Mkutano wa Kikatiba tu ndiyo utaandika Katiba Mpya

Wafungwa wataka Katiba mpya


na Sitta Tumma, Mwanza


amka2.gif
MOTO uliowashwa wa kudai Katiba mpya, umezidi kushika kasi kubwa hapa nchini, ambapo safari hii wafungwa na mahabusu wa gereza la Musoma, mkoani Mara, wameungana na Watanzania wenzao kudai kuundwa kwa Katiba hiyo mpya ya Jamhuri ya Muungano, na kusema hiyo ndiyo itakayokuwa suluhisho la matatizo na ucheleweshwaji wa kesi mahakamani.
Kana kwamba hiyo haitoshi, wafungwa hao pia wamepinga vikali mpango wa serikali kutaka kuilipa sh bilioni 94 kampuni ya kufua umeme wa dharura ya Dowans, wakisema kulipwa kwa kampuni hiyo ni sawa na wizi wa waziwazi, jambo ambalo wameapa kugoma kula iwapo serikali itailipa kampuni hiyo inayosadikiwa kuwa ni ya kitapeli.
Wamesema, suala la kuundwa kwa Katiba mpya hapa nchini haliepukiki hata kidogo, kwani matatizo, umaskini na masuala mengi ya kifisadi yanatokana na ubovu wa Katiba iliyopo hivi sasa, hivyo wanaamini ikiundwa Katiba mpya mlundikano wa kesi mahakamani na watu kubambikiziwa kesi hakutakuwepo tena.
Wafungwa na mahabusu hao waliyasema hayo juzi mjini hapa, baada ya mbunge wa Jimbo la Musoma mjini, Vincent Josephat Nyerere (CHADEMA), kutembelea gereza hilo kwa lengo la kuwasalimia na kupokea kero kutoka kwa watuhumiwa hao.
Akizungumza na Tanzania Daima muda mfupi baada ya kumaliza mazungumzo na wafungwa na mahabusu hao gerezani, Nyerere alisema kwamba wamemtuma kwenda bungeni kuwasilisha kero na matakwa yao ya kuundwa kwa Katiba mpya pamoja na kupinga serikali kuilipa mabilioni ya fedha kampuni ya Dowans.
"Kikubwa walichonieleza ndugu zetu wafungwa na mahabusu, wanataka Katiba mpya, pia hawataki kusikia serikali imeilipa Dowans...na wanasema Katiba mpya itasaidia kuondoa mlundikano wa kesi pamoja na raia wema kubambikiziwa kesi," alisema mbunge huyo wa Musoma Mjini, Nyerere, ambaye alishabatizwa jina la ‘Obama' wa Musoma.
Mbunge huyo wa Musoma mjini ambaye katika ziara yake hiyo ya kuwatembelea na kuwasalimia wafungwa wa gereza hilo la Musoma, alikuwa ameambatana na mbunge wa Jimbo la Nyamagana jijini Mwanza, Ezekiel Dibogo Wenje (CHADEMA), aliyekuwa amezuru mjini hapa, kwa mazungumzo maalumu na Nyerere.
Mbunge Nyerere alisema, wafungwa hao wanahitaji kuona Tanzania inapata maendeleo makubwa yatakayotokana na mabadiliko ya Katiba ya nchi na kwamba ni vema suala hilo likafanyiwa kazi haraka iwezekanavyo na viongozi wa kiserikali wanaokataa kuundwa kwake, hawana budi kujiuzulu nyadhifa zao.
Aliongeza kusema kwamba: "Wametutuma mimi na Nyerere na Wenje tutakapokwenda bungeni tuhakikishe tunaibana serikali ifanye kila namna kuruhusu rasimu ya Katiba iandaliwe haraka na Katiba mpya iwe imekamilika kabla ya mwaka 2015."
Kuhusu Dowans, wafungwa hao walimweleza mbunge wao huyo wa Musoma mjini kwamba fedha ambazo serikali inataka kuilipa kampuni hiyo inayodaiwa kuwa ni ya kitapeli, ni vema zikaelekezwa kuajili na kuwalipa mishahara majaji na mahakimu, ili kuiwezesha mahakama kuwa na majaji wengi watakaoharakisha maamuzi ya kesi.
"Hawa ndugu zetu walio gerezani wanataka hizi bilioni 94 zinazotaka kulipwa Dowans zielekezwe kuajili majaji na mahakimu ili kesi ziwe zinaamuliwa haraka zaidi," alisema mbunge huyo wa Musoma mjini.
Hata hivyo, kabla ya kutembelea gerezani hapo, wabunge hao, Nyerere na Wenje walihutubia mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya shule ya Mkendo Musoma mjini ambapo kilio kikubwa cha maelfu ya wananchi hao kilikuwa ni kutaka Katiba mpya, kupinga kulipwa kwa Dowans pamoja na umaskini hapa nchini.
 
"Kikubwa walichonieleza ndugu zetu wafungwa na mahabusu, wanataka Katiba mpya, pia hawataki kusikia serikali imeilipa Dowans...na wanasema Katiba mpya itasaidia kuondoa mlundikano wa kesi pamoja na raia wema kubambikiziwa kesi," alisema mbunge huyo wa Musoma Mjini, Nyerere, ambaye alishabatizwa jina la ‘Obama' wa Musoma.

Democracy at work
 

"Mimi ningekuwa mbunge si lazima niwe mbunge wa upinzani, hata mbunge wa CCM, ningepeleka hoja ya katiba bungeni. Lakini nashukuru kwamba Mnyika amefanya hivyo, namshukuru," alisema Sumaye.

Alielezea matumaini yake kuwa wabunge watajadili hoja hiyo kwa kina ili kuiwezesha kamati itakayoundwa na serikali kuratibu mawazo ya wananchi, kuwa na mahali pa zuri pa kuanzia.

Tatizo la Sumaye ni bado kuipigia debe tume ya Raisi ambayo haina nguvu ya kisheria na haitoi fursa sawa kwa watanzania wote kuomba na kufikiriwa kuwa sehemu ya Tume hiyo lakini inatarajiwa kutoa fursa sawa kwa watanzania wote katika kuiandika katiba mpya.............How ironic...........................
 
TAMWA na harakati za kudai Katiba mpya
ban.blank.jpg

Shabani Matutu

amka2.gif
‘TUNATAKA Katiba mpya’. Hayo ni kati ya maneno ambayo yameshika kasi mdomoni mwa Watanzania wengi wakitaka kushiriki katika uundwaji wa Katiba.
Ingawa wazo la kuanzishwa kwa katiba mpya limekuwa likitakiwa kwa muda mrefu ikilalamikiwa hii iliyoundwa mwaka 1977
imepitwa na wakati wengine walikwenda mbali na kusema Katiba hii haikumpatia uhuru mwananchi wa kushiriki kuiandaa.

