Mkutano wa Shein London Wavamiwa na Wazimbabwe & BALOZI MAJAAR vs JF

Mama Majaar, tunajua sasa una kadi ya CCM. Umechukua baada ya kuona ulaji unakaribia. Bahati mbaya jina lako bado linaonekana kule kwenye trustee members wa CHADEMA.

Leo mmefanya Mnigeria aonekane mkubwa hata kuliko balozi wa nchi. Yaani mlikuwa mnashukuru utafikiri huyo mama ni rais wa nchi?

Hivi TA yetu mmeiuza wapi? TA ni Faraji na Nora.

Namshukuru katibu Lusingu kwa kunionyesha njia kwenda chooni, na kwenda ukumbini. Wakati Shein amekuwa mzee wa mikasi, mmefanya katibu wetu, mzee wa kuongoza watu kwenda vyooni?

Halafu ndo anataka sisi tujiunge na TA???
 
Maybe we are being heavy handed with Balozi here and I can see things getting out of proportion. Kitila alipohoji kwanini Gavana hakuongelea suala la EPA na hatua zinazochukuliwa dhili ya Balali, response ya Mama Maajar made sense to me- alisema kuwa Forum ya jana ilikuwa about Investment and Skills kwa Diaspora na Gavana alipewa topic ya kuongelea na alikuwa na dakika kumi tu kuongelea hiyo mada,ni wazi kwamba muda huu usingetosha kwa yeye kuanza kuongelea madudu yaa BOT (which we all know anyway!). Ieleweke kwamba Balozi hakuitaja jamboforums directly lakini aliongelea kuhusu blogs wakati akihimiza watu wajitokeze na kuongelea matatizo yanayowakabili pamoja na kutoa mapendekezo yao serekalini badala ya 'kulalamika tu kwenye mablogu'. Inashangaza kuona kwamba hakuna mtu anayeongelea kitu chochote positive hapa kufuatia kongamano la jana, mazuri pia yalikwepo...
Kwa wengi tulioko ughaibuni Real Estate ni nyanja ambayo kila mtu ana interest nayo. Habari njema ni kwamba Commercia Bank Of Africa wanatoa 100% financing kwa ununuzi wa nyumba kuanzia kiasi cha Tshs 20m up to 350m na kizuri zaidi una nafasi ya kufanya malipo haya kwa kipindi cha miaka 15!
Contacts zao ni: Simu-+255 22 213 0113
Email-info@cba.co.tz
Web-www.cba.co.tz
Pia National Housing Corporation wana projects mpya maeneo mbalimbali nchini, kwa Dar kuna nyumba za Mbweni zinazo range kati ya Tsh. 72m up to 142m na terms za malipo ni 50% down payment then unalipa remaining balance in 1 year.Hizi terms zao ni ngumu lakini kuna matumaini zitabadilika kwa kuwa Gavana alidokeza kwamba muswada wa masuala ya mortgage umeshapelekwa bungeni.
NHC contacts:-Tel-+255 22 2851590/2851135
Email-dg@nhctz.com
Web-www.nhctz.com
Na mwisho kabisa naungana na mabankers wote waliiongea jana kuwa ni muhimu wote tulioko ughaibuni tuwe na saving accounts nyumbani (sio lazima iwe kwenye madafu, unaweza kufungua in USD au pounds) ili tusaidie kuboost economy in one way or another. Pia CEO wa DSM sock exchange ameshauri watu tufanye savings kwa ku invest kwenye shares kwa kuwa zinalipa zaidi kuliko kuweka hela bank, the choice is yours.....
Kila la heri.
 
