Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Makamu wa rais leo alikuwa na mkutano wa hadhara mjini Geita katika viwanja vya magereza leo jioni,cha kusikitisha amejikuta akiwahutubia wanafunzi wa sekondari waliosombwa kwa magari na watoto wadogo na baadhi ya wana CCM wasiofika hata mia,wanajamvi hii anamaanisha nini kwa uhai wa CCM? Nawasilisha.