Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,482
- 14,348
Wana Jamii!
Kama kawaida CCM imeendelea kupoteza mvuto mbele ya wananchi, hii nimelishuhudia jioni ya leo hapa ZANZIBAR, ambapo alikuwa anakaribishwa katibu mkuu mpya pamoja na naibu katibu wake . Kama kawaida watu waliohudhuria walikuwa ndani ya Jezi za njano na kijani wengine ni wakina Mama na Vijana under 18, na magari ya kuwabeba maarufu kama Chai Maharage yalikuwepo yalikuwa yanafanya kazi ya kubeba watu kutoka shamba na kuwaleta mjini kwenye viwanja vya Michenzani na inasemekana watu waliohudhuria wamelipwa ili ionekana CCM inakubalika baada ya kujivua GAMBA, ingawa sikujua kimezungumzwa nini maana nilikuwa natokeaa Dar, nimekuta ndio shughuli inakaribia kuishia na watu waliokodiwa magari wanaanza kugombania kuingia, niliuliza watu kama wanne kilickokuwa kinaeendelea pale ndo wakaniambia kama nilivyowasilisha hapo juu. Kama kuna wenye habari zaidi watujuze
Kama kawaida CCM imeendelea kupoteza mvuto mbele ya wananchi, hii nimelishuhudia jioni ya leo hapa ZANZIBAR, ambapo alikuwa anakaribishwa katibu mkuu mpya pamoja na naibu katibu wake . Kama kawaida watu waliohudhuria walikuwa ndani ya Jezi za njano na kijani wengine ni wakina Mama na Vijana under 18, na magari ya kuwabeba maarufu kama Chai Maharage yalikuwepo yalikuwa yanafanya kazi ya kubeba watu kutoka shamba na kuwaleta mjini kwenye viwanja vya Michenzani na inasemekana watu waliohudhuria wamelipwa ili ionekana CCM inakubalika baada ya kujivua GAMBA, ingawa sikujua kimezungumzwa nini maana nilikuwa natokeaa Dar, nimekuta ndio shughuli inakaribia kuishia na watu waliokodiwa magari wanaanza kugombania kuingia, niliuliza watu kama wanne kilickokuwa kinaeendelea pale ndo wakaniambia kama nilivyowasilisha hapo juu. Kama kuna wenye habari zaidi watujuze