Sina nia ya kutatisha tamaa mashauri ya mabankers, nadhani wao wangeandaa kongamano kwa viongozi wetu ili kuwashawishi hao viongozi kutotunza pesa banks nje ya nchi ili kuboost economy ya nchi yetu e.g. Jersey (Chenge na wenzake)
 
Maybe we are being heavy handed with Balozi here and I can see things getting out of proportion. Kitila alipohoji kwanini Gavana hakuongelea suala la EPA na hatua zinazochukuliwa dhili ya Balali, response ya Mama Maajar made sense to me- alisema kuwa Forum ya jana ilikuwa about Investment and Skills kwa Diaspora na Gavana alipewa topic ya kuongelea na alikuwa na dakika kumi tu kuongelea hiyo mada,ni wazi kwamba muda huu usingetosha kwa yeye kuanza kuongelea madudu yaa BOT (which we all know anyway!). Ieleweke kwamba Balozi hakuitaja jamboforums directly lakini aliongelea kuhusu blogs wakati akihimiza watu wajitokeze na kuongelea matatizo yanayowakabili pamoja na kutoa mapendekezo yao serekalini badala ya 'kulalamika tu kwenye mablogu'. Inashangaza kuona kwamba hakuna mtu anayeongelea kitu chochote positive hapa kufuatia kongamano la jana, mazuri pia yalikwepo...
Kwa wengi tulioko ughaibuni Real Estate ni nyanja ambayo kila mtu ana interest nayo. Habari njema ni kwamba Commercia Bank Of Africa wanatoa 100% financing kwa ununuzi wa nyumba kuanzia kiasi cha Tshs 20m up to 350m na kizuri zaidi una nafasi ya kufanya malipo haya kwa kipindi cha miaka 15!
Contacts zao ni: Simu-+255 22 213 0113
Email-info@cba.co.tz
Web-www.cba.co.tz
Pia National Housing Corporation wana projects mpya maeneo mbalimbali nchini, kwa Dar kuna nyumba za Mbweni zinazo range kati ya Tsh. 72m up to 142m na terms za malipo ni 50% down payment then unalipa remaining balance in 1 year.Hizi terms zao ni ngumu lakini kuna matumaini zitabadilika kwa kuwa Gavana alidokeza kwamba muswada wa masuala ya mortgage umeshapelekwa bungeni.
NHC contacts:-Tel-+255 22 2851590/2851135
Email-dg@nhctz.com
Web-www.nhctz.com
Na mwisho kabisa naungana na mabankers wote waliiongea jana kuwa ni muhimu wote tulioko ughaibuni tuwe na saving accounts nyumbani (sio lazima iwe kwenye madafu, unaweza kufungua in USD au pounds) ili tusaidie kuboost economy in one way or another. Pia CEO wa DSM sock exchange ameshauri watu tufanye savings kwa ku invest kwenye shares kwa kuwa zinalipa zaidi kuliko kuweka hela bank, the choice is yours.....
Kila la heri.

KKN,
Asante. Bahati mbaya mimi sikuweza kufika. Ila so far nimeshangaa kwanini hamna kitu positive kilichotokea chenye kustahili kuongelewa hapa. Naomba uanzishe thread mpya ya kuongelea mazuri yaliyotokea. Ukichanganya mambo mazuri na negativity katika thread hizi mbili, itatufanya tuonekane kweli hatuna mpango hapa JF. Give credit where credit is due.
 
KKN,
Asante. Bahati mbaya mimi sikuweza kufika. Ila so far nimeshangaa kwanini hamna kitu positive kilichotokea chenye kustahili kuongelewa hapa. Naomba uanzishe thread mpya ya kuongelea mazuri yaliyotokea. Ukichanganya mambo mazuri na negativity katika thread hizi mbili, itatufanya tuonekane kweli hatuna mpango hapa JF. Give credit where credit is due.

Its a shame that forum ilikuwa na title ya "TANZANIA DIASPORA INVESTORS & SKILLS FORUM" lakini hapa kinachoongelewa ni "BALOZI MAAJAR vs JF". Ngoja nifanye hivyo mkuu, najua wenzetu ambao hawapo hapa UK watapenda kujua mazuri yaliyojiri.
 
