Mkutano wa Rais wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan na Vijana, Uwanja wa Nyamagana Mwanza

Huu ni uzi huru (sio rasmi)

Kumulika Ziara ya Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan mkoani Mwanza ambapo ataongea na vijana wa Kanda ya ziwa kwa niaba ya vijana watanzania yote.

Huu ni muendelezo wa Rais Samia kukutana na kuongea na Makundi Mbali mbali katika jamii.

Ikumbukwa kwamba vijana ndio kundi la maamuzi na inakadiriwa asilimia 60 ya watanzania ni vijana.

Moja ya Agenda kubwa inayotegemewa kujadiliwa ni ujumuishaji wa vijana katika uchumi ikiwemo ajira, fursa za biashara na kilimo, bila kusahau vijana na siasa jinsi gani vijana wanahusishwa katika maamuzi ya nchi na siasa kwa ujumla.

Vijana ndio taifa la leo na kesho.

Viongozi na Wasanii mbali mbali watakuwepo akiwemo Rayvany,Zuchu, Kala Jeremaya, Peter Msechu, TOT Band, Eliza Band. . nk

Tujumuike pamoja katika mkutano huu moja kwa moja kutoka uwanja wa Nyamagana Mwanza

Na mwisho nitaweka uchambuzi wangu binafsi hapa.

View attachment 1819104View attachment 1819107
Wimbo wa Zuchu wa Sukari Nampa Tamu una faida gani hapo? Ameshindwa nini tu Kuonyesha Ubunifu wake na akayabadili hayo Mashairi yakawa katika Context ya Kimaendeleo ili yaendane na Tukio zima la Ziara ya Rais hapo walipo? Wasanii wengi ( siyo wote ) wa Tanzania ni Wapumbavu ( Fools ) sana akiwemo huyu Binti.
 
Swala ni kuongea na vijana sasa mambo ya miziki ya nini tena au bila hivyo hakuna cha kufanyika? Halafu hizi mambo kama sizielewi elewi, issue inakuwa ni wazee wa Tanzania ama wanawake wa Tanzania ama Vijana wa Tanzania surprisingly enough issue inakuja kuwa ya Chama na si watanzania tena.

Inaudhi na inakatisha tamaa. Hatimaye watu wenyewe wanaenda kuongea ujinga tu wanashindwa ku address kile vijana wanahitaji toka kwa Serikali, mijitu inaanza kusifia tu.
 
Baadhi ya Sera/Sheria mbovu za nchi ni kuwanyang’anya vijana uwezo.

Hapa naongelea vijana kuminywa kwa kuporwa haki zao, kunyimwa haki na kupuuzwa (hawasikilizwi). Naanza kwa Kuongezeka kwa Deni la Taifa na Propaganda mfu za Serikali, zenye lengo la kuhadaa umma ili kubaki madarakani tu. Serikali ya AWAMU YA 5 ilitamka kuwa inajenga miradi mikubwa kwa FEDHA za ndani. Asilimia kubwa ya Watanzania waliamini na kushangilia, na wale wachache wenye uelewa hawakupewa nafasi ya kuhoji. Imekuja kujulikana kuwa, FEDHA za Mifuko ya Jamii zilichukuliwa na Wafanyakazi wakaporwa haki zao za kulipwa FAO LA KUJITOA na kuchelewesha malipo ya Wastaafu.

Vijana wasomi, waliosoma sayansi na wenye ujuzi wameajiriwa kwenye Makampuni, Mashirika na Viwanda. Hizi ni talent, na hazina za wasomi kwa nchi, na walivyoajiriwa kwenye haya Makampuni na Viwanda, wamepata fursa ya kuongeza utaalamu na uzoefu. Hii ndio Econonomic interelligency ambayo Serikali ilipaswa kutumia ili kunyanyua uchumi wa nnchi through Innovation. Ajira na mikataba za hawa vijana (wenye utaalamu na uzoefu-Innovation) zilivyokoma, Serikali iliwanyima Akiba zao (PESA za NSSF). Kumbuka Serikali ilifuta fao la kujitoa mwaka 2018 na kuweka Fao la kukosa ajira. Watu wote skilled labour (wataalamu hawa), hawapewi akiba yao, Haki imepotea. Hawa watu wangelipwa fedha zao, wangeweza kujiajiri kwa kufungua makampuni, kujenga viwanda vidogo. Badala yake hawa skilled labour wanaambiwa wasubiri miezi 18 na kama hawataajiriwa, wakae hadi 55 years wastaafu.