Kila kundi ambalo limekuwa likidai katiba hiyo mpya limekuwa na mitazamo yake ya kuitaka; jambo ambalo limezua gumzo kwa sasa hapa nchini.
Wengi wamekuwa wakiilalamikia tunayoitumia sasa wakiielezea kuwa ni chanzo cha kuzaliwa kwa masuala makubwa ambayo yamechangia kwa kiasi kikubwa nchini kusaini mikataba ambayo imeigharimu nchi.
Wamekwenda mbali na kufikiria kwamba huenda kama katiba mpya ikiwa tayari itaweka wazi namna ya kuingia mikataba hivyo kupunguza majanga kama si kuondoa kabisa mikataba ya jamii kama vile Buzwagi, Kagoda, IPTL, Richmond, Dowans na mingine mingi ya aina hiyo.
Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake nchini (TAMWA), Ananilea Nkya, ambaye taasisi yake imeweka bayana kuhusu kuunga mkono mjadala wa katiba mpya anaeleza katika mahojiano yake na mwandishi wa makala hii kuwa wao kama Watanzania wana haki ya kushiriki katika mijadala ya kuwashirikisha wananchi ili kuipatia uhalali katiba itakayoundwa.
“Katiba ambayo inatarajiwa kupatikana ni ile ambayo ina uwezo wa kukidhi mahitaji ya Watanzania wa kipindi hiki cha utandawazi,” anasema Nkya.
Anasema kuwepo kwa katiba hiyo kutasaidia kuangaliwa masuala muhimu ya uchumi hasa kwenye soko huria pamoja na kuendesha uwekezaji.
“Nashauri katika nyanja ya elimu katiba hii mpya itakayotungwa iwezeshe kuwapatia Watanzania elimu itakayowezesha kushindana katika ulimwengu wa sayansi na teknolojia,” anasema Nkya.
Anasema nchi ikitaka kuwa na katiba nzuri yenye lengo la kuitoa nchi hapa ilipo na kujenga taifa jipya ni lazima serikali iwekeze katika kuwawezesha wananchi kufahamu kilichomo katika katiba ya sasa.
Suala la kuwekeza linalozungumziwa hapa ni la kutumia vyombo vya habari vya umma kama TBC redio na televisheni kutenga muda maalumu kwa kuhakikisha wanarusha mijadala ya katiba ili watanzania wote waweze kushiriki kikamilifu.
Anatoa tahadhari kwa kusema ni hatari kwa mtu kushiriki mijadala bila uelewa atakosa uwezo wa kutoa hoja muhimu na nzuri.
“Ninasema hivyo kwa sababu ya wanawake wengi wamekuwa wakiachwa nyuma kwa kuwa wengi hawana uelewa na jambo linalozungumzwa,” anasema Nkya.
Anaiomba serikali kutoa muda ili wananchi wapate muda a kujadili lakini pia muda huo usiwe mrefu sana.
Anasema kwa kuwa Watanzania wanataka muda wa kutosha wa kujadili katiba hiyo mpya hakuna budi kuwa na taadhari kwa kuangalia muda utakaotumika kwani unaweza kuwa mrefu kama hakutakuwa na umakini wa kupanga muda gani unatakiwa kushughulikia suala hilo.
Anatoa wito kwa serikali kutochelewesha pia uundwaji wa tume ya kushughulikia suala hilo pia anataka utendaji kazi wa tume hiyo uwekwe bayana kwa umma.
“Ziwekwe taratibu kwa namna gani maoni yatapelekwa kwa tume hiyo baada ya kujadiliwa ili maoni mengi yasiishie barabarani,” anasema mkurugenzi huyo.
Anasema taratibu hizo ziwe wazi na pindi maoni yanapofikishwa yawekwe utaratibu wa kuyaweka wazi ili yajadiliwe na makundi mengine yazijadili pia.
Anasema kwa kufanya hivyo itasaidia kupata katiba ambayo itakuwa imeshirikisha watu wa makundi mbalimbali wakiwamo, walemavu, wanawake, wanaume kutoka mijini na vijijini.
Anaeleza pia kwamba katiba hiyo itasaidia kuweka maadili
yatakayokidhi mahitaji ya sasa yatakayosadia kulinda uongozi au chama kitakacho kuwa madarakani kwa kipindi husika.

Anasema inahitaji kuweka wazi namna ya uendeshaji wa vyama na namna ya uendeshaji wa mamlaka na anashauri iwe wazi katika mamlaka ya kuwawajibisha viongozi au chama kitakachokuwa madarakani.
Katika medani ya siasa makundi mbalimbali kama vile wanawake na walemavu itaonyesha wazi nafasi yao katika uongozi wa kitaifa.
Katiba itasaidia kuondoa dhana iliyojengeka vichwani mwa watanzania wengi wanaodhani uongozi ni biashara.
Anasema mjadala huu wa katiba utawasaidia Watanzania wa kada mbalimbali kuamka ikiwa ni pamoja kujiamini kwa kupewa haki ya kushiriki katika uundwaji wa katiba hiyo.
Watanzania watailinda na kuiheshimu katiba hiyo kwa sababu watakuwa wamehusika katika kuchangia kuitengeza



h.sep3.gif

 
PHP:
Ingawa wazo la kuanzishwa kwa katiba mpya limekuwa likitakiwa kwa muda mrefu ikilalamikiwa hii iliyoundwa mwaka 1977 
  imepitwa na wakati wengine walikwenda mbali na kusema Katiba hii haikumpatia uhuru mwananchi wa kushiriki kuiandaa.
  Kila kundi ambalo limekuwa likidai katiba hiyo mpya limekuwa na mitazamo yake ya kuitaka; jambo ambalo limezua gumzo kwa sasa hapa nchini.
  Wengi wamekuwa wakiilalamikia tunayoitumia sasa wakiielezea kuwa ni chanzo cha kuzaliwa kwa masuala makubwa ambayo yamechangia kwa kiasi kikubwa nchini kusaini mikataba ambayo imeigharimu nchi.
  Wamekwenda mbali na kufikiria kwamba huenda kama katiba mpya ikiwa tayari itaweka wazi namna ya kuingia mikataba hivyo kupunguza majanga kama si kuondoa kabisa mikataba ya jamii kama vile Buzwagi, Kagoda, IPTL, Richmond, Dowans na mingine mingi ya aina hiyo.

kukua kwa kasi ya ufisadi kunatikana na katiba mbovu tuliyonayo ambayo uundaji wake hatukushirikishwa kama raia............ni katiba ya viongozi tu........................
 
Watanzania watakiwa kutumia vizuri marekebisho ya katiba


Na John Gagarini, Kibaha

HAKIMU Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Mkoa wa Pwani, Bi. Sekelela Mwaiseje amewataka Watanzania kutumia vyema marekebisho ya
katiba ili yasije yakatoa mwanya kwa mafisadi kutumia vibaya rasilimali za nchi.

Bi. Mwiseje aliyasema hayo wakati wa siku ya sheria nchini iliyofanyika hivi karibuni Mjini Kibaha kwenye viwanja vya mahakama hiyo.

Alisema kwa kuwa kipindi hichi ni cha kuirekebisha katiba ya nchi umefika wakati sasa mafisadi kubanwa ili wasitumie vibaya rasilimali za wananchi.

"Endapo tutatumia vizuri marekebisho ya katiba ni dhahiri vipengele hivyo havitawapa nafasi mafisadi kutumia vibaya rasilimali za wananchi hali ambayo imesbabisha watu kulalamika kuwa mafisadi wameleta hali mbaya kimaisha," alisema Bi Sekelela.

Hakimu huyo alisema ili ufisadi udhibitiwe lazima wananchi watengeneze katiba ambayo itaweka usawa katika suala la rasilimali kutumika kwa usawa.

"Katiba ikiwa nzuri watu wa namna hiyo watadhibitiwa na hawataweza kutumia vibaya nafasi zao bali watawajali wananchi ambao wanawategemea katika kuwawekea mipango mizuri ya kiuchumi," alisema Bi. Mwaiseje.

Aliwataka wananchi kufuata sheria ili haki ikiweze kutendeka katika masuala mbalimbali hasa katika kupata haki zao na kuacha kujichukulia sheria mkononi.
 
'Katiba isiharakishwe kama zimamoto'


Na Grace Michael

ASASI za Kiraia zilizoungana na kuunda Jukwaa la Katiba Tanzania limesema kuwa hakuna sababu yoyote ya kukimbiza mchakato wa uandikwaji wa
katiba mpya kama zima moto kwa kuwa unatakiwa kufuata ngazi za kitaalamu huku ukiwahusisha wananchi wote ambao ndio wenye katiba.

Mbali na hiyo jukwaa hilo limetoa mwito kwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuandaa na kupeleka haraka muswada bungeni ambao utatoa mwongozo au taratubu za kufuatwa katika uandikwaji wa katiba mpya ambao utazingatia hatua sita za kitaalamu ili kukidhi mahitaji yaliyopo kwa sasa.

“Tusiwe na haraka ya zima moto katika uandikaji wa katiba, bali twende hatua kwa hatua, na mchakato usitekwe na chama chochote cha kisiasa kwa kuwa katiba ni mali ya wananchi.


"Kinachotakiwa ni kuhakikisha wananchi wanashirikishwa katika hatua zote ili hatimaye waamue nini kiwemo na nini kisiwemo katika katiba mpya,� alisema Mwenyekiti wa Jukwaa hilo, Bw. Deus Kibamba.

Alisema kuwa wao kama jukwaa la Katiba Tanzania wana jukumu kubwa la kuwezesha uelewa na ushiriki wa wananchi katika mchakato wa kuandaa katiba mpya, hivyo watahamasisha wananchi ili waweze kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kuandaa katiba mpya.

Alizitaja taratibu ambazo wangependa zifuatwe katika mchakato huo kuwa ni pamoja na kuwepo kwa mijadala ya awali ya wananchi ambayo itawawezesha kuibua, kujadili na kukubaliana mambo yanayotakiwa kuzingatiwa katika kuandika katiba hiyo.

Hatua ya pili alisema kuwepo kwa mkutano mkuu wa kitaifa wa katiba kwa ajili ya kuchambua mambo yaliyoibuliwa na wananchi na kupangwa katika makundi yanayoweza kujadilika kimafungu na baada ya hapo iwepo tume ya wataalamu ya katiba ambayo itaratibu maoni ya wananchi na kuyaweka katika waraka maalumu na tume hii itapaswa kuwajibika bungeni na jukwaa litashiriki kufuatilia uundwaji na ufanisi wa utendaji wake.

Bw. Kibamba aliendelea kueleza kuwa hatua inayotakiwa kufuatwa ni kuandaliwa kwa rasimu ya katiba na kuwasilishwa mbele ya bunge maalumu la katiba ambalo litaundwa kwa utaratibu maalumu ambalo litakuwa tofauti na bunge la kawaida na litashirikisha wawakilishi kutoka makundi ya kijamii mijini na vijijini Tanzania Bara na Visiwani.

Hatua ya mwisho ni kura ya maoni ya katiba ambayo itapigwa nchi nzima na wananchi wote wenye sifa ya kupiga kura na jukwaa litahamasisha wapiga kura kushiriki kikamilifu katika kura ya maamuzi na vigezo vya kura hiyo vitazingatiwa.

Kutokana na hayo, jukwaa hilo lilisisitiza kila mmoja kwa nafasi yake kuhakikisha anashiriki kikamilifu katika mchakato huo ili suala hilo liweze kufanikiwa na hatimaye kuondokana na matatizo yanayosababishwa na mapungufu ya katiba ya sasa.

Akizungumzia baadhi ya mapungufu ya katiba ya sasa alisema kuwa haitoi mwelekeo wa maendeleo ya nchi, inatumika zaidi kama nyenzo ya dola kudhibiti wananchi kujiletea maendeleo, haibainishi makubaliano ya kisiasa baina ya wananchi na viongozi wa dola lakini pia inamilikisha mamlaka makubwa kupita kiasi kwa rais badala ya kutoa mgawanyo sawa wa mamlaka kwa mihimi mitatu ya dola.

Asasi hizo ni pamoja na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Chama cha waandishi wa habari wanawake, SAHRINGON, Haki Ardhi, TCIB, TCDD, TANLAP, TANEPHA, EHE, TANGO, YPC na TLF.
 
Jukwaa lataka mchakato wa katiba usikimbizwe
Monday, 07 February 2011 21:31

Hussein Issa
JUKWAA la katiba mpya linaloundwa na wanaharakati mbalimbali limetaka mchakato wa katiba hiyo, upewe muda wa kutosha ili ufanyike ufanisi zaidi.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam jana, mwenyekiti wa jukwaa hilo Deus Kibamba, alisema pamojamambo mengine, muda wa kutosha utasaidua katika kuwaelimisha wananchi kuhusu mambo wanayopaswa kuyafanya.

Alisema wananchi wanapaswa kushirikishwa vilivyo katika uaandaji wa katiba hiyo mpya na kwamba lazima kuwe na muda wa kutosha kufanya hivyo.

Alisema katiba inapaswa kupitiwa kipengele baada ya kipingele, ili kuhakikisha kuwa hakuna eneo linaloachwa likiwa na utata.

Alisema kwa msingi huo, jaribio lolote la kuharakisha mchakato wae, linaweza kuleta mzozo hapo baadaye.

"Sisi wenyewe tumeshajaribu kuhamasiha wananchi ili waweze kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kuandaa katiba mpya,"alisema

Alisema ikiwa wananchi watashirikishwa vyema katika uaandaaji wa katiba, lazima kuibua fursa ya kuibua, mambo yanayotakiwa kuzingatiwa kwa maslahi ya yote.

Alisema ili kuhakikisha hilo linafanikiwa, jukwaa litashirikiana na wadau wengine kuendelea kuwawezesha wananchi wa mijini na vijijini, kubaini mazuri na mapungufu yaliyopo katika katiba ya sasa.

Kwa mujibu wa Kibamba, jukwaa hilo pia litashirikiana na wananchi kubaini mambo ambayo hayapo kabisa na wangependa yawepo katika katiba mpya.

Aliongeza kuwa wananchi wanatakiwa kushirikishwa katika kila hatua inayofikia ili watoe mchango wao wa kutosha kwa lengo la kuijenga nchi yao.

Pia alisema kuwa jukwaa litashiriki kikamilifu, kuhamasisha wananchi wote wenye sifa kujitokeza kupiga kura za maoni kuhusu katiba.

Katika hatua nyingine, mwenyekiti huyo alitoa wito kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kuandaa na kupeleka jaraka bungeni, muswada wa katiba mpya.

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania ( Tamwa) Ananelia Nkya, alisema nchi inatakiwa kubadilika na kuruhusu kuandikwa kwa katiba mpya kama ilivyofanya Kenya.


Comments




0 #2 Bams 2011-02-08 08:01 Bwana Mutayoba, kinachoongelewa ni katiba ya nchi siyo katiba ya chama, katiba ambayo italinda haki ya kila mwananchi na kila taasisi. Sasa mambo ya kuegemea kwenye vyama vya upinzani yanatoka wapi? Chama tawala kimekuwa kikilaumiwa kwa kunyang'anya mamlaka ya wananchi na kujipa jukumu la kuwaundia katiba watanzania wote, tena katiba ambayo inalinda zaidi maslahi ya chama na watawala kuliko haki za watanzania wote. Kusema hivyo siyo kuegemea upinzani bali ndiyo ukweli wenyewe.

Katiba inayoandaliwa itakuwa yenye kumlinda kila mmoja na kila taasisi, kama ni chama tawala au chama cha upinzani. Utakuwa ni upungufu mkubwa sana kama itaandaliwa katiba inayolinda chama kilichopo madarakani maana chama tawala cha leo ni chama cha upinzani kesho, na kinyume chake.

Serikali au chama tawala kuandamwa zaidi na wanaharakati kuliko vyama vya upinzani ni sahihi kabisa kwa vile hao ndiyo waliopo kwenye mamlaka ya kuongoza nchi. Kama hakuna umeme, hakuna maji, hakuna elimu bora, polisi wanaua watu ovyo, n.k.; Utakuwa mtu wa ajabu sana kama kutokana na upungufu huo utaanza kuwalaumu TLP, NCCR au CHADEMA; ni lazima watalaumiwa CCM na serikali yake maana ndiyo wanaochukua kodi zetu ili kutoa huduma sahihi. Na kwa upande mwingine ni kwamba nchi ikiendeshwa vizuri sana, ikapata mafanikio, watakaopongezwa ni CCM na serikali yake maana ndiyo wanaoiongoza. Ni logic ndogo sana.

Watanzania ni lazima watatumia uzoefu wao wa kuishi chini ya katiba iliyoandaliwa na wananchi wachache ili kupata katiba iliyo nzuri, na katika kufanya hivyo ni lazima wataangalia zaidi maeneo yale ambayo katiba ya sasa iliyoandaliwa na wateule wa CCM ilikuwa ikiwanyima uhuru wao, ikitoa mamlaka ya kupindukia kwa watawala na vyombo vya dola.

Quote









-1 #1 Dr Mutayoba 2011-02-08 04:41 Naomba wadau wote wanaotaka kushiriki katika kusaidia Tanzania kuwa na katiba mpya inayoifaa nchi waondoe kabisa siasa katika hii kazi tukufu. Wanaharakati wengi wa Tanzania kwa sasa wapo partisan sana hasa wakiegemea upande wa upinzani. Tunahitaji taasisi zilizo neutral ndipo kazi hii itafanikiwa. Wanaharakati wengi wamekuwa na tabia ya kuikosoa serikali tu na pale vyama vya upinzani vikifanya makosa wanakaa kimya. Wapinzani siyo malaika kiasi kwamba kila wanachosema basi ni sahini. Kuna makosa yanafanywa na viongozi wa serikali na kuna makosa yanafanywa na viongozi wa vyama vya upinzani. Wanaharakati, viongozi wa dini, vyombo vya habari, na wasomi wanapaswa kuwa watu wasioongeza moto katika mapambano ya wanasiasa. Lengo la kila mwanasiasa ni upande wake kuchukuwa dola, sasa sisi wengine tunapaswa kuwaangalia pale wanapofanya makosa katika kufikia lengo hilo. Nasikitika kusema karibu viongozi wetu wa dini, wasomi, vyombo vya habari, na wanaharakati wa sasa wanatake sides, kitu ambacho ni hatari kwa mjadala unaotukabili wa kupata katiba mpya. NAWAPONGEZA JUKWAA LA KATIBA KWA KUJITOSA KUFANYA HIYO KAZI TAKATIFU KWA NCHI YETU. LAKINI NAOMBA MSIWE PARTISAN. MSIEGEMEE UPANDE WA CHAMA TAWALA AU UPINZANI. Ongozeni mjadala wenye ustaarabu kila anayeshiriki katika debate ajisikie mawazo yameheshimiwa.
Quote
 
Tume ya Katiba kujadiliwa bungeni


na Irene Mark, Dodoma


amka2.gif
SERIKALI inatarajia kupeleka bungeni muswada wa sheria ya kuunda tume itakayoratibu maoni ya wananchi na kutoa elimu kuhusu hoja ya mabadiliko ya Katiba.
Hatua hiyo ilitangazwa jana na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wakati akitoa kauli yake bungeni.
Alisema muswada huo utapelekwa bungeni wakati wa Mkutano wa Tatu utakaofanyika Aprili mwaka huu ili kufanikisha upatikanaji wa Katiba mpya inayokwenda na wakati ikiwa ni miaka 50 baada ya Uhuru wa Tanganyika.
“Mheshimiwa Spika, serikali inatarajia kuleta katika Bunge hili muswada wa Sheria ya Kuunda Tume katika Bunge lako la tatu la mwezi Aprili itakayoratibu maoni ya wananchi na kutoa elimu kwao ili kufanikisha lengo letu la kuwa na Katiba itakayotutoa katika miaka 50 ya Uhuru hadi kufikia umri wa karne,” alisema Pinda na kuongeza kwamba wabunge watapata nafasi ya kutoa hadidu za rejea za tume hiyo.
Alisema Bunge litataja majukumu ya tume hiyo katika sheria inayotegemea kutungwa kwa utaratibu au namna wajumbe wa tume hiyo watakavyofanya kazi, jinsi ya kuwapata, sifa za wajumbe hao na mambo mengine yanayostahili kuwepo kwenye sheria hiyo.
Pinda alisema jukumu ya msingi la tume hiyo iliyoelezwa na Rais Jakaya Kikwete wakati wa salamu za Mwaka Mpya alipolihutubia taifa ni kuratibu na kuongoza mchakato utakaowashirikisha wananchi bila kujali itikadi za kisiasa, asasi za kiraia, mashirika ya dini, wafanyabiashara, wataalamu na makundi mbalimbali nchini kote.
Kwa mujibu wa Pinda lengo la kuwepo kwa tume hiyo na mchakato wa mabadiliko ya Katiba ni kuhakikisha wananchi wote wanachangia kwa kuwa Katiba ni mali ya wananchi hivyo lazima wote washiriki.
Alisema serikali imetafakari namna nzuri ya kuendesha mchakato huu kwa kuandika katika hati ya Muungano inayojulikana kuwa ni ‘Articles of the Union’ ambapo Rais alipewa mamlaka ya Kikatiba ya kuwateua wajumbe wa Tume ya Katiba kwa ajili ya kuandaa mapendekezo ya Katiba ya kudumu.
Aidha, alisema wakati wote wa mabadiliko ya Katiba Rais alipata nafasi ya kuwateua wajumbe wa kamati hiyo huku akisisitiza kuwa upatikanaji wa Katiba mpya utawezesha kuishi pamoja, kuheshimiana na kupiga hatua katika juhudi za kujenga taifa.
“Hivi sasa ni miaka 50 tangu tulipopata uhuru; tulipopata Katiba mpya ya uhuru iliyotokana na mazungumzo baina ya Serikali ya Uingereza iliyokuwa na udhamini wa Tanganyika na viongozi wazalendo waliokuwa wakidai uhuru wan chi hii.
 
PHP:
Alisema Bunge litataja majukumu ya tume hiyo katika sheria inayotegemea kutungwa kwa utaratibu au namna wajumbe wa tume hiyo watakavyofanya kazi, jinsi ya kuwapata, sifa za wajumbe hao na mambo mengine yanayostahili kuwepo kwenye sheria hiyo.
  Pinda alisema jukumu ya msingi la tume hiyo iliyoelezwa na Rais Jakaya Kikwete wakati wa salamu za Mwaka Mpya alipolihutubia taifa ni kuratibu na kuongoza mchakato utakaowashirikisha wananchi bila kujali itikadi za kisiasa, asasi za kiraia, mashirika ya dini, wafanyabiashara, wataalamu na makundi mbalimbali nchini kote.

Mapungufu ya awli ni pamoja na kutokuelekeza tume hiyo inawajibika kwa nani, na inapaswa kuwajibika kwa Mkutano Mkuu wa Kikatiba......................uundaji wake utoe fursa sawa kwa raia wote kuomba kuwa wajumbe wa kamati hiyo kwa nafasi zake kutangazwa kwenye vyombo vya habari...............................................

Kamati husika ya Bunge kusimamia zoezi la kuwasaili wajumbe wa Tume na kuthibitishwa na Bunge......................Tume hii kiwe ni chombo huru kabisa.........na kisipowajibika kwenye Mkutano Mkuu wa Kikatiba kutoka majimbo yote ya uchaguzi kwa wapigakura kuwachagua watu wao....................haya yatakuwqa ni marekebisho ya katiba tu kama yale ya awali na hayatakuwa na sifa za kuandika katiba mpya...............
 
Mchakato katiba mpya waanza
Tuesday, 08 February 2011 20:54

Exuper Kachenje na Habel Chidawali, Dodoma

MUSWADA wa Sheria ya Kuunda Tume itakayoratibu mabadiliko ya Katiba utawasilishwa katika Kikao cha Tatu cha Bunge la Kumi, kitakachofanyika Aprili mwaka huu, Bunge limeelezwa.

Hayo yalisemwa jana bungeni na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipokuwa akitoa tamko rasmi la Serikali kuhusu uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete kuanzisha mchakato wa kuitazama upya Katiba ya nchi.

Pinda ambaye ndiye Kiongozi Mkuu wa shughuli za Serikali bungeni, alisema hatua hiyo ina nia ya kuwa na katiba inayoendana na mabadiliko na matakwa ya hali ya sasa.

Akitoa salamu za mwaka mpya, Desemba 31, mwaka jana, Rais Kikwete alisema Serikali yake imedhamiria kuanzisha mchakato wa kuitazama upya katiba ya nchi ili kuwa na katiba inayoendana na taifa lenye umri wa Nusu Karne kwa kuunda tume maalum ya katiba itakayokuwa na wajumbe wa pande zote.

"Serikali inatarajia kuleta katika Bunge lako la Tatu la Aprili Muswada wa Sheria itakayoratibu maoni ya wananchi na kutoa elimu kwa wananchi ili kufanikisha lengo letu la kuwa na katiba itakayotutoa katika miaka 50 ya uhuru hadi kufika umri wa karne," alisema Pinda.

Likiwa katika ratiba ya shughuli za jana za Bunge kama Kauli za Mawaziri (Waziri Mkuu), tamko hilo la Serikali lilieleza pia kwamba Rais Kikwete alieleza pia nia yake hiyo katika sherehe za maadhimisho ya miaka 34 ya CCM mjini Dodoma, Februari 5 mwaka huu.

Pinda alisema kuwa Bunge la Kumi litapata nafasi ya kutaja majukumu ya tume katika sheria inayotegemewa kutungwa, utaratibu au namna tume hiyo itakavyofanya kazi.

"..Bunge hili litapata nafasi ya kutaja majukumu ya Tume katika sheria inayotegemea kutungwa, utaratibu au namna Tume itakavyofanya kazi; namna ya kuwapata wajumbe wa tume hiyo, sifa za wajumbe hao na mambo mengine ambayo Bunge hili litaona yanastahili kuwekwa kwenye sheria hiyo," alisema Pinda.

Alisema Serikali imetafakari namna nzuri ya kuendesha mchakato huo. Alisema katika kuandika Katiba ya sasa, Hati ya Muungano (Articles of Union) rais alipewa mamlaka ya kikatiba ya kuwateua wajumbe wa Tume ya Katiba kwa ajili ya kuandaa mapendekezo ya katiba ya Kudumu mwaka 1977, ambapo pia aliwateua wajumbe wa Baraza la Kutunga sheria kutoka pande zote za Muungano.

Pinda alieleza kuwa utaratibu huo na ule uliofanyika mwaka 1983/84 na ule wa mwaka 1998 wa kuunda tume ya kuratibu maoni ya wananchi kuhusu katiba na kuyawasilisha serikalini ni tofauti na utaratibu utakaotumika sasa kwa kuzingatia mazingira yaliyopo.

Kwa mujibu wa Pinda, katika utaratibu wa sasa Serikali ina lengo la kuwashirikisha wananchi wote katika mchakato huo wa kupata katiba mpya ili kuondoa malalamiko.

"Serikali imedhamiria kuanzisha mchakato wa kuitazama katiba yetu upya, tuwe na katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoendana na mabadiliko na matarajio ya nchi yetu: ...Nia yetu ni kuwashirikisha wananchi na kuhakikisha kwamba wanashiriki kikamilifu," alisema Pinda na kuongeza:

"Jambo hilo ni la kupanua demokrasia na kuhakikisha kunakuwa na katiba ya nchi inayoonyesha utashi wa wananchi wa Jamhuri ya Muungano."

Pinda alisema ni matumaini yake na serikali kuwa wananchi watatoa maoni yao kwa uhuru, uwazi na bila woga wakizingatia umoja wa kitaifa, amani na mshikamano ambavyo ni tunu za taifa la tanzania zinazopaswa kulindwa na kutunzwa kwa gharama yoyote.

 
Muswada wa katiba kuwasilishwa Aprili


Na Kulwa Mzee, Dodoma

WAZIRI Mkuu, Bw. Mizengo Pinda amesema serikali inatarajia kuwasilisha bungeni muswada wa kuruhusu bunge liunde tume ya kuratibu maoni ya
katiba mpya.

Akizungumzia hayo bungeni jana, Bw. Pinda alisema muswada huo utawasilishwa katika mkutano wa bunge wa Aprili mwaka huu.

Waziri Pinda alisema tume hiyo itakapoundwa itapewa maelekezo ya jinsi itakavyofanya kazi na kwamba bunge litatoa maelekezo ya namna ya kufanikisha utekelezaji huo.

“Katiba ni mali ya wananchi na ili ifanyike kwa umakini lazima wananchi washirikishwe kwa sababu ni mali yao, kwa hiyo katika utekelezaji huo, katika Bunge la Aprili Serikali itawasilisha muswada wa kuunda tume hiyo ili Bunge liipe baraka,� alisema.

Pamoja na kuwapo mchakato wa kuunda katiba hiyo, Waziri Mkuu alisema katiba ya sasa inastahili kuheshimiwa kwa kuwa ndiyo iliyolifikisha taifa katika mafanikio yaliyopo.

Pamoja na kasoro ndogo ndogo zinazoonekana kuwapo, katiba hiyo imeimarisha umoja na mshikamano miongoni mwa Watanzania.

Alisema hatua ya serikali kukubali katiba mpya haitokani na msukumo wa vyama vya upinzani vya CUF na CHADEMA kama wengi wanavyosema, bali huo ni uamuzi uliofikiwa na serikali.




1 Maoni:

blank.gif

Anonymous said... Mzee wa busara Pinda tunaitaka haraka wananchi,muulize msekwa alichokiona msidhani watanzania tuna mzaha 2015 hapatatosha kama hakuna katiba mpya....wakuu wa wilaya na mikoa nje,tume ya uchaguzi itoke bungeni na baada ya kuundwa Rais ana step down pamoja bunge kuvunjwa soon,mawaziri wastepdown mara moja na makatibu wakuu ndio watakuwa wasemaji wakati wa uchaguzi tu,jaji mkuu ateuliwe kutoka bungeni na baada ya hapo jaji mkuu atateua majaji wengine na kuidhinishwa na bunge,mwanasheria mkuu halikadhalika majina matatu yaende bungeni na bunge lipige kura kumchagua mwanasheria mkuu,wakurugenzi wa majiji,manispaa na miji wote wateuliwe katika mkoa husika na Mkuu wa mkoa au gavana atakaechaguliwa na wananchi na si mkuu wa mkoa wa kuteuliwa.mikataba yote ya madini,misitu,uvuvi na makampuni ya serikali lazima ipite bungeni,kiongozi atakaekiuka maadili hasa kujihusisha na ufisadili ni lazima avuliwe wadhifa wake na afikishwe mahakamani na ikithibika amehusika kwa namna moja au nyingine afilisiwe kwa maslahi ya taifa.....
February 8, 2011 9:38 PM
 
Constitutional defects, conflicts:Time for special Court to act




By The guardian reporter



11th February 2011




While Tanzanians are clamouring for a new constitution, argues that the existing defects and conflicts between the 1977 Union Constitution and 1984 Zanzibar constitution amount to a conflict between the two Governments that must be settled through the Special Constitutional Court.
He further contends that as Tanzania searches for constitutional reforms, the ears of Tanzania's political leaders will ring with the voices of the people, and that the test of leadership is to recognize a problem before it becomes an emergency, and that political emergencies in Africa, like violent seas, seldom produce skillful sailors. Read on…
Tanzanians often blame the Government for referring to Tanzania's Union Constitution as being the Mother of all Tanzania's laws while the Government has seldom shown that Mother to the people during nearly 34 years after the Constitution came into force, just like Tanzania's traditional herbalist will seldom disclose the source of his/her medicine.
In one of my articles in this newspaper, I wondered why Tanzania's political leaders had all along refrained from distributing to the people copies of the Constitution of the United Republic of Tanzania, 1977, as amended ("the Union constitution") which originally came into force on April 26, 1977.
The Special Constitutional Court of the United Republic ("the Special Court") is established by article 125 appearing in chapter 5 of the Union Constitution which consists of 10 chapters. The Chapters are: 1 (Preamble); 2 (The Executive of the United Republic); 3 (The legislature of the United Republic); 4 (The Revolutionary Government of Zanzibar, The Zanzibar Revolutionary Council and the House of Representatives of Zanzibar); 5 (Dispensation of Justice in the United Republic); 6 (The Commission for Human Rights and Good Governance and the Public Leaders' Ethics Secretariat); 7 (Provisions Regarding the Finances of the United Republic); 8 (Public Authorities); 9 (Armed Forces); and 10 (Miscellaneous Provisions). The Union Constitution consists of only 152 Articles and has annexed to it two short schedules, first and second.
Article 125 provides:
"125. There is hereby established the Special Constitutional Court of the United Republic whose jurisdiction, constitution and procedure shall be as stipulated in the provisions of Articles 126 and 128 of this Constitution"
The Special Court shall hold its sittings only when there is a dispute to be heard, and shall sit in any place to be decided upon in accordance with the procedure applicable to the purposes of hearing disputes submitted to the Special Court.
The sole function of the Special Court is to hear and give a conciliatory decision over a matter referred to it concerning the interpretation of the Union Constitution where such interpretation or its application is in dispute between the Government of the United Republic and the Revolutionary Government of Zanzibar.
However, the Special court is prohibited from inquiring into or altering the decision of the High Court or the decision of the Court of Appeal which has been given in accordance with the provisions of Article 83 which deals with the determination of the validity of a person's membership of Parliament.
The Union Constitution gives no right of appeal to any forum against any conciliatory decision given by the Special Court, such decision being final.
It is important to stress that the only parties to the dispute before the Special Court are the two Governments referred to above.
The Special Court shall consist of members of whom one half shall be appointed by the Government of the United Republic and the other half shall be appointed by the Revolutionary Government of Zanzibar.
A person may be appointed a member of the Special Court only if he holds or has previously held the office of Justice of appeal or of Judge of the High Court of the United Republic of Tanzania or of the High Court of Zanzibar. He may also be appointed if he is a person who has the ability and experience which qualify him to be appointed to the office of Judge or acting Judge under the law for the time being in force in Mainland Tanzania or in Tanzania Zanzibar, as the case may be.
The quorum for every sitting of the Special Court shall be all its members. Where any member is absent or the seat of any member is vacant, then the Government which had appointed that member who is absent or whose seat is vacant shall appoint another member to replace him.
A temporary member appointed in that manner shall continue to hold office in the Special Court until the substantial member resumes duty or until a person is appointed to fill the vacancy or until the dispute is determined, whichever of those events occurs earlier.
The determination of every matter requiring a decision of the Special Court shall be on the basis of the opinion of two-thirds of the members appointed from Mainland Tanzania and two-thirds of the members appointed from Tanzania Zanzibar.
Article 128(4) empowers Parliament to provide for the procedure for: the election of the Chairman of the Special Court, the submission of disputes to the Special Court, hearing of disputes, and transmission of the decisions of the Special Court to the Governments.
The sub-Article further provides that, where any matter is referred to the Special Court before legislation is enacted for laying down such procedure, the matter will be heard and decided in accordance with the procedures to be decided upon by the Special Court itself before hearing the matter.
If members of the Special Court fail to agree on such procedure, then the matter shall be heard and decided in accordance with the procedure to be decided upon by the Government of the United Republic in collaboration with the Revolutionary Government of Zanzibar. I have not been able to trace any legislation by Parliament laying down such procedure.
An example of a dispute that may arise for hearing and determination by the Special Court is the conflict between the provisions of Articles 1 and 2 of the Union Constitution on the one hand, and Articles 1,2 and 2A of the Constitution of Zanzibar, 1984, as amended from 1985 to August 13,2010, on the other hand.
Articles 1 and 2 of the Union Constitution provide:
"1. Tanzania is one State and is a sovereign United Republic"
2. (1) The territory of the United Republic consists of the whole of the area of Mainland Tanzania and the whole of the area of Tanzania Zanzibar, and includes the territorial waters.
(2) For the purpose of the efficient discharge of the functions of the Government of the United Republic or of the Revolutionary Government of Zanzibar, the President may, in accordance with the procedures prescribed by law or provisions of such law as may be enacted by Parliament, divide the United Republic into regions, districts and other areas:
Provided that the President shall first consult with the President of Zanzibar before dividing Tanzania Zanzibar into regions, districts or other areas"
Articles 1, 2 and 2A of the Constitution of Zanzibar, 1984, provide:
"1. Zanzibar ni Nchi ambayo eneo lote la mipaka yake ni eneo lote la visiwa vya Unguja na Pemba na visiwa vidogo vilivyozunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya watu wa Zanzibar.
Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
2A. Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali, Rais aweza kuigawa Zanzibar katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi"
A comparison and contrast of the English and Kiswahili texts quoted above discloses that: (1) Tanzania is, according to the Union Constitution, one State, but according to the Zanzibar Constitution, 1984, as amended, Tanzania consists of two States, the second one being Tanzania Zanzibar, and (2) that the President of Zanzibar, who is also both the Head of the Revolutionary Government of Zanzibar and the Chairman of the Zanzibar Revolutionary Council, may divide Tanzania Zanzibar into regions, districts and other areas without consultation with the President of the United Republic.
But according to Article 152(3), the Union Constitution shall apply to Mainland Tanzania as well as to Tanzania Zanzibar. And Articles 8 and 28 of the Union Constitution provides so as far as relevant:
"8-(1)…
(2) The structure of the Government of the United Republic and the Revolutionary Government of Zanzibar or any of their organs, and the discharge of their functions shall be so effected as to take into account the unity of the United Republic and the need to promote national unity and preserve national dignity"
28-(1) Every citizen has the duty to protect, preserve and maintain the independence, sovereignty, territory and unity of the nation.
(2)…"
And Article 103(2) of the Union Constitution provides, so far as relevant:
103.-(1)…
(2) The Head of the Revolutionary Government of Zanzibar shall, before assuming office, subscribe the oath before the Chief Justice of Zanzibar to protect and defend the Constitution of the United Republic and any other oath in accordance with the Constitution of Zanzibar in connection with the execution of his duties, and then shall assume office and discharge those functions in accordance with the provisions of this Constitution and the Constitution of Zanzibar, 1984.
(3)…"
The Union Constitution as stated above came into force on April 26, 1977, very much earlier than when the Constitution of Zanzibar, 1984, came into force on January 12, 1985. And Article 64(5) of the Union Constitution declares supremacy of the Union Constitution over the latter Constitution.
Article 98 of the Union Constitution provides the procedure for altering the Constitution and certain laws. I am not aware that Articles 1 and 2 of the Union Constitution have ever been altered to accommodate the provisions of Articles 1, 2 and 2A of the Constitution of Zanzibar.
Accordingly, here we have a conflict between the two Governments for hearing by the Special Court.
Now that there is a clamour far drafting a new Union Constitution, it is high time for scrutinizing the two Constitutions to ascertain the presence of any other defect or conflict so that the two Constitutions may chime in with each other. Indeed, there are several other defects and conflicts.
One finally hopes that, as Tanzania searches for constitutional reforms, the ears of Tanzania's political leaders will ring with the voices of the people, that the test of leadership is to recognize a problem before it becomes an emergency, and that political emergencies in Africa, like violent seas, seldom produce skillful sailors.
The writer is a senior advocate who can be reached at mob: 0784 312623 or email: leanev_communication@yahoo.com



SOURCE: THE GUARDIAN
 
Pinda: Katiba mpya kuiathiri ya Zanzibar Send to a friend Wednesday, 16 February 2011 20:50

Waandishi Wetu - Dodoma
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesema kuandikwa kwa Katiba mpya ya Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, kunaweza kulazimisha kufanyika kwa mabadiliko katika katiba ya Zanzibar, huku akionya kuwa Watanzania wasiposhikamana nchi itayumba.

Akihitimisha mjadala wa hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa wakati akizindua Bunge na ambayo ilichangiwa na wabunge 176, Pinda alisema kuwa marekebisho hayo yataigusa katiba ya Zanzibar ili kuweka suala la Muungano katika hali nzuri zaidi.

"Napenda niwahakikishie Waheshimiwa Wabunge na Watanzania wenzangu kwa ujumla kuwa, pamoja na marekebisho yaliyofanywa katika Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984, marekebisho yote yaliyofanywa, kwa maoni yangu, yana utashi wa kuimarisha Muungano wetu.

Hili linadhihirishwa na Ibara ya 2 ya Katiba hiyo kama nilivyoitaja hapo juu ambapo Zanzibar inajitambulisha kuwa iko ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" alisema Pinda na kuongeza:
"Endapo kuna sehemu yoyote chini ya Katiba hii inayoonekana kuwa na mgongano na masharti yaliyopo ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, napenda kuwaeleza Waheshimiwa Wabunge na Watanzania wenzangu kuwa, wakati wa kupitia Katiba yetu kwa lengo la kuwa na Katiba Mpya kama Serikali ilivyoelekeza, migongano yoyote inayojitokeza, itaangaliwa wakati huo kwa lengo la kuwianisha Katiba zetu hizi mbili ili kuendela kudumisha, kuimarisha na kukuza Muungano".

Pinda katika hotuba yake alilizungumzia kwa kirefu suala la marekebisho hayo kufuatia mitizamo tofauti ya wabunge kuhusu suala hilo.

Baadhi ya wabunge walitamka bayana kuwa baadhi ya marekebisho yaliyofanywa yalikuwa na mwelekeo wa kuubomoa Muugano wa Tanganyika na Zanzibar.

"…..wapo Wabunge wanaoona kuwa, Marekebisho haya ya Katiba ya Zanzibar yaliyofanywa katika mazingira haya, yamekwenda mbali na hivyo kutoa picha kwamba Muungano sasa unatetereka,"alisema Pinda na kuongeza:

"Baada ya kuwasikiliza wote, naungana na wale wanaosema kuwa, Muungano huu upo pamoja na Marekebisho ya Katiba kwa mustakabali wa Nchi ya Zanzibar na Watu wake. Bado Muungano wetu ni imara na utaendelea kuwa imara".

Alisema mabadiliko hayo yameleta matumaini mapya kwa Wananchi wa Zanzibar, jambo ambalo ni la msingi katika maendeleo ya nchi na kwamba yamesaidia kuamsha hisia sahihi za Umoja, Mshikamano, Upendo, Kuvumiliana na katika kuwaletea Wananchi wa Zanzibar maendeleo.

Miongoni mwa mambo ambayo yalibainishwa na wabunge kuwa yanakiuka sheria mama ambayo ni Katiba ya nchi ni pamoja nakuelezwa kuwa Zanzibar ni Nchi, Rais wa Zanzibar kupewa mamlaka ya kugawa maeneo ya Kiutawala (Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo) badala ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama ilivyokuwa awali, ukomo wa Mamlaka ya Mahakama ya Rufani ya Tanzania katika kusikiliza baadhi ya Mashauri Tanzania Visiwani na
Rais wa Zanzibar kutambulika kuwa ndiye Mkuu wa Nchi ya Zanzibar.

Aliwataka Watanzania kuyatazama marekebisho ya kumi yaliyofanywa kwenye Katiba ya Zanzibar kama njia ya kuimarisha na kwamba hata mjadala wa kuandikwa kwa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, dhamira iwe hiyo hiyo.

Pamoja na kauli hiyo, lakini kiongozi huyo alisema bado Tanzania ina amani na utulivu wa kutosha kupigiwa mifano na mataifa mengine ya jirani akisema kuwa amani hiyo inapaswa kulindwa kwa gharama yoyote.

Katika hotuba hiyo iliyochukua dakika 57, Pinda alisema kuwa amani ya Tanzania inapaswa kulindwa na watu wote wakiwemo wanasiasa, viongozi wengine wakiwemo watu wa kada mbalimbali.

"Licha ya kuwa Tanzania bado imejaa amani na utulivu, lakini tusiposhikamana nchi itayumba na umoja wetu utatoweka kabisa natoa wito kwa watu wote kila mmoja kwa nafasi yake bila kujali itikadi zao kuulinda umoja na amani tuliyonayo ili iweze kudumu zaidi," alisema Pinda na kuongeza;

"..Hata tukitaka kujenga uchumi imara, ni lazima nchi ilinde amani yake kwa gharama yoyote ile, hivyo tutafanya kila tuwezalo kuilinda amani hiyo isivurugwe."

Pinda pia alikemea migomo katika vyuo akisema kuwa njia hiyo siyo utaratibu mzuri wa kudai haki.

"Kudai haki, sio njia nzuri wa utatuzi wa migogoro katika vyuo,"alisema Pinda.



Waziri mwingine aliyechangia katika hotuba hiyo ni Stephen Wasira (Mahusiano na Uratibu) ambaye alionya kuwa nyufa za udini zimeanza kujitokeza na akasema lazima hali hiyo ikemewe kwa nguvu zote.

Wassira aliwageukia wabunge wa kambi ya upinzani na kusema lazima wawe makini kwa kuna kuna kila dalili kwao ya kushabikia uvunjifu wa mani.

Alisema kuwa sifa ya upinzani ni kujenga hoja na wala sio kukimbilia maandamano na kugomea hotuba za viongozi huku wakitoka nje ya kumbi za vikao.

"Sifa kubwa ya upinzani ni kujenga hoja sio kukimbilia nje na kufanya maanadamano, lakini si mnajua hata mimi nilikuwa upinzani na hasa wewe Selasini unajua hilo na kaka yako anajua tulikuwa wote hivyo mkivuruga amani tuliyonayo hata ninyi mtaingia katika nchi ambayo haitawaliki na itawachukua muda mrefu badala ya kuleta maendeleo ninyi mtaanza kutafuta amani," alisema Wasira huku akimyooshea kidole mbunge wa Rombo Joseph Selasini na wabunge wa CCM wakishangilia.

