. This year's dinner will be chaired by Laurene Powell Jobs and Peter Lattman of the Emerson Collective. The evening will be...cpj.org
(Jamii Forums)
Maxence Melo Mubyazi is a champion of online freedom of expression in Tanzania. He is the co-founder and managing director of Jamii Forums, a popular East and Central African website and discussion forum that is a source of breaking news. He has been charged under the country's restrictive Cybercrimes Act and, in 2017, appeared in court 81 times.