Mkuu Gaganiga

Chawa wa lumumbashi

JF-Expert Member
Nov 19, 2022
781
1,711
Majobless, masikini na mnaoshi kwa shemeji zenu mko poa? Na wakerewe pia mko poa?

Wakuu humu jf kuna lijamaa linaitwa gaganiga daah wakuu huyu jamaa ni mnyamwezi fulani iko pesa nyingi sana aisee mimi kwanza nilistaajabu baada ya kumuona nikajiuliza hilidaa chalii mbona ni cool?

Nilikutana nae pale Cape Town fish market yupo na millionaire wenzake wakipiga pombe na vileo vya bei mbaya nikijaribu kupiga makes Abu inafikia kama milioni kumi hivi nikasema daah huyu jamaa ni hatari aisee.

Kwanza jamaa hana Shoo za kijinga jinga na pembeni amepaki land rover discover namba E ikiwa inapumua tuu daah aisee kuna watu wana hela aisee Acha kabisa.

Jamaa nimepiga nae story akanipeleka kwenye majumba yake daaah aisee wakuu si nyumba ni majumba tena ya kifahari aisee.

Ana majumba matatu hapa Bongo moja lipo masaki kuna lingine lipo upanga karibu nq sea view na kuna jingine lipo mbezi beach yote amewaweka wake zake wa kiarabu tena weupe.

Jamaa ananiambia kuna majumba yake mengine yapo Nairobi kule yako 3 mengine capetown, kuna mengine yapo marekani na London ana majumba pia, aisee huyu jamaa ana hela sana aisee.

Nawasilisha aisee kazi kwenu wenye wivu,majunga na chuki za waziwazi kwa hili niga the billionaire gaganiga.
 
.
20221121_190552.jpg
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom