vvm
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 6,284
- 10,287
Huu ni uzi huru (sio rasmi)
Kumulika Ziara ya Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan mkoani Mwanza ambapo ataongea na vijana wa Kanda ya ziwa kwa niaba ya vijana watanzania yote.
Huu ni muendelezo wa Rais Samia kukutana na kuongea na Makundi Mbali mbali katika jamii.
Ikumbukwa kwamba vijana ndio kundi la maamuzi na inakadiriwa asilimia 60 ya watanzania ni vijana.
Moja ya Agenda kubwa inayotegemewa kujadiliwa ni ujumuishaji wa vijana katika uchumi ikiwemo ajira, fursa za biashara na kilimo, bila kusahau vijana na siasa jinsi gani vijana wanahusishwa katika maamuzi ya nchi na siasa kwa ujumla.
Vijana ndio taifa la leo na kesho.
Viongozi na Wasanii mbali mbali watakuwepo akiwemo Rayvany,Zuchu, Kala Jeremaya, Peter Msechu, TOT Band, Eliza Band. . nk
Tujumuike pamoja katika mkutano huu moja kwa moja kutoka uwanja wa Nyamagana Mwanza
Na mwisho nitaweka uchambuzi wangu binafsi hapa.
View attachment 1819104
Kumulika Ziara ya Rais wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan mkoani Mwanza ambapo ataongea na vijana wa Kanda ya ziwa kwa niaba ya vijana watanzania yote.
Huu ni muendelezo wa Rais Samia kukutana na kuongea na Makundi Mbali mbali katika jamii.
Ikumbukwa kwamba vijana ndio kundi la maamuzi na inakadiriwa asilimia 60 ya watanzania ni vijana.
Moja ya Agenda kubwa inayotegemewa kujadiliwa ni ujumuishaji wa vijana katika uchumi ikiwemo ajira, fursa za biashara na kilimo, bila kusahau vijana na siasa jinsi gani vijana wanahusishwa katika maamuzi ya nchi na siasa kwa ujumla.
Vijana ndio taifa la leo na kesho.
Viongozi na Wasanii mbali mbali watakuwepo akiwemo Rayvany,Zuchu, Kala Jeremaya, Peter Msechu, TOT Band, Eliza Band. . nk
Tujumuike pamoja katika mkutano huu moja kwa moja kutoka uwanja wa Nyamagana Mwanza
Na mwisho nitaweka uchambuzi wangu binafsi hapa.
View attachment 1819104