Maybe we are being heavy handed with Balozi here and I can see things getting out of proportion. Kitila alipohoji kwanini Gavana hakuongelea suala la EPA na hatua zinazochukuliwa dhili ya Balali, response ya Mama Maajar made sense to me- alisema kuwa Forum ya jana ilikuwa about Investment and Skills kwa Diaspora na Gavana alipewa topic ya kuongelea na alikuwa na dakika kumi tu kuongelea hiyo mada,ni wazi kwamba muda huu usingetosha kwa yeye kuanza kuongelea madudu yaa BOT (which we all know anyway!). Ieleweke kwamba Balozi hakuitaja jamboforums directly lakini aliongelea kuhusu blogs wakati akihimiza watu wajitokeze na kuongelea matatizo yanayowakabili pamoja na kutoa mapendekezo yao serekalini badala ya 'kulalamika tu kwenye mablogu'. Inashangaza kuona kwamba hakuna mtu anayeongelea kitu chochote positive hapa kufuatia kongamano la jana, mazuri pia yalikwepo...
Kwa wengi tulioko ughaibuni Real Estate ni nyanja ambayo kila mtu ana interest nayo. Habari njema ni kwamba Commercia Bank Of Africa wanatoa 100% financing kwa ununuzi wa nyumba kuanzia kiasi cha Tshs 20m up to 350m na kizuri zaidi una nafasi ya kufanya malipo haya kwa kipindi cha miaka 15!
Contacts zao ni: Simu-+255 22 213 0113
Email-info@cba.co.tz
Web-www.cba.co.tz
Pia National Housing Corporation wana projects mpya maeneo mbalimbali nchini, kwa Dar kuna nyumba za Mbweni zinazo range kati ya Tsh. 72m up to 142m na terms za malipo ni 50% down payment then unalipa remaining balance in 1 year.Hizi terms zao ni ngumu lakini kuna matumaini zitabadilika kwa kuwa Gavana alidokeza kwamba muswada wa masuala ya mortgage umeshapelekwa bungeni.
NHC contacts:-Tel-+255 22 2851590/2851135
Email-dg@nhctz.com
Web-www.nhctz.com
Na mwisho kabisa naungana na mabankers wote waliiongea jana kuwa ni muhimu wote tulioko ughaibuni tuwe na saving accounts nyumbani (sio lazima iwe kwenye madafu, unaweza kufungua in USD au pounds) ili tusaidie kuboost economy in one way or another. Pia CEO wa DSM sock exchange ameshauri watu tufanye savings kwa ku invest kwenye shares kwa kuwa zinalipa zaidi kuliko kuweka hela bank, the choice is yours.....
Kila la heri.

Kana Ka Nsungu,

Nafikiri hapa umeshindwa kuelewa thread hii inaongelea nini. Kwenye JF kunakuwa na threads zaidi ya moja zinazohusu jambo moja. Ungefanya la maana kama ungefungua thread nyingine kuongelea mafanikio ya forum ya jana.

Hapa hakuna anayesema hakukuwa na mafanikio ila kilichotugusa wengine ni ile reaction ya balozi juu ya hoja ya Kitila na blogs, kwa wengine tulielewa moja kwa moja anaongelea JF.

Nafikiri pia unakumbuka Balozi aliongea zaidi ya ulichoandika hapo juu, alienda mpaka kusifia baraza jipya la mawaziri na kwamba ni safi, je unaamini hayo?

Pia hakumjibu Kitila kwa maana ya kujibu kama ulivyoandika, balozi alionyeshwa wazi kukerwa na hiyo hoja. Alichokuwa anafanya ni kumshambulia mtoa hoja na ndio akaingiza na mengine mengi. Mimi ni shabiki mkubwa wa huyu mama, maana nimekuwa nikiamini ana nia njema. Lakini jana sikufurahia na kile alichokisema kuhusu TA, blogs na suala la BOT.

Kuhusu mafanikio kwa mimi naona labda na wale jamaa wa opportunities and skills walikuwa na jipya la kuongea na niliona ni kitu positive. Hao mabank wengine tumehudhuria forums zao nyingi, wanachoongea na reality ya mambo kule nyumbani ni tofauti kabisa. Una expect nini kutoka kwa mtu kama CEO wa shirika la nyumba? Amekuwa hapo miaka na hakuna jambo la maana linalofanyika.

Ni kweli kulikuwa na mafanikio lakini laiti kungelikuwa na ushirikiano mzuri na kukubali ushauri basi hiyo forum ingeliweza kufanikiwa zaidi.
 
Kuhusu mafanikio kwa mimi naona labda na wale jamaa wa opportunities and skills walikuwa na jipya la kuongea na niliona ni kitu positive. Hao mabank wengine tumehudhuria forums zao nyingi, wanachoongea na reality ya mambo kule nyumbani ni tofauti kabisa. Una expect nini kutoka kwa mtu kama CEO wa shirika la nyumba? Amekuwa hapo miaka na hakuna jambo la maana linalofanyika.

Ni kweli kulikuwa na mafanikio lakini laiti kungelikuwa na ushirikiano mzuri na kukubali ushauri basi hiyo forum ingeliweza kufanikiwa zaidi.

Iko hapa.

DIASPORA

Mkuu, in bold and red, naomba tuongee zaidi kwenye thread mpya. Namimi nakubaliana nawe. Tunatengeneza soko ambalo halina mizizi mizuri.
 
Kana Ka Nsungu,
Nafikiri hapa umeshindwa kuelewa thread hii inaongelea nini. Kwenye JF kunakuwa na threads zaidi ya moja zinazohusu jambo moja. Ungefanya la maana kama ungefungua thread nyingine kuongelea mafanikio ya forum ya jana.

Mtanzania,
Believe me nimesoma every page of this thread, yaani jana nilifika huku 'mkoani' really late na sikuweza kuandika yote niliyotaka kuandika kwa kuwa muda wangu mwingi uliishia kusoma yale yaliyokuwa yameandikwa. Ni wazi kuwa kwenye hii thread 'negavitivies' zimekuwa priority, kwanini isingeanzishwa thread ya tukio zima badala ya Maajar na JF? Jambo ambalo limesemwa for the very last minute lime overshadow tukio zima! Hata hivyo nimeanzisha hiyo thread kama unavyoshauri.
 
Mtanzania,
Believe me nimesoma every page of this thread, yaani jana nilifika huku 'mkoani' really late na sikuweza kuandika yote niliyotaka kuandika kwa kuwa muda wangu mwingi uliishia kusoma yale yaliyokuwa yameandikwa. Ni wazi kuwa kwenye hii thread 'negavitivies' zimekuwa priority, kwanini isingeanzishwa thread ya tukio zima badala ya Maajar na JF? Jambo ambalo limesemwa for the very last minute lime overshadow tukio zima! Hata hivyo nimeanzisha hiyo thread kama unavyoshauri.


Kana ka nsungu mawazo ya watu si yako.Kama umeona kuna positive mwaga hapa tuone na zichambuliwe wacha kulia lia.Katika siku zote uchafu mdogo huchukua muda na sifa kbwa .Watu wanasema kaa yapo hayawezi kuwa na impact na hawajakataa kwamba hayakuwepo .Sasa wewe unasema yapo yaseme .Balozi kachemka na kesha kalia la moto kuanzia sasa ataungua hata akitema mate.backers wake akina Mzee Es , Mtanzania wameamka mana wameona kile ambacho hawakuamini .
 
