Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,947
- 5,342
Mkutano unaendelea ndani ya ukumbi Wa NSSF mkoani Shinyanga, mgeni rasmi ndugu Angela Jasmin Kairuki.
Mkutano umewahusisha viongozi Wa SERIKALI ngazi ya mkoa na wilaya zote tatu za mkoa Wa Shinyanga yaani Kahama, Shinyanga na Kishapu pamoja na asasi na taasisi mbalimbali zikiwemo za dini, wawekezaji mkoa mzima, wafanyabiashara ngazi zote.
Mkutano umefunguliwa na mkuu Wa mkoa anatoa fursa mbalimbali zilizomo mkoa Wa Shinyanga, maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kilimo, viwanda na uwekezaji mwingine.
Changamoto mbalimbali zilizopo mkoani na wilaya zake zimekuwa address kwa mgeni rasmi
Rasmi mkoa umetambuliwa kuwa ni mkoa wa almasi na dhahabu
Manaibu Waziri wengine walioshiriki mkutano huu ni pamoja na:
1. Mwita Waitara
2. Ashatu Kijaji
3. Angelina Mabula
4. Stanslaus Nyongo
5. Stella Manyanya
6. Ulega
7. Kanyaso
8. Masauni
9. Musa Sima
Mkuu Wa mkoa wa Kigoma pia ndugu Maganga ameshiriki.
Mnakaribishwa Shinyanga mkoa Wa dhahabu na almasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkutano umewahusisha viongozi Wa SERIKALI ngazi ya mkoa na wilaya zote tatu za mkoa Wa Shinyanga yaani Kahama, Shinyanga na Kishapu pamoja na asasi na taasisi mbalimbali zikiwemo za dini, wawekezaji mkoa mzima, wafanyabiashara ngazi zote.
Mkutano umefunguliwa na mkuu Wa mkoa anatoa fursa mbalimbali zilizomo mkoa Wa Shinyanga, maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya kilimo, viwanda na uwekezaji mwingine.
Changamoto mbalimbali zilizopo mkoani na wilaya zake zimekuwa address kwa mgeni rasmi
Rasmi mkoa umetambuliwa kuwa ni mkoa wa almasi na dhahabu
Manaibu Waziri wengine walioshiriki mkutano huu ni pamoja na:
1. Mwita Waitara
2. Ashatu Kijaji
3. Angelina Mabula
4. Stanslaus Nyongo
5. Stella Manyanya
6. Ulega
7. Kanyaso
8. Masauni
9. Musa Sima
Mkuu Wa mkoa wa Kigoma pia ndugu Maganga ameshiriki.
Mnakaribishwa Shinyanga mkoa Wa dhahabu na almasi.
Sent using Jamii Forums mobile app