Serikali ilitumia pesa za mifuko ya jamii (Kukopa au kupora kienyeji) ili kujenga miradi. Hapo awali serikali imesema inajenga miradi kwa pesa za ndani (propaganda)..Lakini ukweli wenyewe ni kupora haki za wafanyakazi vijana na mafao wastaafu. Pia Serikali ilikopa sana Nje na kwenye mabenki, ndio maana deni la taifa limepaa sana.


Serikali inapaswa kuwapa wafanyakazi akiba zao ili waweze kutumia skill zao na uzoefu waliopata katika makampuni/viwanda ili kufungua biashara mpya. Hii ndio namna ya kutanua wigo wa Kodi (MWugulu NCHEMBA TRA). Mitaji itatoka wapi ya biashara mpya kwa wazawa kama mikopo benki sio rafiki? Suluhisho ni Serikali kurejesha FAO LA KUJITOA NSSF na kulipa wafayakazi akiba zao kwa Haki.

Serikali inatakiwa kuwezesha vijana, kutoa International passport kwa graduate wote, ili wapambane fursa za ajira kokote duniani. Baadae watakuwa diapora kubwa inayotuma pesa Tanzania, kama ilivyo Zimbabwe, Kenya na India walivyoenda wengi Canada na UK. Serikali kurejesha Fao la Kujitoa, Hasa kwa Sekta binafsi, kwa kuzingatia kuwa Sekta binafsi Security ya ajira ni delicate sana.
 
Swala ni kuongea na vijana sasa mambo ya miziki ya nini tena au bila hivyo hakuna cha kufanyika? Halafu hizi mambo kama sizielewi elewi, issue inakuwa ni wazee wa Tanzania ama wanawake wa Tanzania ama Vijana wa Tanzania surprisingly enough issue inakuja kuwa ya Chama na si watanzania tena.

Inaudhi na inakatisha tamaa. Hatimaye watu wenyewe wanaenda kuongea ujinga tu wanashindwa ku address kile vijana wanahitaji toka kwa Serikali, mijitu inaanza kusifia tu.
Muziki ni catalyst au stimulant unachangamsha ubongo na akili.
 
Huu ni uzi huru (sio rasmi)

Kumulika Ziara ya Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan mkoani Mwanza ambapo ataongea na vijana wa Kanda ya ziwa kwa niaba ya vijana watanzania yote.

Huu ni muendelezo wa Rais Samia kukutana na kuongea na Makundi Mbali mbali katika jamii.

Ikumbukwa kwamba vijana ndio kundi la maamuzi na inakadiriwa asilimia 60 ya watanzania ni vijana.

Moja ya Agenda kubwa inayotegemewa kujadiliwa ni ujumuishaji wa vijana katika uchumi ikiwemo ajira, fursa za biashara na kilimo, bila kusahau vijana na siasa jinsi gani vijana wanahusishwa katika maamuzi ya nchi na siasa kwa ujumla.

Vijana ndio taifa la leo na kesho.

Viongozi na Wasanii mbali mbali watakuwepo akiwemo Rayvany,Zuchu, Kala Jeremaya, Peter Msechu, TOT Band, Eliza Band. . nk

Tujumuike pamoja katika mkutano huu moja kwa moja kutoka uwanja wa Nyamagana Mwanza

Na mwisho nitaweka uchambuzi wangu binafsi hapa.

View attachment 1819104View attachment 1819107
Amwage ajira na kazi kwa vijana, aone namna ambavyo upinzani utatokomea TZ na aone kama atakaa atoke madarakani, baada ya hapo atarudi mwenyewe humu kuja kunishukuru na kunipa teuzi za kimataifa.

VIJANA NDO KILA KITU.
 
Swala ni kuongea na vijana sasa mambo ya miziki ya nini tena au bila hivyo hakuna cha kufanyika? Halafu hizi mambo kama sizielewi elewi, issue inakuwa ni wazee wa Tanzania ama wanawake wa Tanzania ama Vijana wa Tanzania surprisingly enough issue inakuja kuwa ya Chama na si watanzania tena.

Inaudhi na inakatisha tamaa. Hatimaye watu wenyewe wanaenda kuongea ujinga tu wanashindwa ku address kile vijana wanahitaji toka kwa Serikali, mijitu inaanza kusifia tu.
Na sisi vijana wa Mwanza tumeshaliziki na ujinga wao.
 