Mtanzania,
Believe me nimesoma every page of this thread, yaani jana nilifika huku 'mkoani' really late na sikuweza kuandika yote niliyotaka kuandika kwa kuwa muda wangu mwingi uliishia kusoma yale yaliyokuwa yameandikwa. Ni wazi kuwa kwenye hii thread 'negavitivies' zimekuwa priority, kwanini isingeanzishwa thread ya tukio zima badala ya Maajar na JF? Jambo ambalo limesemwa for the very last minute lime overshadow tukio zima! Hata hivyo nimeanzisha hiyo thread kama unavyoshauri.

Kana-ka-Nsungu,

Kwa mimi yale maneno ya mwisho ya Balozi yaliharibu sana. Forum ilikuwa inaenda vizuri sana mpaka pale uzalendo ulivyomshinda huyo mama na akaamua kutumia hasira badala ya busara.

Nafikiri duniani kote watu huwa tunaongelea zaidi matatizo na sio mafanikio. Mafanikio ni kitu kinachokuwa expected lakini matatizo yanakuwa unexpected hivyo rahisi kupewa attention kubwa yakitokea.
 
Mtanzania,
Believe me nimesoma every page of this thread, yaani jana nilifika huku 'mkoani' really late na sikuweza kuandika yote niliyotaka kuandika kwa kuwa muda wangu mwingi uliishia kusoma yale yaliyokuwa yameandikwa. Ni wazi kuwa kwenye hii thread 'negavitivies' zimekuwa priority, kwanini isingeanzishwa thread ya tukio zima badala ya Maajar na JF? Jambo ambalo limesemwa for the very last minute lime overshadow tukio zima! Hata hivyo nimeanzisha hiyo thread kama unavyoshauri.

KKN, tatizo hapa nadhani ni kuwa kutokana na kwamba GT huwa anamwaga material poa sana, kwenye thread hii watu wamejikuta keshawateka na kuwapelekesha kwenye vita vyake binafsi...... ambavyo tunamjua ni mtaalam katika hilo pia (hadi kaomba thread title iwe ya kivita!! :)). Na kwa kuwa watu kama nyinyi hamkuwepo JF kwani mmekuja a bit late, kitu ambacho kinaeleweka kutokana na mambo ya safari, basi thread nzima imejikuta ikifata zaidi yale aliyoleta GT.

Wewe, akina Lunyungu, Mtanzania, Nzoka na Kitila mlichelewa kidogo kuleta balance. Anyway, ni vizuri kuwa thread sasa ni mbili, hii ibakie na mambo yake na ile uliyoanzisha iendelee kuelezea yake. Thanx.

SteveD.
 
Kana ka Nsungu,

Mkuu tatizo la nchi yetu ni UFISADI...na hili lipo ktk kila sector za serikali na zile za watu binafsi.
Sikuwepo UK ktk mkutano huo isipokuwa nachofahamu ni kwamba viongozi wetu ni wazuri sana wa kuongea mambo mazito na yenye elimu kubwa sana isipokuwa yote haya ni kanyaboya!..Yaani kifupi tumegeuka kuwa taifa la MATAPELI.. hivyo hizo positive za maneno mkuu wangu sioni kama zitamsaidia mtu hapa.

Hivyo, ni muhimu sana kwa sisi wanaJF kuyatoa pia mapungufu ya viongozi wetu hasa ambao wanatumia elimu zao kuvuta wadanganyika...
Nitakupa mfano, maswala yote ulozungumza ni positive in a sense ya mazungumzo lakini inapofikia swala la KUAMINI serikali yetu (viongozi) inakuwa taabu kwa huyo kuweza ku invest nyumbani kwa sababu fedha yako itakuwa mtaji wa mtu binafsi ambaye yupo nyumbani akisubiri fedha kama hizi...
Kukosekana kwa rule of Law kumeifanya nchi yetu kuwa worse than Nigeria kwani hakuna guarantee yoyote zaidi ya makaratasi..

