Mwamko wa watanzania sasa hakuna wa kuweza kuusimamisha tena,mimi nadhani wanaojaribu kumpaka matope EL waache kwani ndo wanazidi kimpaisha,katika maandiko matakatifu mfalme Bakaki alipowaona wana wa.Israel wingi wake alimwita Balaamu aje awalaani Israel kinyume chake akawabariki,ninaiona hatari ya watu wanaojaribu kumsema vibaya ndivyo wanavyowasha moto ili EL apendwe zaidi