johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,901
- 141,840
Nimesikia kwa kifupi kupitia ITV habari mjumbe mmoja wa mkutano wa wakuu wa Upelelezi wa nchi za Afrika Mashariki akisema wamejadili Ugaidi wa Dar es salaam na Mombasa.
Nauliza tu Ugaidi wa Dar es Salaam ni ule wa Hamza au ni hii kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe?
Mungu ni mwema wakati wote!
Nauliza tu Ugaidi wa Dar es Salaam ni ule wa Hamza au ni hii kesi ya mwenyekiti wa CHADEMA mh Mbowe?
Mungu ni mwema wakati wote!