Ndio maana hata maendeleo yetu yamekuwa shida kubwa sana kwa sababu kila kitu kimewekwa ktk makabrasha na kufungiwa kabatini..kuendesha biashara Tanzania ni lazima utumie akili yako ya kuzaliwa.. kila mtu kavaa ngozi ya kondoo..
Nani anaweza kuamini yaliyotokea BoT kuwa yanawezekana chini ya sheria?..
Nani anaweza amini kuwa serikali yetu hadi leo inalipa fedha kwa kampuni ya Richmond ambayo haikusajiriwa Tanzania wala Marekani!
Nani anaweza amini kuwa Waziri mkuu, waziri wa fedha, waziri wa maliasili na Utalii, mwaka fedha wa CCM na viongozi kama Mkapa wameweza yafanya machuafu yote hayo wasifikishwe mahakamani...Na kama wao wakulu wameweza yafanya hayo nani chini ya Utawala huu atabakia nyuma akisubiri fedha ya halali (mshahara).
In a country like this mkuu ni vigumu sana kwa mtu kufikiria kuna kitu Positive ikiwa maswala ya Uvunjaji sheria yamewekwa kando!..
Kuendelea kuwekesha fedha zetu Tanzania ni kuendelea ku feed the same organ inayotuletea maradhi ya Umaskini nchini.
Kwa nini wako so interested na diaspora kuwekesha nyumbani ikiwa serikali hiyo hiyo haiwatambui kwa Uraia wao nje!..
Hii inawapa nafasi kubwa wazungushaji kukumaliza na hivyo vijisenti vyako vya ngama ulivyowekesha nyumbani.
Kwanza onyesheni ufumbuzi wa rule of Law nyumbani kisha ni rahisi kwa kila Mtanzania kuweza kuamini matokeo ya investment yake.
 
Nitakupa mfano, maswala yote ulozungumza ni positive in a sense ya mazungumzo lakini inapofikia swala la KUAMINI serikali yetu (viongozi) inakuwa taabu kwa huyo kuweza ku invest nyumbani kwa sababu fedha yako itakuwa mtaji wa mtu binafsi ambaye yupo nyumbani akisubiri fedha kama hizi...
Kukosekana kwa rule of Law kumeifanya nchi yetu kuwa worse than Nigeria kwani hakuna guarantee yoyote zaidi ya makaratasi..

Ndio maana hata maendeleo yetu yamekuwa shida kubwa sana kwa sababu kila kitu kimewekwa ktk makabrasha na kufungiwa kabatini..kuendesha biashara Tanzania ni lazima utumie akili yako ya kuzaliwa.. kila mtu kavaa ngozi ya kondoo..
Nani anaweza kuamini yaliyotokea BoT kuwa yanawezekana chini ya sheria?..
Nani anaweza amini kuwa serikali yetu hadi leo inalipa fedha kwa kampuni ya Richmond ambayo haikusajiriwa Tanzania wala Marekani!
Nani anaweza amini kuwa Waziri mkuu, waziri wa fedha, waziri wa maliasili na Utalii, mwaka fedha wa CCM na viongozi kama Mkapa wameweza yafanya machuafu yote hayo wasifikishwe mahakamani...Na kama wao wakulu wameweza yafanya hayo nani chini ya Utawala huu atabakia nyuma akisubiri fedha ya halali (mshahara).

In a country like this mkuu ni vigumu sana kwa mtu kufikiria kuna kitu Positive ikiwa maswala ya Uvunjaji sheria yamewekwa kando!..
Kuendelea kuwekesha fedha zetu Tanzania ni kuendelea ku feed the same organ inayotuletea maradhi ya Umaskini nchini..


BOB maneno mazito sana hayo. Sina la kuongeza. Huu ni ujumbe maridhawa sana kwa mtukufu JK, na wenzake walioshikilia mpini wa gurudumu la maendeleo yetu.

Ungekuwa karibu unastahili kokoto na bia moja hapa Rose Garden!

