Nadhani hili ndilo gazeti lenye kichwa cha habari kizuri kuliko magazeti yote ya leo.Gazeti linaeleza kuwa pamoja na polisi kupiga marufuku maandamano lakini wanamabadiliko waliandamana kwa wingi na kutanda barabarani kumsubiri Lowasa na UKAWA yake huko jijini Mbeya,Hivyo polisi iliishia kutoa ulinzi tu
CHANZO: Nipashe
utaanbiwa na wewe umenunuliwa Kokolo ukavulie Sangara hapo Kyamkwikwi.
Subiri waje watunza hela wake.
Teh teh teh
Watu wanapenda ushabiki na kufuata mikumbo tu na kujikomba kwa lowasa wakati yeye ni mwenyekiti wa wakora na ndiyo maana wanaomlia pesa zake wanamfuata kila mahali
Imekuwa ndo msemo wa siku hizi kutaka kutuaminisha kuwa Eddo anatumia pesa, anatumia mabillion kuwanunu watu.-
Hili la Mbeya sio jambo dogo hata, yaana marufuku ya RPC inakanyagwa kabisa mchana kweupe. Askari wanapangwa na kupewa maagizo ya kuhakikisha hakuna maandamano lakini askari wanakaidi amri ya RPC na kuamua kuyasindikiza na kuyalinda!!! Huu kama sio uasi wa kisirisiri ni kitu gani?
Amri ya RPC inawekwa pembeni na maandamano ya ujio wa UKAWA yanapewa heshima na askari, hii haikubaliki. RPC huyu ataaminika vipi mbele ya umma na jamii? RPC huyu akitwambia ametuimarishia ulinzi nani atakayemwamini kama leo amri yake inakuwa kama tope tu?? RPC, RPC, RPC??? Hii sio kabisa.
Au ndo tuseme Eddo tayari amemlambisha na huyu RPC na askari wote wa Mbeya Billion 10.
Na juzjuz tumesikia ofisa wa Tume ya uchaguzi anajisahau na kumwita Eddo mhesh. Rais... ahahahaaa!!! Cjui huyu naye alikula bil. nfapi.
Mbowe kanunuliwa, Chadema imenunuliwa, UKAWA imenunuliwa, wenyeviti wa CCM na wanachama, makatibu na viongozi wamenunuliwa, TAKUKURU imenunuliwa isimkamate huyu anayetoa rushwa..... hii ni hatari sana!! Nape amejaribu kugawa mlungula amedakwa haraka sana, kama sio kutetewa na mamlaka ya juu, saa hizi angekuwa anakalia ndoo. Kwa nini Eddo anagawa pesa kwa watu wote hawa na anaangaliwa tu utafikiri ni malaika, la hii sio hata kidogo.
Ebu wenye taarifa ni namna gani Eddo ananunua taasisi na watu woooote hawa, naomba mnijuze huyu RPC wa Mbeya na askari wake wameibuka na kitita cha Bil. ngapi hiyo jana??
KARIBU SANA
Cc: kwenu mapepe: Nape,faizafoxy, ritz, Mzee Mwanakijiji.....
​hii ndo shida ya kupiga viroba asubuhi asubuhi mnakuja na mada zilizolewa tayari
Magufuri ndio president tayari hakuna anae bisha
magufuli rais wa wana chato mganza labda, ila Rais wa Tz anajulikana hata kwa watoto wa chekechea wanajua Lowasa ndo Rais
Acha ubwege ongea points watu wakuelewe hivi ukiambiwa toa ushahidi wa pesa hiyo utatoa!? Tuongee vitu vya msingi na kujenga na si ushabiki taka humu ndani!!!!? Cdm vema!!
Jamani acheni propaganda hivi ni pesa kiasi gani watu hawa wanaweza kupewa ni nani mwenye pesa kiasi hicho Tanzania bila ccm inawezekana kabisa.
Kura yangu ni kwa Magufuli, mzee wa Vitz kutoka Mtwara hadi Bukoba