Kwa wakazi wa Moshi na maeneo ya jirani karibu kwenye mkutano wa hadhara utakao fanyanyika eneo la stendi kuu ya Moshi, madiwani wote wa CHADEMA na meya wa manispaa ya Moshi Mhe. Jafari ataongoza jahazi,
Nawatakia kila la heri katika mkutano huo.Wanamoshi washajikomboa wengine mwangoja nini?hamjaona tu matatizo yanavyopandana?
Watanzania igeni mfano wa Moshi na Arusha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.