Sijaona km wanachofanya ni sawa kwasababu ata uko bungeni hawajaamua bado.
Nguvu iliyotumia kutaka mkutano na nilicho shuhudia ni mtu mjinga tu ndio anaweza kuiona afya ya ccm kwenye tundu la sindano
Sijaona km wanachofanya ni sawa kwasababu ata uko bungeni hawajaamua bado.
Nguvu iliyotumia kutaka mkutano na nilicho shuhudia ni mtu mjinga tu ndio anaweza kuiona afya ya ccm kwenye tundu la sindano
Si sawa pia katiba si ya vyama ni wananchi.
Yeah! Kama mlivyoitabiri afya ya ccm kule kalenga!