KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Mkuu 'Stuxnet' umejibu kwa staha, kwa hilo nitaheshimu, lakini umekosea kuniweka kwenye hilo kundi la DIKTETA.Hapo umepotosha. Dira ya Rais Samia iko wazi kabisa sema nyie mnaomuabudu yule DIKTETA mnabisha kama sehemu ya ibada.
Dira ya Samia ni kujenga uchumi utakaoleta financial inclusion kwa raia wake kupitia uwekezaji toka nje, biashara na nchi jirani huku tukizingatia utawala wa Sheria na haki.
Tanzania ilikuwa ni kisiwa wakati wa Mwendazake. Mama anafungua Tanzania kiuchumi
Kuhusu hiyo unayoiita "dira ya mama", hilo tunaweza kulijadili kwa kina. Binafsi sikubaliani na utegemezi wa kuja kuendelezwa na mtu mwingine. Tutajiendeleza kwa juhudi zetu. Hii haina maana kwamba hatutashirikiana na wengine kutoka nje kwa heshima na maslahi yetu yakiwa ndio kipaumbele.
Usitake kupotosha kwa kudai kwamba ninaposisitizia juhudi zetu kujiendeleza ndio iwe maana ya kwamba sitaki ushirikiano na wengine.