Mkutano wa Shein London Wavamiwa na Wazimbabwe & BALOZI MAJAAR vs JF

Lakini sasa Mtanzania na GT imekuwaje tena juzi hatukuonana? Nilikuwa karibu kabisa na Nora nikijua nitawabamba lakini wapi? :)

Kitila,

Mimi nilikuona, nilikusalimia na pia nikakuaga wakati wa kuondoka. Hata swali nilikuuliza wakati unasimamia workshop ya skills opportunities for diaspora.

Ni bora tukabaki tulivyo maana vinginevyo tutaanza kuwa marafiki na kuaanza kuona haya inapobidi kumkoma nyani.

GT nilimwona kwa mbali, sikutaka kumsogelea maana huyo ni Dr.WHO angeweza kunitambua.
 
I am speechless

Hiyo spin ya TA huko london isikupe taabu, wananchi wa Tanzania wenye access za mitandao(internent), walishaaamuka siku nyingi sana kwamba uthibitisho wa ukweli wa habari yoyote ya siasa, hupatikana hapa Jambo Forums, the matter of fact hata viongozi mbali mbali wa taifa letu, source ya ukweli wa habari huipata hapa,

Sasa TA na anybody else, anaweza ku-spin as much as they want, lakini ni heshima tuliyojijengea hapa JF katika kusahihisha na kurekebisha ukweli wa siasa za taifa letu, ndio umesimama sana sasa hivi katika jamii ya Tanzania, na ukweli ni kwamba we are making a big progress na kuwa na heshima zaidi kwa sababu sasa baada ya waziri Chenge, kujiuzuru ni wazi kabisa kwamba siku zote tuko kwenye the right side of the glass on ishus za taifa letu!

Wito wangu kwa TA, ni kwamba you are not inclusive enough, na ni vyema mkarekebisha hayo sasa, othewise, siku zote mtakuwa against kivuli chenu wenyewe!
 
Kitila,
Nora nilimuona sana sema nilikuwa naogopa wale wanaliokuja na viki camera vyao

kama nilivyosema huyu binti ni wifey material sema sipendi alivyokuwa close na Abuu(moja kati ya sababu ya kutompenda Abuu ni hii) yaani Abuu anaonekana kama Pimp fulani hivi na hii inaniudhi sana

Nora ni mwanamke wa kumweka nyumbani na wala si kuhustle kama anavypfanya na Abuu

Inaniudhi sana hii

Picha za Nora hizi hapa na Abuu kaweka password hazichukuliki mwenye uwezo atuletee hapa:

http://tzuk.net/index.php?option=com_expose&Itemid=65

 
Kitila,

Mimi nilikuona, nilikusalimia na pia nikakuaga wakati wa kuondoka. Hata swali nilikuuliza wakati unasimamia workshop ya skills opportunities for diaspora.

Ni bora tukabaki tulivyo maana vinginevyo tutaanza kuwa marafiki na kuaanza kuona haya inapobidi kumkoma nyani.

GT nilimwona kwa mbali, sikutaka kumsogelea maana huyo ni Dr.WHO angeweza kunitambua.

hata mimi nilikuona sema nilikuona uko bize na watu wako
 
Hao wazimbabwe wanatka Tanzania ifanyeje??

Mie kwanza nimeshaanza kupata Hasira,KWanini US na Uk wanaanza kuingilia mambo ya Afriak?Kwani Zim ni koloni la Muingereza??Mie nadhani bado tumuache Mugabe atawale huku tukisubiri mtu mwingine mwenye kuweza kuongoza Zim kwa manufaa ya waafriak na sio kuendeshwa na mtu ambaye yuko london au Washington.

Hata kama nachukizwa na mambo ya Mugabe lakini nazani nachukizwa zaidi na unafiki wa wazungu kuliko mugabe!! Nakumbuka wakati Tsvangarai (correct it) anaingia kwenye siasa alikuwa anapakwa matope sana jamaa kwamba shule haimo!! Inawezekana ni kweli shule haimo lakini waliokuwa wanasambaza habari hizi ni hao hao wazungu kwavile walikuwa wanamuhofia kutokana kwavile alikuwa anatokea kwenye chama cha wafanyakazi!! Kwavile jamaa alikuwa anatokea chama cha wafanyakazi walihisi angekuwa mwiba sana kwao hadi pale walipogundua kwamba si vile walivyomtarajia!! Baada ya kuona kawa kikatuni chao kelele za kwamba hajaenda shule zikapotea kama zilivyokuja na badala yake wakaanza kumwandama Comrade Mugane!!!!! LONG LIVE MUGABE!!
 
Back
Top Bottom