Asante sana mkuu
 
Maybe we are being heavy handed with Balozi here and I can see things getting out of proportion. Kitila alipohoji kwanini Gavana hakuongelea suala la EPA na hatua zinazochukuliwa dhili ya Balali, response ya Mama Maajar made sense to me- alisema kuwa Forum ya jana ilikuwa about Investment and Skills kwa Diaspora na Gavana alipewa topic ya kuongelea na alikuwa na dakika kumi tu kuongelea hiyo mada,ni wazi kwamba muda huu usingetosha kwa yeye kuanza kuongelea madudu yaa BOT (which we all know anyway!). Ieleweke kwamba Balozi hakuitaja jamboforums directly lakini aliongelea kuhusu blogs wakati akihimiza watu wajitokeze na kuongelea matatizo yanayowakabili pamoja na kutoa mapendekezo yao serekalini badala ya 'kulalamika tu kwenye mablogu'. Inashangaza kuona kwamba hakuna mtu anayeongelea kitu chochote positive hapa kufuatia kongamano la jana, mazuri pia yalikwepo...
Kwa wengi tulioko ughaibuni Real Estate ni nyanja ambayo kila mtu ana interest nayo. Habari njema ni kwamba Commercia Bank Of Africa wanatoa 100% financing kwa ununuzi wa nyumba kuanzia kiasi cha Tshs 20m up to 350m na kizuri zaidi una nafasi ya kufanya malipo haya kwa kipindi cha miaka 15!
Contacts zao ni: Simu-+255 22 213 0113
Email-info@cba.co.tz
Web-www.cba.co.tz
Pia National Housing Corporation wana projects mpya maeneo mbalimbali nchini, kwa Dar kuna nyumba za Mbweni zinazo range kati ya Tsh. 72m up to 142m na terms za malipo ni 50% down payment then unalipa remaining balance in 1 year.Hizi terms zao ni ngumu lakini kuna matumaini zitabadilika kwa kuwa Gavana alidokeza kwamba muswada wa masuala ya mortgage umeshapelekwa bungeni.
NHC contacts:-Tel-+255 22 2851590/2851135
Email-dg@nhctz.com
Web-www.nhctz.com
Na mwisho kabisa naungana na mabankers wote waliiongea jana kuwa ni muhimu wote tulioko ughaibuni tuwe na saving accounts nyumbani (sio lazima iwe kwenye madafu, unaweza kufungua in USD au pounds) ili tusaidie kuboost economy in one way or another. Pia CEO wa DSM sock exchange ameshauri watu tufanye savings kwa ku invest kwenye shares kwa kuwa zinalipa zaidi kuliko kuweka hela bank, the choice is yours.....
Kila la heri.


Kana Ka Nsungu,

On thing I would like to caution you with the finacial institutions based in Tanzania, bila kumjua nani huwezi kupata hiyo mikopo. Hayo mabenki yamekuja hapo kwenu j\just to woo you in transfering your hard earned money so they'd bosst their workin capital. Itapofika siku ww umerudi nyumbani na unatak kupata mkopo wa kufanyia biashara watataka banking track ya biashara (na wala si saving, ukiwauliza kwa nini alikuja so and so kutuhimiza utaambiwa huyo alitoa wrong information! You'll have wasted your precious time and money already.

What I would advice you my brother's and sisters in ughaibuni, kwa nini msitafute investor wa kwenu mje kuwekeza ktk sector ya bank, mtakuwa na kitu cha kuwapeni mitaji, na kama mtainvest ktk export oriented business naamini nyinyi mtakuwa na masoko yaliyo reliable.
 
Kama mtu kashaona organisations za jumuiya za Watanzania zinatawaliwa na ukiritimba na vi "pecking orders" kwa nini mtu asijisogeze anakotaka yeye? Huyu mama anataka kuturudisha katika enzi za Marxism-Leninism tuende kwenye jumuiya with glee eager to be politically and economically raped by Kikwete and his oligarchy while singing praises?