Huu ni uzi huru (sio rasmi)

Kumulika Ziara ya Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan mkoani Mwanza ambapo ataongea na vijana wa Kanda ya ziwa kwa niaba ya vijana watanzania yote.

Huu ni muendelezo wa Rais Samia kukutana na kuongea na Makundi Mbali mbali katika jamii.

Ikumbukwa kwamba vijana ndio kundi la maamuzi na inakadiriwa asilimia 60 ya watanzania ni vijana.

Moja ya Agenda kubwa inayotegemewa kujadiliwa ni ujumuishaji wa vijana katika uchumi ikiwemo ajira, fursa za biashara na kilimo, bila kusahau vijana na siasa jinsi gani vijana wanahusishwa katika maamuzi ya nchi na siasa kwa ujumla.

Vijana ndio taifa la leo na kesho.

Viongozi na Wasanii mbali mbali watakuwepo akiwemo Rayvany,Zuchu, Kala Jeremaya, Peter Msechu, TOT Band, Eliza Band. . nk

Tujumuike pamoja katika mkutano huu moja kwa moja kutoka uwanja wa Nyamagana Mwanza

Na mwisho nitaweka uchambuzi wangu binafsi hapa.

View attachment 1819104View attachment 1819107
Vijana wengi tuliajiliwa kwenye sekta binafsi hasa hizi NGO pesa zetu zipo kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii. Mama sema neno moja tu ruhusu fao la kujitoa tukajiajili tukuze uchumi wa Taifa
 
  • Thanks
Reactions: vvm
So issue ilikuwa sio kuwasilisha hoja za vijana ila kuchangamshwa ubongo? Na wamechangamshwa kweli ndio maana hoja zao ukawa ujinga tupu
Hoja gan ambayo wewe umeona ni ya ujinga? Tulia tuwape muda alafu punguza mihemko kwanza ata Rais hajaanza kuzungumka tayari umebanwa na haja kubwa.
 
  • Thanks
Reactions: vvm
Hoja gan ambayo wewe umeona ni ya ujinga? Tulia tuwape muda alafu punguza mihemko kwanza ata Rais hajaanza kuzungumka tayari umebanwa na haja kubwa.

Nilikua sijagundua najishana na mtu wa aina gani. Basi mzee endeleeni na ajenda zenu vijana wa mwanza mtapewa hizo ajira za aina yoyote mnazotaka
 
  • Thanks
Reactions: vvm
Huu ni uzi huru (sio rasmi)

Kumulika Ziara ya Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan mkoani Mwanza ambapo ataongea na vijana wa Kanda ya ziwa kwa niaba ya vijana watanzania yote.

Huu ni muendelezo wa Rais Samia kukutana na kuongea na Makundi Mbali mbali katika jamii.

Ikumbukwa kwamba vijana ndio kundi la maamuzi na inakadiriwa asilimia 60 ya watanzania ni vijana.

Moja ya Agenda kubwa inayotegemewa kujadiliwa ni ujumuishaji wa vijana katika uchumi ikiwemo ajira, fursa za biashara na kilimo, bila kusahau vijana na siasa jinsi gani vijana wanahusishwa katika maamuzi ya nchi na siasa kwa ujumla.

Vijana ndio taifa la leo na kesho.

Viongozi na Wasanii mbali mbali watakuwepo akiwemo Rayvany,Zuchu, Kala Jeremaya, Peter Msechu, TOT Band, Eliza Band. . nk

Tujumuike pamoja katika mkutano huu moja kwa moja kutoka uwanja wa Nyamagana Mwanza

Na mwisho nitaweka uchambuzi wangu binafsi hapa.

View attachment 1819104View attachment 1819107
Nilitaraji mkutano huu ufanyike Zanzibar ili kuleta uwiano wa Muungano.
 
  • Thanks
Reactions: vvm
Vijana wa mwanza wala siwalaumu ila ukweli ni kwamba hii show tayari ishatekwa na Chama na hakuna kijana asokua mwanachama anaweza penyeza hoja yake....yaani mnachujwa kwanza kabla ya yote

Nilikua sijagundua najishana na mtu wa aina gani. Basi mzee endeleeni na ajenda zenu vijana wa mwanza mtapewa hizo ajira za aina yoyote mnazotaka
Kila fursa unayoiona kuna watu wananufaika na wengine wanaumia, kilio chako kinaweza kuwa ni furaha kwangu, unatakiwa kuishi kwa kusoma alama za nyakati.
 
  • Thanks
Reactions: vvm

Similar Discussions

Back
Top Bottom