cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Ndio iwe marufuku kila nyumba iwe na miti hafu 20 kwa 20 ujenzi ni uchafuzi wa mji mtaa unakosa hata kichochoro wala sehemu ya kupita hewa msongamano mkubwaSasa dar ukipanda miti kwenye eneo la 20*20 utapata hata sehemu ya kupaki baiskeli?