"Mkutano wa magamba moshi leo"

Bakeza

JF-Expert Member
Jun 30, 2011
348
192
Wana jm hivi hapa nilipo niko kwenye mkutano wa hiki chama cha mafisadi, nachoweza kusema ni kwamba wamechukua vikundi vya kina mama wazee wanaimba ngoma za vijembe na ku2kana CHADEMA 2. Kwa mtazamo wangu hiki chama kimefika mwisho wake, kwani walipita kila kata kutangaza huu mkutano wao na sisi ambao hatuna vyama tulidhani 2nakuja kuambia mambo ya maendeleo kwenye nchi ye2 ukizingatia sukari inapita hapa hapa mkoani kwe2 kwenda kenya kwa magendo na mahindi, sasa wao wamekali ku2onesha ngoma za zenye mipasho na vijembe kwa CHADEMA. Swali langu kwa wana jamii ni hili HIVI CHADEMA WAMEWAFANYA NINI CCM. Manake hawaongelei vyama vingine mbona kuna vyama vingi? Naombeni jibu. Nb. Hivi hawa wazee wanaoshabia siasa uchwara kama alivyosema LOST. Hawaoni mambo yalivyo kuwa magumu mimi binafsi kwa mchango wangu kwenye hizi siasa za umbea ningependa kuona huduma muhimu kama chakula ipande mara dufu ili watu wakome na siasa zao uchwara!! Haya ni maono yangu asante hadi sasa hawajaanza ku2eleza nini wame2itia hapa wao ni kutoa kikundi hiki weka kingine cha ngoma kwa lengo la ku2oa vijembe kwa chadema!!
 
Chadema mwiba kwa CCM. Ukitaka kuona hilo angalia chama kipi kina future kati ya CCM na Chadema, Simple logic ni kuwa wazee wako CCM sababu hawana access ya information namna dunia inavyokimbia haraka wao wakitulazimisha kutembea, vijana wengi wanataka mabadiliko na hayo yanawezekana tu kwa kuwapumzisha CCM.

Inawauma vijana wanaona mijitu kutoka ulaya, amerika nk inakuja kuponea njaa nchini kwetu wakati wao wakibaki na njaa wala tumaini au ubunifu wowote kutoka serikali yao hauonekani zaidi ya kuendelea kupalilia watoto wao ili waje kutawala hapo baadae. Chadema pekee ndo inawapa nafasi hiyo vijana kutoa dukuduku zao zote na kuwapa matumaini angalau ya hapo baadae.

Kinachofanyika saizi ni kujaribu kuishambulia Chadema ili kionekane ni chama cha vurugu na CCM waendelee kupendwa which I can say its already too late, watu wameshafikia point of no return! we want changes the changes that will put our nation back.
 
kwanza watuonyesha Gamba walilojuvua wamelizika wapi..? au baharini kama mwili wa osama..?? HATUDANGANYIKIIIIII....!
 
Wana jm hivi hapa nilipo niko kwenye mkutano wa hiki chama cha mafisadi, nachoweza kusema ni kwamba wamechukua vikundi vya kina mama wazee wanaimba ngoma za vijembe na ku2kana CHADEMA 2. Kwa mtazamo wangu hiki chama kimefika mwisho wake, kwani walipita kila kata kutangaza huu mkutano wao na sisi ambao hatuna vyama tulidhani 2nakuja kuambia mambo ya maendeleo kwenye nchi ye2 ukizingatia sukari inapita hapa hapa mkoani kwe2 kwenda kenya kwa magendo na mahindi, sasa wao wamekali ku2onesha ngoma za zenye mipasho na vijembe kwa CHADEMA. Swali langu kwa wana jamii ni hili HIVI CHADEMA WAMEWAFANYA NINI CCM. Manake hawaongelei vyama vingine mbona kuna vyama vingi? Naombeni jibu. Nb. Hivi hawa wazee wanaoshabia siasa uchwara kama alivyosema LOST. Hawaoni mambo yalivyo kuwa magumu mimi binafsi kwa mchango wangu kwenye hizi siasa za umbea ningependa kuona huduma muhimu kama chakula ipande mara dufu ili watu wakome na siasa zao uchwara!! Haya ni maono yangu asante hadi sasa hawajaanza ku2eleza nini wame2itia hapa wao ni kutoa kikundi hiki weka kingine cha ngoma kwa lengo la ku2oa vijembe kwa chadema!!
Li Nape lipo?
 
mhhhhhhhhhhh
wazee wetu tuwahurumie tu
nawasikitikia kabisa
afta all furture yao ni very limited
hata kama nature ita take control
 
Back
Top Bottom