Nimeona mkutano wa kinana hapa mbeya kwenye uwanja wa rwanda nzovwe ni aibu sana.
Idadi ya watu waliopo ni sawa na idadi ya polisi wanaoulinda huu mkutano.
Mkutano huu umetangazwa wiki nzima ila wana inchi wanaojitambua wa mbeya chini ya raisi wao sugu wameususia na kuyakataa magamba,.
Hili ni pigo takatifu kwa magamba hivo wajue kua mbeya sio watu wa kuiendekeza mijangili,mibakaji vitoto na miuza madawa ya kulevya hayo ni maneno ya wanambeya yamesikika vinywani mwao,..
ONYO
CCM JARIBUNI KWINGINE APA HAMPAWEZI MBEYA
Idadi ya watu waliopo ni sawa na idadi ya polisi wanaoulinda huu mkutano.
Mkutano huu umetangazwa wiki nzima ila wana inchi wanaojitambua wa mbeya chini ya raisi wao sugu wameususia na kuyakataa magamba,.
Hili ni pigo takatifu kwa magamba hivo wajue kua mbeya sio watu wa kuiendekeza mijangili,mibakaji vitoto na miuza madawa ya kulevya hayo ni maneno ya wanambeya yamesikika vinywani mwao,..
ONYO
CCM JARIBUNI KWINGINE APA HAMPAWEZI MBEYA