Mkuu Gereza la Ukonga ashutumiwa kujiingiza kwenye siasa za CCM, adaiwa kusaka cheo kikubwa zaidi kupitia mgongo wa CHADEMA

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,519
217,785
Waliokuwa Wagombea ubunge wa Chadema kwenye ule uchaguzi hewa wa 2020 , wamefunguka leo chanzo cha wao kuzuiwa kuingia ndani ya gereza la Ukonga kumuona Mwenyekiti wao Freeman Mbowe, katika siku halali na muda muafaka wa kuona Mahabusu.

Wamefunguka yote haya katika Mkutano wao na Waandishi wa Habari uliofanyika kwenye Makao Makuu ya Chama hicho huko Kinondoni, Mkoani Dar es Salaam.

Kisingizio cha Corona kilichotolewa na Mkuu wa gereza hilo kimepuuzwa vikali na wadau kwa madai kwamba hakuna corona popote duniani inayobagua watu kutokana itikadi ya siasa, kwamba wazuiliwe Chadema waliopata chanjo na huku wakiwa na tahadhari zote za corona, ikiwa ni pamoja na kuvaa barakoa na Sanitizer za kutosha, lakini watu wengine tena waliokimbia chanjo na wasiochukua tahadhari yoyote waruhusiwe, Maajabu!

Bali inafahamika kwamba Mkuu huyo wa Gereza aliamua kuwazuia Chadema ili apeleke Ushawishi kwa Mamlaka za uteuzi za CCM ili apandishwe cheo zaidi, hii ni kutokana na uzoefu wa miaka mingi wa viongozi wa serikali ya CCM kuwapandisha vyeo wale wote wanaojitolea kuwatesa Viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima.

Video hii hapa.

View attachment 1986460

Pia soma: Msemaji wa Magegereza aanika Sababu Makada wa Chadema kuzuiwa kumuona Mbowe
 
Wanafki hawaishi kisa maslahi na vyeo. Hata wale waliomsifu mwendazake leo hii wote wamemgeuka. Binadam wapo kinafkinafki kwaajili ya maslahi.

Kiongozi mwenye akili yafaa awajue na kuwagundua wanafki wote ambao wapo kimaslahi, ili awaepuke.
 
Ili uwe ktk ngazi sawa na huyo bwana lazima uwe ni mwanachama wa chama cha Mapinduzi, hicho ndicho kigezo kikubwa.

Jeshi hili la polisi haliwezi kuwa na weledi wowote kwa sababu wameingizwa kwenye siasa na chama cha Mapinduzi ili kikilinda chama chao.
 
CCM kwa sasa wanaona mambo si mambo, sasa wanaingia karibu kwenye kila sekta /idara/taasisi ya umma kuhakikisha Mbowe anadhibitiwa bila kujua kuna vi-mbowe kibao mtaani.

Kwanza kuleni hii Single kali mburudike makamanda !!


 
CCM kwa sasa wanaona mambo si mambo, sasa wanaingia karibu kwenye kila sekta /idara/taasisi ya umma kuhakikisha Mbowe anadhibitiwa bila kujua kuna vi-mbowe kibao mtaani.

Kwanza kuleni hii Single kali mburudike makamanda !!


Hakika
 
Bali inafahamika kwamba Mkuu huyo wa Gereza aliamua kuwazuia Chadema ili apeleke Ushawishi kwa Mamlaka za uteuzi za CCM ili apandishwe cheo zaidi, hii ni kutokana na uzoefu wa miaka mingi wa viongozi wa serikali ya CCM kuwapandisha vyeo wale wote wanaojitolea kuwatesa Viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima
Mkuu Erythro, wewe umeamua kuliweka hivyo, unaweza ukawa sahihi, lakini mimi naliona likianzia juu kushuka chini.

Sabau kubwa ya kumweka gerezani Mbowe ni kumsurubu kadri iwezekanavyo, hata kama itakuwa imeshindikana kumtia hatiani kwa vile kesi imebuma.
Lililopo sasa ni kumnyima matumaini na kum-'frustrate' kadri iwezekanavyo, huku wakitafuta njia za kutokea au kubana zaidi.

Huyo mkuu wa magereza anapokea amri tu na anatekeleza, kama yule Jaji Siyayi alivyoagizwa.
 
Wanafki hawaishi kisa maslahi na vyeo. Hata wale waliomsifu mwendazake leo hii wote wamemgeuka. Binadam wapo kinafkinafki kwaajili ya maslahi.

Kiongozi mwenye akili yafaa awajue na kuwagundua wanafki wote ambao wapo kimaslahi, ili awaepuke.
Maisha haya aisee ajabu sana
 
Waliokuwa Wagombea ubunge wa Chadema kwenye ule uchaguzi hewa wa 2020 , wamefunguka leo chanzo cha wao kuzuiwa kuingia ndani ya gereza la Ukonga kumuona Mwenyekiti wao Freeman Mbowe, katika siku halali na muda muafaka wa kuona Mahabusu.

Wamefunguka yote haya katika Mkutano wao na Waandishi wa Habari uliofanyika kwenye Makao Makuu ya Chama hicho huko Kinondoni, Mkoani Dar es Salaam.

Kisingizio cha Corona kilichotolewa na Mkuu wa gereza hilo kimepuuzwa vikali na wadau kwa madai kwamba hakuna corona popote duniani inayobagua watu kutokana itikadi ya siasa, kwamba wazuiliwe Chadema waliopata chanjo na huku wakiwa na tahadhari zote za corona, ikiwa ni pamoja na kuvaa barakoa na Sanitizer za kutosha, lakini watu wengine tena waliokimbia chanjo na wasiochukua tahadhari yoyote waruhusiwe, Maajabu!

Bali inafahamika kwamba Mkuu huyo wa Gereza aliamua kuwazuia Chadema ili apeleke Ushawishi kwa Mamlaka za uteuzi za CCM ili apandishwe cheo zaidi, hii ni kutokana na uzoefu wa miaka mingi wa viongozi wa serikali ya CCM kuwapandisha vyeo wale wote wanaojitolea kuwatesa Viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima.

Video hii hapa.

View attachment 1986460

Pia soma: Msemaji wa Magegereza aanika Sababu Makada wa Chadema kuzuiwa kumuona Mbowe
Jamba basi
 
Waliokuwa Wagombea ubunge wa Chadema kwenye ule uchaguzi hewa wa 2020 , wamefunguka leo chanzo cha wao kuzuiwa kuingia ndani ya gereza la Ukonga kumuona Mwenyekiti wao Freeman Mbowe, katika siku halali na muda muafaka wa kuona Mahabusu.

Wamefunguka yote haya katika Mkutano wao na Waandishi wa Habari uliofanyika kwenye Makao Makuu ya Chama hicho huko Kinondoni, Mkoani Dar es Salaam.

Kisingizio cha Corona kilichotolewa na Mkuu wa gereza hilo kimepuuzwa vikali na wadau kwa madai kwamba hakuna corona popote duniani inayobagua watu kutokana itikadi ya siasa, kwamba wazuiliwe Chadema waliopata chanjo na huku wakiwa na tahadhari zote za corona, ikiwa ni pamoja na kuvaa barakoa na Sanitizer za kutosha, lakini watu wengine tena waliokimbia chanjo na wasiochukua tahadhari yoyote waruhusiwe, Maajabu!

Bali inafahamika kwamba Mkuu huyo wa Gereza aliamua kuwazuia Chadema ili apeleke Ushawishi kwa Mamlaka za uteuzi za CCM ili apandishwe cheo zaidi, hii ni kutokana na uzoefu wa miaka mingi wa viongozi wa serikali ya CCM kuwapandisha vyeo wale wote wanaojitolea kuwatesa Viongozi na wanachama wa Chadema nchi nzima.

Video hii hapa.

View attachment 1986460

Pia soma: Msemaji wa Magegereza aanika Sababu Makada wa Chadema kuzuiwa kumuona Mbowe
Mungu ibariki CHADEMA! Kukichwa kutapambazuka...lakini kabla mwanga kuchomoza kiza huwa totoro
 
Back
Top Bottom