The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,393
- 12,977
PHP:
Tendwa akutana na waandishi wa habari
Msajli wa Vyama vya Siasa, John Tendwa leo anatarajiwa kukutana na waandishi wa habari kuzungumzia Sheria ya Gharama za Uchaguzi katika uchaguzi huo mdogo utakaofanyika hivi karibuni.
"Kesho (leo) atafanya mkutano na waandishi saa 4:00 asubuhi ofisini kwake, kuongelea Sheria ya Gharama za Uchaguzi katika Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Igunga, mkoani Tabora, waandishi wa habari mnaalikwa," ilisema taarifa iliyotumwa kwa vyombo vya habari jana.
Source Mwananchi
Tunaomba akina Pasco & co. mtujuze kinachojili.