Kaptula la Marx
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 981
- 448
Hivi mzima kweli wewe yaani huoni kama majukwaa katika picha uliyopost unayodai imewekwa na siraji mvungi na hiyo iliyopostiwa na mtoa mada ni tofauti. Muda mwingine tumia akili hata kidogo, najua uko kazini kwamba umetumwa ufiche ukweli ila sio kwa staili hii. Wenye akili tunajua na zaidi ya yote counter strategy zenu sometime zinawadhalilisha sana.
Tambua utu wako acha kutumika. Kwa Katavi CCM imewaweza na aibu imewapata.
Soma uelewe mkuu. Mimi sijasema hiyo picha imewekwa na Siraji Mvungi. Hiyo picha ni ya kwangu. Habari za Siraji Mvungi nimeshuhudia mwenyewe kupitia ITV. Mbona vijana wa CCM mnakuwa km vilaza? Hizo propaganda zenu ni nyepesi sana