Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Kuna huu mkutano wa wakuu wote wa polisi wa mikoa Tanzania unaoanza leo mjini Dodoma. Habari zinasema kuwa mkutani huo ni mkakati wa serikali kujipanga kwa ajili kudhibiti wanachoita wao ulinzi na usalama wakati wa uchaguzi mkuu hapo mwakani...Kwa mtazamo wangu naona wazi kuwa ni mbinu chafu za CCM kujipanga kutumia maguvu kupata huo wanaoita wenyewe ushindi wa kishindo... Wana-JF mnalionaje hili??