Wanatakiwa kuchapwa hawa badala ya kukaa na kujadili kwanini shule za kiislamu zinaburuza mkia wanakaa na kujadili mambo yasiyokuwa na msingi!
Baada ya kujadili hayo uyasemayo ndio maana Uamsho wakaamua kuchukua hatua hii.
Wanatakiwa kuchapwa hawa badala ya kukaa na kujadili kwanini shule za kiislamu zinaburuza mkia wanakaa na kujadili mambo yasiyokuwa na msingi!
Uamsho-umoja wa ajira,mapenzi na sarakasi huko oman
Funguka mkuu. Weka details za kutosha. The main agenda ya mkutano huo ni nini?
Funguka mkuu. Weka details za kutosha. The main agenda ya mkutano huo ni nini?
nna wasi wasi sju kama hutumii masaburi kufkiriaWana Uamsho hivi wanaelewa wanachokitaka?
Angalieni Bush asije akanunua Zanzibar yote kupitia kwa mpambe wake Saudi Arabia. Nawaeleza hilo kwa sababu mnachotaka wana uamsho ni kuuza nchi na kurudisha wananchi wa zanzibar kwenye utumwa ambao wananchi wataona ni sawa kwamba tunatawaliwa na waarabu ambao ni dini yetu, sasa hapa ndiyo panapokuja swali kwamba huyo muarabu atakaa na zanzibar mpaka lini? Je hao wanauamsho hawafanyi biashara ya kuuza Zanzibar kwa waarabu ambao ndiyo wafanyabiashara wakuu kwa Wazungu? Wazungu ni watu hatari sana, kwenye weakness yenu ndiyo hapohapo wanapita.
Mimi nina mashaka sana Zanzibar inauzwa kwa wazungu mwarabu ni dalali tu wa kati, Zanzibar iko Africa mbali sana na uarabuni, muarabu ana uchungu gani na Zanzibar mpaka akipewa hela aache kuiuza,.
Wanzanzibar fungueni akili otherwise wote mtamilikiwa na Mzungu kupitia muarabu.
Wazungu hawana ardhi tena huko kwao wanakuja Africa kwa nguvu zote kutafuta ardhi ya kuishi sijui kama mnalielewa hilo, hata wakoloni walivyokuja Africa walitumia dini kuingia na kututawala, sasa wanarudi tena kwa njia hiyo na nyingine nyingi.
Wanzanzibari mkipewa nchi mtaweza kujitawala wenyewe au mtauza nchi kwa msiyemjua??
huyu ni zaidi ya jembe nadhani ni shoka au kifuu tunduKumbe Zubedayo ni JEMBE.
Wana Uamsho hivi wanaelewa wanachokitaka?
Angalieni Bush asije akanunua Zanzibar yote kupitia kwa mpambe wake Saudi Arabia. Nawaeleza hilo kwa sababu mnachotaka wana uamsho ni kuuza nchi na kurudisha wananchi wa zanzibar kwenye utumwa ambao wananchi wataona ni sawa kwamba tunatawaliwa na waarabu ambao ni dini yetu, sasa hapa ndiyo panapokuja swali kwamba huyo muarabu atakaa na zanzibar mpaka lini? Je hao wanauamsho hawafanyi biashara ya kuuza Zanzibar kwa waarabu ambao ndiyo wafanyabiashara wakuu kwa Wazungu? Wazungu ni watu hatari sana, kwenye weakness yenu ndiyo hapohapo wanapita.
Mimi nina mashaka sana Zanzibar inauzwa kwa wazungu mwarabu ni dalali tu wa kati, Zanzibar iko Africa mbali sana na uarabuni, muarabu ana uchungu gani na Zanzibar mpaka akipewa hela aache kuiuza,.
Wanzanzibar fungueni akili otherwise wote mtamilikiwa na Mzungu kupitia muarabu.
Wazungu hawana ardhi tena huko kwao wanakuja Africa kwa nguvu zote kutafuta ardhi ya kuishi sijui kama mnalielewa hilo, hata wakoloni walivyokuja Africa walitumia dini kuingia na kututawala, sasa wanarudi tena kwa njia hiyo na nyingine nyingi.
Wanzanzibari mkipewa nchi mtaweza kujitawala wenyewe au mtauza nchi kwa msiyemjua??