Bado Kidogo 2015
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 207
- 78
Wanajamvi,
Kuelekea mkutano mkuu wa leo pale Jangwani napenda kuwaasa viongozi watakaohutubia pale Jangwani kuepuka KAULI TATA zitazohitaji utetezi mwingi ili zieleweke machoni pa wananchi.
Ieleweke leo ni kama siku ambayo wana D'Salaam wanasubiri ukombozi hivyo haihitaji kuwachanga watu. Kinachotakiwa ni kuwa na shabaha kubwa katika uhutubiaji wa leo.
Kila mtu atayepata nafasi ya kuongea, aongee kwa kadri ya uwezo wake wote ili ahakikishe ujumbe wake umefika vizuri na kupokelewa vizuri.
Ikumbukwe umati utakahudhuria leo utatoa message kubwa sana kwa waliobaki majumbani na hata dira kwa ujumla kwa jiji la D'Salaam.
Nihitimishe kauli kama za kina Nassari Arusha hazihitajiki leo, magamba yanawasha sehemu nyingi ni kuchagua sehemu gani tu ya kuchuna. Msimpe Nape cha kusema baada ya mkutano huu.
Nawatakia kila la kheri wana D'Salaam wote, wito wangu mhudhurie bila kukosa ili kutuma message hapo Magogoni hali ni mbaya 2015.
Ni mimi Bado Kidogo 2015.
Kuelekea mkutano mkuu wa leo pale Jangwani napenda kuwaasa viongozi watakaohutubia pale Jangwani kuepuka KAULI TATA zitazohitaji utetezi mwingi ili zieleweke machoni pa wananchi.
Ieleweke leo ni kama siku ambayo wana D'Salaam wanasubiri ukombozi hivyo haihitaji kuwachanga watu. Kinachotakiwa ni kuwa na shabaha kubwa katika uhutubiaji wa leo.
Kila mtu atayepata nafasi ya kuongea, aongee kwa kadri ya uwezo wake wote ili ahakikishe ujumbe wake umefika vizuri na kupokelewa vizuri.
Ikumbukwe umati utakahudhuria leo utatoa message kubwa sana kwa waliobaki majumbani na hata dira kwa ujumla kwa jiji la D'Salaam.
Nihitimishe kauli kama za kina Nassari Arusha hazihitajiki leo, magamba yanawasha sehemu nyingi ni kuchagua sehemu gani tu ya kuchuna. Msimpe Nape cha kusema baada ya mkutano huu.
Nawatakia kila la kheri wana D'Salaam wote, wito wangu mhudhurie bila kukosa ili kutuma message hapo Magogoni hali ni mbaya 2015.
Ni mimi Bado Kidogo 2015.