Mawaziri wengine waliojibu hoja mbalimbali za wabunge zilizojitokeza kwenye hotuba hiyo ya Rais kwenye uzinduzi wa bunge ni Profesa Jumanne Maghembe( Kilimo), Haji Mponda (Afya),Philip Mulugo naibu Waziri (Elimu), Omary Nundu (Uchukuzi)John Magufuli (Ujenzi) na Naibu Waziri wa Viwanda biashara na Masoko Lazaro Nyarandu.

Bunge linaendelea leo, baada ya mapumziko ya Sikukuu ya Maulid ambapo leo wabunge wataanza kwa kipindi cha maswali ya papo kwa hapo kwa Waziri Mkuu kabla ya kuingia katika maswali ya kawaida.


 
Ukitaka kujua utapeli wa serikali ya CCM ni huu hapa.......wakielewa fika chini ya katiba mypa hawana chao.......sasa wanajenga mikakati ya uchaguzi ujao ufanyike bila ya katiba mpya.........................halafu pale damu itakapomwagika watasingizia upinzani..............................



Monday February 21, 2011 Local News
New constitution might elude next polls
Most Read



From MARC NKWAME in Arusha, 20th February 2011 @ 19:45, Total Comments: 0, Hits: 156

THE government plans to deploy teams of educators to raise people's awareness on the envisaged constitution reforms, Minister for Constitutional Affairs and Justice Celina Kombani has announced.

Speaking at the 2011 Tanganyika Law Society's Annual General Meeting here over the weekend, Ms Kombani, who represented Prime Minister Mr Mizengo Pinda, noted that the majority of Tanzanians have never even seen the current constitution document.

''We want to prepare our people so that they all become aware of what a constitution entails and this will be done through mass civic education as well as ensuring that they are provided with copies of the National Constitution,'' stated the Minister.

Minister Kombani said the government plans to involve members of the legal fraternity, such as the TLS, civil and community organizations as well as local elders to execute the task.

''But as you are all aware very few Tanzanians own or even have seen the constitution that is apart from those working in sectors that require regular references to the document,'' she said.

She added that once people become aware of the constitution, it would be easy for them to actively contribute to the process of compiling a new one.

Out going TLS President Mr Felix Kibodya had earlier on said that it was wrong for people to think that Tanzania can compile its new constitution based on other countries' experiences.

''The situation here is very different from countries like Kenya, because Tanzania hasn't had much social or political problems thus the way we need to conduct the process will be quite different from Kenya, Uganda or Zimbabwe,'' he stated.

The TLS is also embarking on its own mission to print and distribute copies of the Tanzania constitution countrywide for people to see and go through the document prior to the proposed amendments.

 
PHP:
Speaking at the 2011 Tanganyika Law Society's Annual General Meeting here over the weekend, Ms Kombani, who represented Prime Minister Mr Mizengo Pinda, noted that the majority of Tanzanians have never even seen the current constitution document. 

''We want to prepare our people so that they all become aware of what a constitution entails and this will be done through mass civic education as well as ensuring that they are provided with copies of the National Constitution,'' stated the Minister.

Kuwaandaa watu inachukua zaidi ya miaka mitano??????????????????????

Hata ukiwaandaa kwa miaka mitano una uhakika gani kuwa watakuwa wameelimika????????????????????
 
PHP:
Minister Kombani said the government plans to involve members of the legal fraternity, such as the TLS, civil and community organizations as well as local elders to execute the task. 

''But as you are all aware very few Tanzanians own or even have seen the constitution that is apart from those working in sectors that require regular references to the document,'' she said. 

She added that once people become aware of the constitution, it would be easy for them to actively contribute to the process of compiling a new one.

lies after lies.........................................utajuaje ya kuwa watu sasa wameilewa katiba iliyopo ambayo hata hawakushiriki katika kuiandaa????????????????????????????

Zile white paper za mwaka arobaini na saba yaani kumbe hazikuelemisha wananchi juu ya katiba iliyopo????????????
 
PHP:
Out going TLS President Mr Felix Kibodya had earlier on said that it was wrong for people to think that Tanzania can compile its new constitution based on other countries' experiences. 

''The situation here is very different from countries like Kenya, because Tanzania hasn't had much social or political problems thus the way we need to conduct the process will be quite different from Kenya, Uganda or Zimbabwe,'' he stated.

So you need Kenyan style violence to acknowledge the need for a new constitutional order......................................how pathetic...............
 
Jaji Warioba: Katiba mpya Z'bar imeleta changamoto


na Shehe Semtawa


amka2.gif
WAZIRI Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba, amesema marekebisho ya Katiba ya Zanzibar yaliyofanyika hivi karibuni yamewafanya watu wa bara nao kudai serikali ya Tanganyika.
Jaji Waroba alisema hayo mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam kwenye mjadala uliozungumzia muungano wa Tanzania na mchakato wa kuingia katika Shirikisho la Afrika Mashariki.
Alisema mawazo ya watu kutoka bara ambayo yanapaswa kuheshimiwa yamekuja baada ya Zanzibar kurekebisha katiba yake na kutambulika kama nchi.
"Zanzibar ina wimbo wake wa taifa, bendera na nembo na kwa mujibu wa marekebisho ya hivi karibuni na katiba ya Zanzibar ina ufafanuzi kwamba Zanzibar ni nchi na kwamba ni moja ya majimbo mawili yaliyoungana katika Muungano," alisema Jaji Warioba.
Warioba alibainisha kuwa maoni ya watu hao kutoka bara, yana nia ya kutaka kuhifadhi utambulisho wa sehemu mbili za Muungano kwa kuanzisha serikali kwa ajili ya Tanzania Bara.
Hata hivyo, Jaji Warioba alisema iwapo serikali ya Tanganyika itaanzishwa na kuwa imara basi nayo inawezekana kwamba pia kuwa na wimbo wake wa taifa, bendera, nembo yake huku ikitambulika kama Tanganyika.
Warioba alisema serikali hiyo ya Tanganyika inaweza kuja kuwa kama ile ya Zanzibar kwa kuzuia haki ya wapiga kura, kuchaguliwa, mamlaka ya bara na watu kutoka Zanzibar na watu wenye asili ya Zanzibar.
Jaji Warioba alitahadharisha kuwa iwapo hali hiyo itatokea anaamini kuwa ni hatua ya kuurudisha nyuma Muungano pia kupoteza haki za kiraia na kisiasa kwa pande zote mbili.
Akizungumzia Zanzibar alisema bado kuna kazi ya kufanya kutokana haki ya kupiga kura katika uchaguzi wa Rais wa Zanzibar, wabunge na serikali za mitaa kupewa watu walioishi katika jimbo husika kwa kipindi cha miaka mitatu kitendo ambacho ni kinyume cha demokrasia.
Kwa Upande wa Shirikisho la Afrika Mashariki alibainisha kwamba kinachokwamisha juhudi hizo ni viongozi wa nchi wanachama kung'ang'ania nafasi zao za kisiasa wanazoshikilia.



h.sep3.gif


juu
 
PHP:
Warioba alisema serikali hiyo ya Tanganyika inaweza kuja kuwa kama ile ya Zanzibar kwa kuzuia haki ya wapiga kura, kuchaguliwa, mamlaka ya bara na watu kutoka Zanzibar na watu wenye asili ya Zanzibar.
 Jaji Warioba alitahadharisha kuwa iwapo hali hiyo itatokea anaamini kuwa ni hatua ya kuurudisha nyuma Muungano pia kupoteza haki za kiraia na kisiasa kwa pande zote mbili.

Is Warioba not advocating for democracy to carpetbaggers..........................
 
Back
Top Bottom