Hahaha@kyamkwikwi
mbonq vitz anasa sana.. angeenda na bajaj kabisa
Lowasa alianza harakati kabla hata gesi haijagundulika
Nyie mnaozani lowasa atakua raisi mnaota ndoto za mchana
Very interesting and relaxing!!!
Tunasubiri Arusha na Mwanza,Hakika CCM(NAPE)(gazeti uhuru) Watajuta kuwaita walioandamana dar kuwa ni vibaka,Haya Mbeya nao..............,Arusha>>>>>>>>>>>>> Mwanza je!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nguvu ya umma huwezi zuia!!
Nape huwa anaropoka bila kujua matokeo...Mgeja kamwita vuvuzela!
...aahaahah hii picha imenifurahisha sana, hapa ukiangalia kwa mtazamo wa mbali unaweza kusema kijana anakumbushia enzi zake za UDJ ahahaah...Wana UKAWA msije mkakasirika natania tu hapa...
Anyway inapendeza sana kuona vijana wengi namna hiyo...Swali tu, Je umati huu wote wanatambua kikamilifu kwamba CHADEMA/UKAWA/CCM zote zinasimama kwenye maswala gani ili wafanye maamuzi sahihi ikifika siku ya uchaguzi?! Au wanafuata tu Upepo??! Vilevile wamejiandikisha kupiga kura?? Je hawatobadirika dakika za mwisho??
Mwisho, Lowassa aliongea kwa dakika ngapi vile na kueleweka na wananchi??! Ile verse ya Mchakamchaka aliikumbuka tena Mbeya ahahaaah Siasa za Tanzania tabu tupu jamani aahahaahah