From reading the threads on last couple of months about TA, I must admit that it surely sounds as if TA is another extension of CCM similar to Vijana, Wanawake na Wazazi.

If there will be an opposing organization in London to represent Watanzania and being an opposing group to TA and let Watanzania decide where to join, I swear you will see those of new group being treated like dogs with the Embassy.

I believe London embassy may have good intentions to gather all Watanzania in UK, however the planning, daily operations and tactical execution of the mission are completely flawed and hence the appearance of division and puppetry.

As far as Mama Maajar is concerned, she is out of touch, just like majority of viongozi, wanasiasa na watendaji who believe in supreme command, total authority and leave no room to receive feedback.

She should not have intervened on EPA saga, she should have left Ndulu respond to the question and after Ndulu's response she could have asked for another question and not laying out her opinions in which alichemsha kwa kusema kuna baraza jipya safi!

They say, Silence is Golden, she should have been quite and let people talk and not try to be the guest, moderator and main speaker!
 
Inashangaza kuona kwamba hakuna mtu anayeongelea kitu chochote positive hapa kufuatia kongamano la jana, mazuri pia yalikwepo...

Mkuu Kana-ka-Nsungu,

Heshima yako kaka, punguza jazba, sisi hatukuwepo huko wewe na wengine ndio mliokuwepo, sasa kwenye kila picha kuna hadithi mbili tofauti, yaaani posotive na negative,

waliotangulia wametoa one side ya negative, sasa wewe ni kutoa positive side uliyoiona, no body is at fault, ndio maana nabii Issa au Yesu, alikuwa ni mtu mmoja tu lakini wanafunzi wake 12 walikuja na hadithi tofauti ya aliyoyafanya,

punguza jazba, wewe tuwekee tu the poisitive side bila kulaumu any member hapa JF.
 
Swala la Balozi lazima lijadiliwe no matter what "thread" or whatever you call it. As Enigma alluded, this fella is doomed!! She can not strike a balance. I am among those who wrote harsh words dhidi yake kwenye blogu ya Mjengwa on CCM Matawi things. Mine was a honest assumption that she would use this "all inclusive" forum to clear those CCM sentiments which drove everyright thinking member of the JF crazy.Kujikomba bwana mchwiiiiiiiiiiii
 
Hivi kuna mtu ambaye alitegemea Balozi Maajar alikandie baraza jipya la mawaziri badala ya kulifagilia? Baraza ambalo limeundwa na mtu ambaye ndiye aliyempa huyu mama hiyo nafasi ya ubalozi? Huyu mama hapo alipo jukumu lake ni kutetea kwa nguvu zake zote maamuzi yoyote yanayofanywa na serekali,so ukiipiga madongo serekali yeye akikaa kimya kibarua chake kinaweza kuota nyasi.
 
When was this?

Huyu balozi wetu ni kweli alifanya kazi BOT. Akaona opportunity kitu ambacho si kibaya, akaacha kazi yake BOT na kuanzisha firm yake ya sheria
na kupata kazi nyingi za BOT.

Baada ya hapo kawakilisha makampuni mengi ya kigeni kwenye madini. Wakati mikataba mingi mibaya ya madini inajadiliwa, huyu mama alikuwa ndio mwakilishi wa hayo makampuni ya kigeni.

Hana tofauti kubwa sana na Nkono. Wote hawana kosa kisheria lakini walitumia opportunity iliyokuwepo ili kutukamua Watanzania kwa faida zao binafsi.

Pamoja na hayo bado huyu mama ni mzuri kwa maana ya ubinadamu lakini pia anataka kusaidia na kufanya mema kwa nchi na jumuia, ila kajiingiza kwenye midomo ya wajanja wa London, anapata kila aina ya majungu na baada ya muda taratibu anajiondoa kwa Watanzania walio wengi na kubaki na kundi dogo la akina Faraji, Nora na wengine.

Sikuamini macho na masikio yangu wakati anaongelea EPA.
 
Back
Top Bottom